Rose Ndauka: Sifagilii tena Wanaume

Wadada wa bongo movie wakikosaga wakuwapa hata offer ya soda wanaanzaga kujisemelesha hawataki wanaume kumbe soko ndio hawana
 

Vizuri mrembo
 
Rose ni mzuri natural kuliko hata mama ubaya, sema mama ubaya kawazidi wenzie maswaga ya kufa mtu, wema ana swaga anajua kujibeba

Tupishe na wema wako hapaaaa mfyuuu
 
Ana macho mazuri na ta.......ko

Daah mkuu unamlinganisha na wazungu nini, rose kwa bongo ni flat screen sema ana reception nzuri, au uliona picha amejaladia matambala?
 
Daah mkuu unamlinganisha na wazungu nini, rose kwa bongo ni flat screen sema ana reception nzuri, au uliona picha amejaladia matambala?

Hhhhhhhaaaa looo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…