Rose Shirima hana kosa lolote, mwenye Makosa ni James Getogo kuibua makosa ya serikali/mwajiri wake


Umeeleza vizuri Mno.

Hao Vijana Wawili waliorekodi hiyo video ni wachokozi, utafikiri hawajui utaratibu wa Kazi.
Unamuuliza MTU asiyehusika kuhusu vifaa unategemea atakujibu nini
 

Aliyerekodi hiyo video ni Nani? Huyo James Getogo anaonekana kujua kinachoendelea ndio maana anazidi kumchokoa mwenzake.

Haya tuambie kosa la Rose Shirima ni lipi?
1. Rose Shirima sio incharge
2. Rose Shirima sio MTU wa kutoa vifaa vya hospital.
3. Rose Shirima sio MTU wa maabara
4. Rose Shirima sio mleta vifaa na madawa katika hiyo hospital.

Kosa lake ni lipi hapo?
Au kumjibu maneno ya shombo James Getogo ndio KOSA?
MTU kama ni mpuuzi lazima ajibiwe hivyo ili awe na Akili
 
Yaani wewe maku kweli kweli, ugomvi wa rose na James sisi hautuhusu kinachotuhusu ni dhamira ya rose pamoja na kushauliwa sana bado mbishi na kutoa maneno ya dharau
 
Anagongwa na mganga mkuu wa hospital ndiomaana jeuri vile
 
Umeeleza vizuri Mno.

Hao Vijana Wawili waliorekodi hiyo video ni wachokozi, utafikiri hawajui utaratibu wa Kazi.
Unamuuliza MTU asiyehusika kuhusu vifaa unategemea atakujibu nini
Acheni kutetea upuuzi, rose kama anamjibu mfanyakazi mwenzie vile vipi majibu yake kwa wagonjwa?
 
Basi kama kwenye utumishi wa umma kuna takiwa kuwa na siri. Tuwaache mafisadi waendelee kula sasa tunawapigia kelele wa nini na sisi wa nje tunajuaje siri zao kama kuna ethics za kutunza siri za utumishi wa umma.
Hata sheria za umma zinasisitiza kutunza siri.
 
[emoji706]
 
Kosa la rose ni lipi?
Unajua ni mambo mangapi yanayofanyika kwenye nchi hii yanayohatarisha usalama wa Watu kisa umaskini wetu?
Au Kwa vile Rose karekodiwa tena bila ya kujua na aliyemrekodi ni mfanyakazi mwenzake
Makosa ya rose ni lugha chafu, kutogomea vifaa tiba vilivyoisha muda kutoka kwa inchaji na kulazimisha vifaa vitumike
 
Hayo majibizano mbona kila Siku yapo maofisini hasa Kwa watu/wafanyakazi wasiowaelewa. Unamuambia kitu MTU hasikii.

Sasa kama anajua vime-expire alitaka Rose afanyeje?
Rose kamuambia nenda Kwa incharge, James kang'ang'ania kumsimamia,
Acheni kupindisha vitu, rose kasema nenda kwa inchaji tu? Mbona mengine hamsemi?
 
Acheni kutetea upuuzi, rose kama anamjibu mfanyakazi mwenzie vile vipi majibu yake kwa wagonjwa?
Msiwe wanafiki kila mtu anajua ukisha kasirishwa huwezi kuwa na majibu ya staha maijifanye leo ndio mnajua sana kuchambua ya wenzenu wakati hata ninyi huko mnako fanyia majukumu yenu mmesha pigizana sana kelele na wenzenu

Kupishana vituo vya kazi ni jambo la kawaida sana ila mshamba na mwenye kosa namba moja ni huyo mrekodi picha hajui maadili ya kazi za umma

Nakuhakikishia huyo dada atatoka salama maana kosa lake lina weza kuepukika kwa TKO ila huyo msela aliye rekodi kama aliamini anamkomoa huyo dada basi hana akili kwa tukio kama hilo yeye ndio kajikaanga vizuri sana na ndiye mwenye kosa kubwa zaid l
 
Pia watanzania tunapenda SHOBO hata na watu wasiotaka tuwe karibu Yao. Ndio maana tunaona wanaringa na kujishaua.
Watanzania tuelewe kuwa Watu tupo tofauti sana.

MTU kama hataki mazoea na wewe Kwa nini umlazimishe?
Mbona mnaishi kwa hisia bila uhalisia? Mazungumzo ya video yanaonyesha ni ishu za kikazi tu nothing else. Sasa James afanye kazi na nani?
 
Wachaga mnateteana
 
Yes,
Ila sio MTU kumfanyia uhuni kama alivyofanya James Getogo.
Ukiifuatilie Ile video utagundua kuwa James alikuwa anamchonoa mwenzake, anamlazimishia.
Ukifatilia video unaona wazi dada ndio analazimisha vifaa vitumike vilivyoharibika
 
Makosa ya rose ni lugha chafu, kutogomea vifaa tiba vilivyoisha muda kutoka kwa inchaji na kulazimisha vifaa vitumike
Hiyo inapigika chenga vizuri kabisa mzee na usije ukadhani serikali hapo itatoa jibu kwamba vipimo viliisha mda wake hilo sahau

Hapo lazima mrekodi video zigo limuamgukie aambiwe alikuwa na ugomvi binafsi baada ya kukataliwa kimapenzi na vipimo alivyo ambiwa avitumie havikuwa vimeisha mda wake
 
Tofautisha ishu ya familia na ishu ya umma,
 
Ukifatilia video unaona wazi dada ndio analazimisha vifaa vitumike vilivyoharibika
Ukisikiliza kwa makini dada hajatamka wazi wazi kulazimisha vifaa vitumike ila james kaambiwa aende kwa incharge akamweleze.
 
Tofautisha ishu ya familia na ishu ya umma,
Msio jua kanuni za utumishi wa umma mnaonekana tu kifupi
kwa tunao jua utendaji wa serikali ni kwamba james anakosa kubwa zaidi la kiutumishi kuliko hiyo dada
 
Ukifatilia video unaona wazi dada ndio analazimisha vifaa vitumike vilivyoharibika

Huyo Dada analazimisha kama Nani hapo?
Yeye ni MTU wa maabara?,
Yeye ni incharge?
Yeye ni Mganga Mkuu hapo?

Huyo James ndiye analazimisha Kwa sababu keshaambiwa Aende Kwa incharge lakini yeye anasema haendi, anataka kuendeleza mabishano yasiyo na kichwa wala miguu

Alafu huyo James ndiye kamfuata mwenzake kwenye Ofisi yake.
 
"Mtu akikukataa kimapenzi usimfanyie hivyo mapenzi ni hiyari, ninyi ni timu moja"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…