Rostam Aishtaki Mwanahalisi

Rostam Aishtaki Mwanahalisi

Bora useme wewe maana hapa hawana focus kabisa na wanajidai wana ushahidi kumbe ni ushabiki ambao mahakama kamwe haiwezi kudeal nao,rangi ya rostam sio ushahidi wa kesi mahakamani.

Mtoto wa Fisadi ondoa mashaka .Tanzania imebadilika sana nadhani wewe hujui .Sasa hivi ni peoples power ndiyo inafanya kazi .Huniamini ? Ngojea utajua soon .Kesi iko na kaweka wakili wake lakini nakueleza kuna mawakili kibao ambao watamsaidia Kubenea tena bure .Kila kitu kiko katika rekodi na Rostam kaweka matako kwenye chuma cha moto lazima anyauke .
 
Mahakamani ndipo mwanahalisi watakapo jitetea na kusema habari zingine tumezipata Jambo forums ndipo Jaji atakapo sema waleteeni jambo forums mahakamani!!

kwanza RA alituma watu wake wamtie upofu Saed Kubenea wakafeli, Sasa anataka kumdhalilisha Saed Kubenea swali je ataweza?

Saed Kubenea na MwanaHalisi hawapo pekeyao na wala wasijikunyate kwenye hili. Saed upo nasi kwa dhiki na kwa faraja! Wewe ni mzalendo wa kweli kwani umekuwa ukisema yale ambayo mwandishi mwingine lazima afikirie mara mbilimbili kabla ya kuyasema/kuyaandika.

Saed Kubenea wewe ni mshindi! hii kesi umesha shinda! Na ninajua Mwanahalisi haiwezi kuandika kitu kisichokuwepo! nina uhakika RA ataomba ardhi ipasuke! Najua MwanaHalisi inayo kopi ya ile riport ya awali ya tume ya Richmond. Ile riport italetwa punde hapa JF muisome! na mwanaHalisi ndio wataitumia kwenye ushahidi wao!

MwanaHalisi sio watu wa kukurupuka!Mnaikumbuka ile habari kuhusu mamilioni ya Chenge?Hivi mnadhani bila kuwa na documents MwanaHalisi waneandika ile habari?

Hili ni anguko jingine kwa RA na mafisadi wengine.

"Fisadi mwerefu kujifunza kwa fisadi mpumbavu"
Wengine walio waerevu watajifunza kutoka kwa RA kama wana nia ya kwenda mahakamani.

Ushauri kwa MwanaHalisi.

Fungueni account maalumu ya kuwasaidia kwenye kesi kwa ajili ya kupambanana na Fisadi RA. Sisi Watanzania tupo nyumba yenu tutatoa japo shillingi 100 ili kusaidia juhudi za kuikomboa nchi yetu kutoka watu wachache wanaojinufaisha.
 
He is not serious since he want to show tanzanian that he is above the law. Let him ggo to the court and the whole antion to see how corrupt he is.
ACHA KUPINDISHA NAMBO KWA KUWA ATA UJUI MAANA YA ABOVE THE LAW.MTU AMBAYE ANAWAZA YUKO ABOVE THE LAW HAWEZI KWENDA MAHAKAMANI NA ANAAMUA KESI YEYE MWENYEWE....KAMA RA UNAFUNGUA HAPA,,,PLEASE DONT EVER GIVE UP,YOU HAVE NOTHING TO LOOSE.
 
kwanza RA alituma watu wake wamtie upofu Saed Kubenea wakafeli, Sasa anataka kumdhalilisha Saed Kubenea swali je ataweza?

Saed Kubenea na MwanaHalisi hawapo pekeyao na wala wasijikunyate kwenye hili. Saed upo nasi kwa dhiki na kwa faraja! Wewe ni mzalendo wa kweli kwani umekuwa ukisema yale ambayo mwandishi mwingine lazima afikirie mara mbilimbili kabla ya kuyasema/kuyaandika.

