Rose Shirima hana kosa lolote, mwenye Makosa ni James Getogo kuibua makosa ya serikali/mwajiri wake

Mimi ukiniletea video ya namna hiyo Kwa kweli sitakuelewa.
Video imerekodiwa na mshtaki.

Kwenye vikao vya kawaida ukishtaki ukweli mbona unakuwa wazi palepale.
Lakini hiyo ya kurekodi hiyo. Tena video inaanzia katikati, hiyo sio rahisi kuielewa.
mkuu bado hujanipata..sio kila mtu kaiona hiyo video..weka link.
 
sikubaliani na maamuzi ya jamaa kumrekodi na kusambaza mtandaoni ila Rose amepata alichostahili
kuleta zengwe kwenye uhai wa mwanadamu mwezio!!

Kosa la rose ni lipi?
Unajua ni mambo mangapi yanayofanyika kwenye nchi hii yanayohatarisha usalama wa Watu kisa umaskini wetu?
Au Kwa vile Rose karekodiwa tena bila ya kujua na aliyemrekodi ni mfanyakazi mwenzake
 
Hapa kwa kweli UMENENA... ningekuwa nafanya rating ningekupa A+++

Hayo majibizano mbona kila Siku yapo maofisini hasa Kwa watu/wafanyakazi wasiowaelewa. Unamuambia kitu MTU hasikii.

Sasa kama anajua vime-expire alitaka Rose afanyeje?
Rose kamuambia nenda Kwa incharge, James kang'ang'ania kumsimamia,
 
Unaweza kuta huyo msela kapiga sound demu kamchomolea..Kingine unakuta iyo hospital serikali haijapeleka vifaa wangefanyaje sasa..

Angakausha mshamba huyo.
 
Toka mwanzo wa hili sakata mimi naona huyo binti hana kosa.

Ila ni vile wabongo wengi ni wahanga wa majibu mabaya ya wafanyakazi wa kike, hivyo kupelekea zigo la lawama lote kaangushiwa huyo binti.
 
Mkuu umesahau kuandika namba ya simu.
 
Toka mwanzo wa hili sakata mimi naona huyo binti hana kosa.

Ila ni vile wabongo wengi ni wahanga wa majibu mabaya ya wafanyakazi wa kike, hivyo kupelekea zigo la lawama lote kaangushiwa huyo binti.

Pia watanzania tunapenda SHOBO hata na watu wasiotaka tuwe karibu Yao. Ndio maana tunaona wanaringa na kujishaua.
Watanzania tuelewe kuwa Watu tupo tofauti sana.

MTU kama hataki mazoea na wewe Kwa nini umlazimishe?
 
Shirima NTU wa dili?
Mbona nguvu kubwa inatumika kutetea hii idara ya Afya kwa uzembe wa Hawa watu wanaodili na Afya na uhai wetu Kuna madudud mengi sana huko . Mbona hamtumii hii nguvu kutetea kada zingine kama vile walimu na traffic barabarani.

Hua mnatoa hukumu za haraka kwa walimu na traffic kufukuzwa kazi. Lakin kwa hili mnamtetea sana upuuzi wa huyu nesi. Manesi wengi hupelekea vifo vingi sana vya wagonjwa kwa uzembe wao.
Wana lugha chafu sana kwa wagonjwa hasa wajawazito. Mimi mwenyewe nilishawahi kutaka kumpga vibao nesi. Baada ya kumjibu mke wangu majibu ya kunyia.

Wamama wengi hupoteza watoto kwa uzembe wa Hawa watu na Wala usiwatetee kabisa. Kama anamjibu hivyo mfanyakazi mwenzake. Vipi kuhusu mama mjamzito..
 
Yule jamaa alovujisha video ndomshamba, mambo yakurekodi niyakipumbavu sana
 
Sema wewe na watoto wako na mkeo na ukoo wako wote!
Sipendi limtu linalo penda ku generalize mambo, sasa wewe unajua watu wote Tanzania [emoji1241] ndio utuseme tunapenda kudandia mambo! Tafadhali naomba ukome kabisa unasikia wewe!
Mtu mzima ovyooooooo [emoji35]
 
Mpuuzi sana wewe. Mtu ameokoa masiha ya watu unasema ana nakosa au wewe ndio pisi Yako ile

Ukiyachukulia mambo kimhemko hemko kama hivi utakwama sehemu nyingi.

Mada hujui hata inazungumzia kitu gani.
Wewe ukiulizwa kosa la Muuguzi ni lipi utajibuje?
 

Kwani Nani anataka kupendwa na wewe humu?
 
Ingekuwa wanarekodiwa Sana kazini weledi ungeongezeka.
Wenzetu Ulaya unafanya Kazi unamulikwa na camera Ili kucontrol unavyohudumia watu kwa uadilifu
Hata police wa kule uvaa camera na pia vifaa vya kurekodi KILA kitu unachofanya kama defense chochote kikitokea.
 

Yes,
Ila sio MTU kumfanyia uhuni kama alivyofanya James Getogo.
Ukiifuatilie Ile video utagundua kuwa James alikuwa anamchonoa mwenzake, anamlazimishia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…