Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,793
Hiyari yashinda utumwa.Ukitoa free P pia uje kusema apa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyari yashinda utumwa.Ukitoa free P pia uje kusema apa
Hii mbn imekaa kama vile unatafuta kiki! Unaowakubalia huwa unatangaza pia!Nimemkataa mbaba wa central bank na bihela byake,
Ametuma 500,000 tigo pesa nikamrudishia,
Anapiga sipokei aliendelea usumbufu namsemea kwa mkewe,
Alafu mke wake mzuriii sijui anatafta nini kwangu
Hahahaaaa. Lol.Ulishafika Dar tayari?
Kazi nayo ulipata?
There is always a.....Its something to do with price tag...!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] itakua keshafika Dar huyu.Ulishafika Dar tayari?
Kazi nayo ulipata?
Kumkataa mtu na pesa zake hakukufanyi kuwa strong woman. Wapo wenzio wameshafanya hivyo mara nyingi ,nao wangejiita ma strong woman in tanzania.Nimemkataa mbaba wa central bank na bihela byake,
Ametuma 500,000 tigo pesa nikamrudishia,
Anapiga sipokei aliendelea usumbufu namsemea kwa mkewe,
Alafu mke wake mzuriii sijui anatafta nini kwangu
Nimemkataa mbaba wa central bank na bihela byake,
Ametuma 500,000 tigo pesa nikamrudishia,
Anapiga sipokei aliendelea usumbufu namsemea kwa mkewe,
Alafu mke wake mzuriii sijui anatafta nini kwangu
[emoji23][emoji23][emoji23]go to hell Roselina.....aint buying ur story
Hahahaah huo ndio ustrongUngekula bila kuliwa Ndyo ningekuona strong!!!
Hahahhahhaha... sasa katumiwa kwa mpesa kashindwa kula si ujinga!! Angekula Afu angetafuta jinsi ya kutoliwa ningemuona strong!!!Hahahaah huo ndio ustrong
Hahahaah kweli kabisa ni udhaifu..Hahahhahhaha... sasa katumiwa kwa mpesa kashindwa kula si ujinga!! Angekula Afu angetafuta jinsi ya kutoliwa ningemuona strong!!!
Mie kurudisha hela ni udhaifu uliotukuka tena hela ya Mpesa!!
mwenewacu you are back again...sijakuona muda. ..umefanya jambo la busara nyaminga. ..ila ungekaa nalo tuu moyoniNimemkataa mbaba wa central bank na bihela byake,
Ametuma 500,000 tigo pesa nikamrudishia,
Anapiga sipokei aliendelea usumbufu namsemea kwa mkewe,
Alafu mke wake mzuriii sijui anatafta nini kwangu