Saed Kubenea wewe ni mshindi! hii kesi umesha shinda! Na ninajua Mwanahalisi haiwezi kuandika kitu kisichokuwepo! nina uhakika RA ataomba ardhi ipasuke! Najua MwanaHalisi inayo kopi ya ile riport ya awali ya tume ya Richmond. Ile riport italetwa punde hapa JF muisome! na mwanaHalisi ndio wataitumia kwenye ushahidi wao!

MwanaHalisi sio watu wa kukurupuka!Mnaikumbuka ile habari kuhusu mamilioni ya Chenge?Hivi mnadhani bila kuwa na documents MwanaHalisi waneandika ile habari?

Hili ni anguko jingine kwa RA na mafisadi wengine.

"Fisadi mwerefu kujifunza kwa fisadi mpumbavu"
Wengine walio waerevu watajifunza kutoka kwa RA kama wana nia ya kwenda mahakamani.

Ushauri kwa MwanaHalisi.

Fungueni account maalumu ya kuwasaidia kwenye kesi kwa ajili ya kupambanana na Fisadi RA. Sisi Watanzania tupo nyumba yenu tutatoa japo shillingi 100 ili kusaidia juhudi za kuikomboa nchi yetu kutoka watu wachache wanaojinufaisha.


Mjomba naona unaanza kuvujka mipaka

Hii ni slander je akiamua kuishitaki JF utatoa mchango?

hukatazwi kutoa maoni/mawazo yako lakini kuwa mtaalam kidogo kutumia maneno kama vile allegedly au ukatoa reference

sasa unao ushahidi kuwa Rostam alitoa contract kubenea amwagiwe acid?

come one man

whet ever happened to kuwa smart ku put across points zako kuliko kubark bila kuzingatia wengine
 
kwanza RA alituma watu wake wamtie upofu Saed Kubenea wakafeli, Sasa anataka kumdhalilisha Saed Kubenea swali je ataweza?

Saed Kubenea na MwanaHalisi hawapo pekeyao na wala wasijikunyate kwenye hili. Saed upo nasi kwa dhiki na kwa faraja! Wewe ni mzalendo wa kweli kwani umekuwa ukisema yale ambayo mwandishi mwingine lazima afikirie mara mbilimbili kabla ya kuyasema/kuyaandika.

Saed Kubenea wewe ni mshindi! hii kesi umesha shinda! Na ninajua Mwanahalisi haiwezi kuandika kitu kisichokuwepo! nina uhakika RA ataomba ardhi ipasuke! Najua MwanaHalisi inayo kopi ya ile riport ya awali ya tume ya Richmond. Ile riport italetwa punde hapa JF muisome! na mwanaHalisi ndio wataitumia kwenye ushahidi wao!

MwanaHalisi sio watu wa kukurupuka!Mnaikumbuka ile habari kuhusu mamilioni ya Chenge?Hivi mnadhani bila kuwa na documents MwanaHalisi waneandika ile habari?

Hili ni anguko jingine kwa RA na mafisadi wengine.

"Fisadi mwerefu kujifunza kwa fisadi mpumbavu"
Wengine walio waerevu watajifunza kutoka kwa RA kama wana nia ya kwenda mahakamani.

Ushauri kwa MwanaHalisi.

Fungueni account maalumu ya kuwasaidia kwenye kesi kwa ajili ya kupambanana na Fisadi RA. Sisi Watanzania tupo nyumba yenu tutatoa japo shillingi 100 ili kusaidia juhudi za kuikomboa nchi yetu kutoka watu wachache wanaojinufaisha.


