Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kweliHuyu jamaa atakuja kuwa power house wa energy huu ukanda,
Bado sio player kwenye Petroleum ambapo najua nako soon ataingia kwa nguvu
Ukisikia uzalendo, sasa uzalendo ndio huu, na wafanyabiashara Wazalendo ndio hawa!.Rostam Aziz amekutana na Rais wa Zambia, Haikande Hichilema mjini Lusaka na wamejadiliana kuhusu uwekezaji kwenye sekta ya nishati na madini.
Taifa group kupitia kampuni yake tanzu ya Taifa Gas tayari imeingia ubia na kampuni ya Delta Marimba ya Zambia kuzalisha megawat 100 kwa kutumia gesi. Uwekezeji wenye thamani ya dola za kimarekani milioni 100.
Karibuni pia Rostam amewekeza nchini Kenya na Rwanda kwa kujenga sehemu za kuhifadhi gesi ya LPG zenye uwezo wa kuhifadhi tani 30,000 na 25,000. Taifa Gas inaangalia fursa kama hiyo nchini Zambia.
Citizen
Aziz huyu ni wa Igunga, Aziz yule wa Moro ni mwingine.Mfalme Aziz
Shujaa Magufuli: Aziz gombea Ubunge Morogoro Mjini
Rostam ni mgalatia anayejitambua😂🔥
Yule wa Moro alifisadi kiwanda Ndio shujaa Magufuli akamualika Aziz wa Igunga akagombee Ubunge Moro 😄Aziz huyu ni wa Igunga, Aziz yule wa Moro ni mwingine.
P
Naunga mkono hoja, sio tuu kwenye energy, na kwenye extractive industries!, ndie mmiliki wa Petra Diamonds!.Huyu jamaa atakuja kuwa power house wa energy huu ukanda,
Bado sio player kwenye Petroleum ambapo najua nako soon ataingia kwa nguvu
KumbeYule wa Moro alifisadi kiwanda Ndio shujaa Magufuli akamualika Aziz wa Igunga akagombee Ubunge Moro 😄
Huu sasa ni wivu!. Kwenye dunia ya sasa kuna kitu kinaitwa business strategy, the empire of Dangote is just too huge hivyo Dangote is just too busy kuzunguka na rais wake, ila kila alipo rais wake, Dangote pia yupo by proxy. Bill Gates ndie ana fund USAID, kila alipo Biden, Gates yupo by proxy, pia utafika muda huyu The King Maker wetu, will be everywhere, he will have no time kumsindikiza Mama kila mahali.Nchi imegeuka kuwa yake kila ziara za Ris hakosi na anapenyeza mambo yake hii ni hatari sana.
Mbona hatuoni Rais wa Nigeria akizurura na Dangote au Biden akiwa na Bill Gates.
Hili jambo litaleta maafa huko mbeleni.
Itakua ni mshauri wa kujitegemea wa rais mambo ya biashara na uwekezajiNchi imegeuka kuwa yake kila ziara za Ris hakosi na anapenyeza mambo yake hii ni hatari sana.
Mbona hatuoni Rais wa Nigeria akizurura na Dangote au Biden akiwa na Bill Gates.
Hili jambo litaleta maafa huko mbeleni.
Kwa sasa ni mshauri wa mambo ya uwekezaji na biashara auHuu sasa ni wivu!. Kwenye dunia ya sasa kuna kitu kinaitwa business strategy, the empire of Dangote is just too huge hivyo Dangote is just too busy kuzunguka na rais wake, ila kila alipo rais wake, Dangote pia yupo by proxy. Bill Gates ndie ana fund USAID, kila alipo Biden, Gates yupo by proxy, pia utafika muda huyu The King Maker wetu, will be everywhere, he will have no time kumsindikiza Mama kila mahali.
P
Naunga mkono hoja,Watu kama kina Rostam Aziz ma local na international lobbyists wanahitajika sana, naamini mbali ya gesi pia amechomekea suala la malori ya Tanzania pia reli ya TAZARA intermodal transportation kutafutiwa ufumbuzi biashara ya usafirishwaji kuvuka mipaka changamoto zipungue nchi zizidi kufunguka kivitendo badala ya siasa za kishamba za uzalendo uchwara.
