Rose Shirima hana kosa lolote, mwenye Makosa ni James Getogo kuibua makosa ya serikali/mwajiri wake

Huyo Robert ni snitch, ameonekana hana hatia kwasababu amerekodi yeye hivyo asingeongea maneno makali

Lengo ni ku mprovoke mwenzake ili apate alichokitaka

Aliambiwa aende kwa incharge ila akazudi kumprovoke mwenzie

Inaonekana walikua na ugomvi wa siku nyingi
 
Msipende sana kulishwa habari za uongo.. tafuteni habari.. tizama video hii..
kwa hii video na amelezo rise yuko sahihi, huyo jamaa ni mjinga sana, na anaonekana ana bifu na huyo dada
 
Huu nao ni upumbavu...Yani watu wanakufa kwa kutumia vifaa vilivyoexpire jamaa anafichua halafu wananchi tuko upande wa kuitetea serikali???

Kweli CCM tawala milele daima Amen
 

Muulize kama wote wangekuwa wanarekodiwa anafikiri Rose angejibu vile?

Au huyo Robert alivyokuwa anajibiwa angekuwa naye anarekodiwa alafu hajui kuwa anarekodiwa response yake ingekuwa hivyo?

Robert/James ni Snitch, mfinishaji, anaroho ya husda, na hafai Kwa kazi sio Kwa serikali tuu Bali hata sekta binafsi
 
vifaa havija expire bali vinakaribia ku expire mwezi wa 4, hivyo alitaka vianze kutumika kwanza hivyo,. video ukiitazama kwa mihemko utahukumu jambo lisilo sahihi
 
vifaa havija expire bali vinakaribia ku expire mwezi wa 4, hivyo alitaka vianze kutumika kwanza hivyo,. video ukiitazama kwa mihemko utahukumu jambo lisilo sahihi

Sasa Kwa nini James amefanya hivyo?
Unajua kuna mambo yanashangaza mno.
 
Kwahiyo mtaalam wa Maabara hana akili au hajui kusoma vizuri.
Mtaalam kasema zime expire na ndiye aliye kaa darasani miaka 3 kusomea kada yake.
Alfu afisa mtumishi anasema zita expire mwezi 4... Nani mkweli mtaalam wa maabara mwenye taaluma au Afisa utumishi?
 
Huu nao ni upumbavu...Yani watu wanakufa kwa kutumia vifaa vilivyoexpire jamaa anafichua halafu wananchi tuko upande wa kuitetea serikali???

Kweli CCM tawala milele daima Amen

Kama vifaa vime-expire Rose angetakiwa afanyeje?
Rose sio MTU wa maabara kumbuka,

Je James Getogo kama tayari anajua vifaa vime-expire hajui taratibu za kufuata ili vifaa vipya viletwee?
Kumbuka ameshaambiwa na Rose basi asivitumie kama vime-expire
 
[emoji2]james, daah sio taikoon Robert
 
Sasa Kwa nini James amefanya hivyo?
Unajua kuna mambo yanashangaza mno.
kupishana kazini kupo, ni kawaida,ila yawezekana, rose akiwa kama msimamizi wa store ya vifaa huwa anambania james kupiga dili, hivyo anaweza kuwa na chuki na huyo bibie. kiufupi kafanya hivyo kumkomoa, kumbe anafanya ujinga
 

Hapa kuna utata.
Ila Kwa mujibu wa mada, kosa la Rose lipo wapi?
 
kupishana kazini kupo, ni kawaida,ila yawezekana, rose akiwa kama msimamizi wa store ya vifaa huwa anambania james kupiga dili, hivyo anaweza kuwa na chuki na huyo bibie. kiufupi kafanya hivyo kumkomoa, kumbe anafanya ujinga

😂😂😂
Ntu ya Dili.

Hawa Watu wanajuana vizuri.
Ila James alichofanya ni Akili ya kijinga ambayo Kwa MTU aliyesoma asingeweza kuifanya
 
Kama vifaa vime-expire Rose angetakiwa afanyeje?
Rose sio MTU wa maabara kumbuka,

Je James Getogo kama tayari anajua vifaa vime-expire hajui taratibu za kufuata ili vifaa vipya viletwee?
Kumbuka ameshaambiwa na Rose basi asivitumie kama vime-expire
Inawezekana tupo tunabishana hata na hatujui mgawanyo wa kazi kwenye zahanati yao ukoje?

Kwanini mtaalamu wa maabara apeleke taarifa kwa rose kuwa vifaa vime expire? Rose ana majukumu gani kwenye hiyo ofsi?
Nafikri tunaweza hukumu yule au huyu bila kujua exactly aliyekuwa responsible kutokana na mgawanyo wa kazi wa siku husika kwenye kituo chao.
 
Umefuka Moshi wa kuni mbichi kiongozi..!!!
 
Kama vifaa vime-expire Rose angetakiwa afanyeje?
Angetakiwa asimlazimishe avitumie
Rose sio MTU wa maabara kumbuka,
ila ndiyo msimamizi wa stoo
Je James Getogo kama tayari anajua vifaa vime-expire hajui taratibu za kufuata ili vifaa vipya viletwee?
Sio kazi yake, Kazi ya Rose hiyo
Kumbuka ameshaambiwa na Rose basi asivitumie kama vime-expire
Pale kasema kwa jazba tu, kwamba basi acha upite hivi....inaonekana alikuwa anaendelea kuvitumia na ndiyo mazoea yao.

James amefichua kuwa kumbe hospitali za serikali huwa zina mazoea ya kutumia vifaa vilivyoexpire...Na kama hivyo basi inaonekana hiyo ni dalili tosha hata dawa wanazotupa huwa sometimes zimeexpire.
James is a Hero.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…