Baada ya habari tayari Kubenea tangai asubuhi anawachambua akina nani anataa wasimame naye .Maana mawakili wote wazalendo wamesha mwendea ili wakaonyeshe mambo na kukuza jina.RA ataibua mambo mazito mana itabidi ya anzie nyuma na hapo kazi kubwa.Anataka ku silence media ?
 
wacheni haki ya mungu iijiidhirishe
ni wakati wa kusali na kuomba....mama mchungaji rwakatare alipotangaza kuna watoto wa kishirikina wengi wal;ipinga na kulaani ananua watoto sasa mungu kajiidhirisha mtoto yuleyule kakutwa ankula fuvu la mtu....hivyo tuwaache hawa mafisadi wanapojaribu kucheza na nguvu za mungu wacheni mungu ajiidhirishe
hata yona alimezwa na samaki kwa manufaa ili akawaokoe watu ...so hata huyu kwenda mahakamani mapenzi ya mung kufukua mengi yaliyojifisha
mungu uinuliwe kwa hili

Hivi sayari hii ya na karne ya 21 kunawatu wanaabudu ushirikina?

Mimi nadhani yule mtoto wasingempelka keko wangeenda kumpima akili yake kwanza! nimemwona kwenye picha anaonyesha hana akili vizuri!

Hii mada hapa sio sehemu yake lakini kumbukeni maneno ya huyu mtoto hapo awali alisema "alidondoka k wenye ungo akiwa na bibi yake na wanaishi lindi"

This time kwenye gaazeti mtoto yule yule anasema "yeye na bibi yake wanakaa segerea makaburini"

Rostam ni fisadi msituletee mambo ya mama lwakatare humu kupunguza hoja! Mshindwe na mlegee.
 
Hivi sayari hii ya na karne ya 21 kunawatu wanaabudu ushirikina?

Mimi nadhani yule mtoto wasingempelka keko wangeenda kumpima akili yake kwanza! nimemwona kwenye picha anaonyesha hana akili vizuri!

Hii mada hapa sio sehemu yake lakini kumbukeni maneno ya huyu mtoto hapo awali alisema "alidondoka k wenye ungo akiwa na bibi yake na wanaishi lindi"

This time kwenye gaazeti mtoto yule yule anasema "yeye na bibi yake wanakaa segerea makaburini"

Rostam ni fisadi msituletee mambo ya mama lwakatare humu kupunguza hoja! Mshindwe na mlegee.



Sokomoko Mama Lwakatare anafanyaje tena ? Hii imenipita
hebu nipe maneno mkuu .Kesha anza mahubiri Bungeni ?
 

Mjomba naona unaanza kuvujka mipaka

Hii ni slander je akiamua kuishitaki JF utatoa mchango?

hukatazwi kutoa maoni/mawazo yako lakini kuwa mtaalam kidogo kutumia maneno kama vile allegedly au ukatoa reference

sasa unao ushahidi kuwa Rostam alitoa contract kubenea amwagiwe acid?

come one man

whet ever happened to kuwa smart ku put across points zako kuliko kubark bila kuzingatia wengine

Heee! watakucheka watu! Kumbe wewe hujui kuwa wale walitumwa na EL na RA waliiwatumia usalama wa taifa kumwagia tindikali Saed Kubenea? Huyaisoma ile habari wale waliomwagia Saed ni wafanyakazi wa usalama wa taifa? mwenye ile link aiweke hapa huyu jamaa aisome kisha achambue nani anaweza kufanya arragement ya yale waliyoyafanya wale wafanyakazi wa usalama na kwa faida ya nani.
 
Umefika wakati wa kujua ukweli, huyu ametafuta jukwaa la kusemea baada ya CCM kumkataza anataka wanchi wajue ukweli kuwa Richmond sio yake bali ni wakubwa ambao hawakutajwa na kwa kadri kesi itakavyo endelea lazima hatawataja wamiliki ili kudhibitisha kuwa sio yake, maana ushahidi ulipo sasa unaonyesha ni ya kwake.
 
Sokomoko Mama Lwakatare anafanyaje tena ? Hii imenipita
hebu nipe maneno mkuu .Kesha anza mahubiri Bungeni ?

Soma kwenye thread ya Kijana akamatwa na kichwa cha mtoto akifyonza damu:::
 
Mimi nadhani Rostam alivyokataliwa kutoa zake bungeni sasa ameamua kutumia njia nyingine ili amwage nje yote aliyonayo.

