Rose Shirima hana kosa lolote, mwenye Makosa ni James Getogo kuibua makosa ya serikali/mwajiri wake

Lakini kihualisia ile sehem itakuwa na shida sana wao kwa wao so hakuna nidham hii ina affect wagonjwa video imechangia kujua udhaifu wao kila zuri lina kuja na baya lake
 
Me naona wazidi kurekodi zaidi maana watasimamia misingi afya ni uhai maana jambo dogo lina lina affect mwili

Unachosema ni kizuri lakini inategemea na anayerekodi ni Nani.

MTU ukishakuwa sehemu ya taasisi Fulani unakuwa sehemu ya mfumo huo.
Unapaswa mjue namna ya kutatua matatizo ya hiyo taasisi, ndio kazi yenu hiyo mbali na kazi ya kuhudumia jamii.
 
Anatakiwa aliwe kichwa kauza siri za kambi
 
Huna lolote unamtetea mchaga mwenzio
Uchaga unatoka wapi mkuu hapa, twende tu na facts, JAMES AMEIVUA NGUO WIZARA NZIMA, KWANINI SHAURI ASILIPELEKE KWENYE NGAZI HUSIKA MPAKA ACHUKUWE MAVIDEO HALAFU AYARUSHE MTANDAONI, HOW FOOLISH HE IS!
 
Alikuwa pushed kutoa lugha ile. Haikuja tu.
 
Shrima ameonyesha nyodo pale tuu alipomwambia "wewe nae ni mwanaume? Katika wanaume na ww upo??
 

Pia watanzania hapohapo tunashindwa kutofautisha mambo binafsi na mambo ya Kazi. MTU kuliwa sio kosa kisheria.
Ile kuleta mapenzi kazini ndio KOSA.

Sasa tuambie Kwa Muktadha wa Ile video, kosa la Rose ni lipi?
Na Kati ya Rose na James Nani amekosea zaidi?
 
Kuna kitu Cha kujifunza apa,na sijui waafrika tumerogwa na Nani,hii Ndo Hali halisi ya maisha ya huko maofsni kwa watu,binafsi sijapendezwa na majibu ya huyo nesi na pia anaonesha ualisia ulivyo hakuna heshima na hajali chochote huyo jamaa naona tu hakufata chaneli husika kufikisha ujumbe lakini walau ujumbe umefika.ukweli usemwe manesi wengi Wana shida kwenye kuwajibu wagonjwa wanawaudumia wajirekeshe na wafate taratibu za taaluma zao kwani ndicho walichogua kwenye maisha yao na kupitia hiyo kazi mungu anawabariki.Wakumbuke Kila mtu Ana nafasi yake ktk maisha ya apa duniani na hakuna kazi nzuri kuliko ulionayo.
 
Shrima ameonyesha nyodo pale tuu alipomwambia "wewe nae ni mwanaume? Katika wanaume na ww upo??

Na ndivyo ilivyokuwa inatakiwa iwe hivyo.

Kitakachofuata ataonywa, ila Watu mfano WA James Getogo majibu Yao yanapaswa yawe hivyo au makali zaidi ya hapo.

Fikiria wanaume Wawili wanamuandama Mwanamke, wanamchukua video huku wakimchokoachokoa,
Alafu vitu wanavyomuuliza hahusiki navyo, anawaambia basi waende Kwa incharge hawataki wanamuandama zaidi, unafikiri angejibuje.
 
Kwa maelezo ya rose yanathibitisha vipimo vimeisha muda wake
Wapi amekiri vimeisha mda wake? Usitumie hisia zako kwa kusikiliza huyo mshamba aliue dhamiria kijilipua kwenye video
 
Unachosema ni kizuri lakini inategemea na anayerekodi ni Nani.

MTU ukishakuwa sehemu ya taasisi Fulani unakuwa sehemu ya mfumo huo.
Unapaswa mjue namna ya kutatua matatizo ya hiyo taasisi, ndio kazi yenu hiyo mbali na kazi ya kuhudumia jamii.
Pia ina wezekana hakuna wa kufunga paka kengere so mpaka kufikia hatua ya kurekodi maana yake hatua huwa azichukuliwi hakuna nidham miongoni mwao so hiyo karma
 
Uchaga unatoka wapi mkuu hapa, twende tu na facts, JAMES AMEIVUA NGUO WIZARA NZIMA, KWANINI SHAURI ASILIPELEKE KWENYE NGAZI HUSIKA MPAKA ACHUKUWE MAVIDEO HALAFU AYARUSHE MTANDAONI, HOW FOOLISH HE IS!
Waziri kasema dawa na vifaa tiba vipo nadhani kile kituo kina uzembe wa kutofatilia so ile video ita saidia pia kwa vituo vingine kujikumbusha wajibu wao
 
mkuu ma ofisini hawana uwezo wa kutatua changamoto kuambiana jamsi alipeleke huko ni kudanganyana (japo taratibu zinataka hivyo) vipi kwetu ama ndo wale wa kutwambia subiri nimalize kula ndo nije nikusaidie ujifungue
 
Kosa ni la serekali moja kwa moja ila Rose katengenezwa awe mbaya ili apoteze kazi kwa chuki au kisasi fulani cha james.

Kama James angekua na nia njema angeenda kumrecord na incharge tuone msimamo wake, pengine ni amri ya serekali vifaa vitumike hivyohivyo sisi tutajuaje? James alitaka nini Rose afanye? Je Rose atumie mshahara wake kwenda kununua vifaa?

Kinacho onekana James anachuki fulani tu na huyo dada ila katengeneza cover ya kuonekana yeye ni mwema na huyo dada ni mbaya ila ubaya ni wa serekali siyo wa Rose.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…