Wizara za mambo ya nje, biashara na viwanda wawe wanakaa naye wapewe madini kwa ajili ya kupika mabalozi ambao wanauwezo wa kushawishi na kuingia popote kusawazisha mambo biashara za kuvuka mipaka ya kikanda na hata bahari na makontineti za watanzania zizidi kusambaa na pia kuvutia uwekezaji pale mtaji wetu unapokuwa mdogo.
Fikiria dizaini ya wafanyabiashara kina Rostam na rais William Ruto hustler rais Uhuru Kenyatta, rais Freeman Mbowe na rais Hichilema wote hawa wenye background ya biashara nchi hizi zingechangamka vizuri kibiashara maana wanaelewana lugha na mikiki ya biashara za kuvuka mipaka
Nadhani, huyu sasa sio mshauri, maana mshauri ni msaidizi, huyu sio msaidizi, ni zaidi ya msaidizi!, kwa maoni yangu huyu aitwe mkombozi wa taifa kwa mkombozi ya m ndogo ili ile Mkombozi ya M kubwa ibariki kwa Mkombozi wa ulimwengu ambaye ni Masiha.Kwa sasa ni mshauri wa mambo ya uwekezaji na biashara au
HUKO Kote nilikokutaja watu hawawezi fanya kama yunavyofanya sisi maana wapo in their right state of mind.Huu sasa ni wivu!. Kwenye dunia ya sasa kuna kitu kinaitwa business strategy, the empire of Dangote is just too huge hivyo Dangote is just too busy kuzunguka na rais wake, ila kila alipo rais wake, Dangote pia yupo by proxy. Bill Gates ndie ana fund USAID, kila alipo Biden, Gates yupo by proxy, pia utafika muda huyu The King Maker wetu, will be everywhere, he will have no time kumsindikiza Mama kila mahali.
P
Hapo sasa umemsafisha 😅😂 !Kitambo sana 😂
Hela hazitoshagi bali mchanga tani saba ndio huwa unatutosha na tunatuliaga tulii bila mizengwe 😅😅🙏🙏 !Na anachapua na Noah bila wasiwasi,
Sie tuendelee na Soga zetu za bandari,
jamaa katangulizwa huko fursa.
Ila hizi hela mtu unapiga madeal kila siku yanaitika hela hizo anapeleka wapi?
mara unakufa na pressure.
Kuna mahali itafika shetani atakataa kushirikiana nawewe.
Maana ataona utamla kichwa nayeye.
Hizo hela huyu jamaa zinaishiaga wapi?
Igunga huzikuti.
Rostam Aziz amekutana na Rais wa Zambia, Haikande Hichilema mjini Lusaka na wamejadiliana kuhusu uwekezaji kwenye sekta ya nishati na madini.
Taifa group kupitia kampuni yake tanzu ya Taifa Gas tayari imeingia ubia na kampuni ya Delta Marimba ya Zambia kuzalisha megawat 100 kwa kutumia gesi. Uwekezeji wenye thamani ya dola za kimarekani milioni 100.
Karibuni pia Rostam amewekeza nchini Kenya na Rwanda kwa kujenga sehemu za kuhifadhi gesi ya LPG zenye uwezo wa kuhifadhi tani 30,000 na 25,000. Taifa Gas inaangalia fursa kama hiyo nchini Zambia.
Citizen
Hahahahaha,anko bhana, eti huyu ni zaidi ya msaidiziNadhani, huyu sasa sio mshauri, maana mshauri ni msaidizi, huyu sio msaidizi, ni zaidi ya msaidizi!, kwa maoni yangu huyu aitwe mkombozi wa taifa kwa mkombozi ya m ndogo ili ile Mkombozi ya M kubwa ibariki kwa Mkombozi wa ulimwengu ambaye ni Masiha.
P