Mark my word hapo mahakamani itatoka siri nyingi sana na zitaangusha watu wengi sana.

I know Fungamtama asingechukua kesi hii hivi hivi kunafuka moshi jamaa....unless hii kesi hii iishie chamber wakakubaliana
 
Mimi nadhani Rostam alivyokataliwa kutoa zake bungeni sasa ameamua kutumia njia nyingine ili amwage nje yote aliyonayo.

Mark my word hapo mahakamani itatoka siri nyingi sana na zitaangusha watu wengi sana.

I know Fungamtama asingechukua kesi hii hivi hivi kunafuka moshi jamaa....unless hii kesi hii iishie chamber wakakubaliana

Hii itakuwa kati ya kesi kubwa sana Tanzania na kesi muhimu katika taifa letu. Kila mwenye uwezo wa kufika nafikiri ni vizuri afike.

Hila ambacho bado naombea ni majaji kuwa huru bado nina shaka na jinsi kesi zetu zinavyoendeshwa hasa hasa watu wakubwa. Nakumbuka nilikuwa Bukoba mjini wakati wa kesi ya Rwakatale kila mtu alikuwa akilalamikia maamuzi ya majaji wetu.

Kabla jaji hajatoa hukumu Eti polisi wanazingira kila sehemu ya mji. Nafikiri ktk kesi hii yenye masirahi kwa umma wanasiasa hawataweka mikono yao sana.
 
Majaji wasipokuwa wazuri tutatwisha mzigo wa taifa kuwa masikini.

Hapa mnaweza kuona kitu alichokisema Mzee Mkjj kuwa kikwete was trying kuakisha kuwa kila sehemu kuna watu wa kulinda masilahi, fikiria kesi ya mkapa anapewea jaji aliyeteuliwa na mkapa, you can imagine how situation will be.
 
My opinion ni kwamba hii ni easy kesi. Kama mwanahalisi watapata attorney mwenye uwezo mkubwa. This is the time kwa lamwai kuomba upekuzi wa government documents kuprove.

Kuhusu richmond and Lowassa nadhani ni easy kesi kuprove, cha kwanza ni kumake sure CEO wa Dowans anakuja kutestify under the oath kuhusu relation yake na Rostam. Kisha mnakwenda bega kwa bega.

Sioni ugumu wa hii kesi at all, hii ni opportunity ya patriot judge kuirusha inchi kwenye ramani. Rostam is guilt at the public court, ni time ya mahakama kumalizia.
 
Ikiwa kesi mahakamni itaendeshwa kama wanavyo toa maoni hapa JF hiyo itakuwa siyo kesi ni tamthilia!Maana humu kila mtu mwerevu!kazi ipi!
 
Walisema wakina Karamagi kuwa wanakwenda mahakamani lakini wakaishia njiani, muache aende ndio ukweli utajulikana!!
 
Hamna kesi hapa, MWANAHALISI will reap what they sow. Maybe next time wataona ni bora wangenunua dictionary kwa waandishi wao ili kujua maneno kama vile ALLEGED, ACUSED etc badala ya kuja na cheap headlines za eti fulani ni fisadi bila kuwa na ushahidi wowote wa maana kuthibitisha hilo. Mwanahalisi is the sort of sneering, supercilious, sanctimonious, student-newspaper sort of journalism ambayo sisi wengine hatuwezi kukubaliana nayo. I am not being a snob lakini wana JF know better when they see a rag and interesting newspaper that treats it readers as intelligence human beings instead of kuja humu JF kutuletea intellectual pollution...eti wachangiwe pesa. Why not declare bankruptcy kisha wakalime? Surely Kilimo kinalipa zaidi ya kuandika mambo ambayo hawana ushahidi nayo right?
 
Hamna kesi hapa, MWANAHALISI will reap what they sow. Maybe next time wataona ni bora wangenunua dictionary kwa waandishi wao ili kujua maneno kama vile ALLEGED, ACUSED etc badala ya kuja na cheap headlines za eti fulani ni fisadi bila kuwa na ushahidi wowote wa maana kuthibitisha hilo. Mwanahalisi is the sort of sneering, supercilious, sanctimonious, student-newspaper sort of journalism ambayo sisi wengine hatuwezi kukubaliana nayo. I am not being a snob lakini wana JF know better when they see a rag and interesting newspaper that treats it readers as intelligence human beings instead of kuja humu JF kutuletea intellectual pollution...eti wachangiwe pesa. Why not declare bankruptcy kisha wakalime? Surely Kilimo kinalipa zaidi ya kuandika mambo ambayo hawana ushahidi nayo right?

Yani GT umerefuse to see the positive that came out of those statemtnes za Mwanahalisi...put the legalities aside, put the journalism skills aside...this is tanzania we are talking about..if mwanahalisi didnt shame these so called leaders nani angeandika..daily news? You and i both knw the system has FAILED US! from the judiciary to accountability departments of government institutions...waandishi wamekuwa the peoples courts..otherwise tusingesikia haya yote...in my view we need Mwanahalisi as without them tusingekuwa na hii awakening tunayoiona saizi..every leader is watching their back..enzi za kusingizia ma traffic police as the most corrupt are long gone...tunawataka hao ambao polisi, judiciary wanaogopa kuwataja..nchi gani ambayo polisi, usalama wanalipwa mishahara lakini mpaka wapate go ahead from ikulu ndo wafanye kazi?...

GT ur wrong on this one.. dont act like Tanzania has reached the level to have constructive journalism that will bring change..Mwanahalisi is a victim of circumstance...TIT FOR TAT...
 
...badala ya kuja na cheap headlines za eti fulani ni fisadi bila kuwa na ushahidi wowote wa maana kuthibitisha hilo. Mwanahalisi is the sort of sneering, supercilious, sanctimonious, student-newspaper sort of journalism ambayo sisi wengine hatuwezi kukubaliana nayo. I am not being a snob lakini wana JF know better when they see a rag and interesting newspaper that treats it readers as intelligence human beings instead of kuja humu JF kutuletea intellectual pollution...eti wachangiwe pesa. Why not declare bankruptcy kisha wakalime? Surely Kilimo kinalipa zaidi ya kuandika mambo ambayo hawana ushahidi nayo right?

GT, umeniaribia mood yangu kwa maoni dhaifu kama haya! Nani asiyejua mchango wa MwanaHalisi ktk vita dhidi ya ufisadi? Uko upande gani, mkuu, umenusishwa hivyo vijisenti nini?

MwanaHalisi ndio gazeti linaloongoza katika kutupa habari za uozo uliopo mengine yakishughulika na viguguzi vyao.
 
Hamna kesi hapa, MWANAHALISI will reap what they sow. Maybe next time wataona ni bora wangenunua dictionary kwa waandishi wao ili kujua maneno kama vile ALLEGED, ACUSED etc badala ya kuja na cheap headlines za eti fulani ni fisadi bila kuwa na ushahidi wowote wa maana kuthibitisha hilo. Mwanahalisi is the sort of sneering, supercilious, sanctimonious, student-newspaper sort of journalism ambayo sisi wengine hatuwezi kukubaliana nayo. I am not being a snob lakini wana JF know better when they see a rag and interesting newspaper that treats it readers as intelligence human beings instead of kuja humu JF kutuletea intellectual pollution...eti wachangiwe pesa. Why not declare bankruptcy kisha wakalime? Surely Kilimo kinalipa zaidi ya kuandika mambo ambayo hawana ushahidi nayo right?

Kwa taarifa yako Mwanahalisi wataendelea kuwepo wakati mwizi na mkoloni mwenye uraia wa utata Rostam Azizi akipeta jela kwa vifo vya watoto maelfu wa kitanzania alivyosababisha kwa ufisadi wake na wizi usio na kipimo.
 
Back
Top Bottom