Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,298
i dont c whats the fuss is all about.
iwapo mwnahalisi aliandika kwa ushahidi na si kwa kuwa waandishi wake walitumia maneno ambayo hayafai kutumiwa na mtu asiye na ushahidi, then mwanahalisi atashinda.
sasa tatizo lipo wapi?
RA alikuwa na right ya kushtaki kama anajiamini ya kuwa mwanahalisi hawana ushahidi wa kumwita yeye fisadi, na kama amekosea na mwanahalisi walimwita fisadi kwa maana kamili ya neno fisadi na kwa ushahidi walionao, then hakutakiwi kuwe na fuss yoyote kuhusu hili
iwapo mwnahalisi aliandika kwa ushahidi na si kwa kuwa waandishi wake walitumia maneno ambayo hayafai kutumiwa na mtu asiye na ushahidi, then mwanahalisi atashinda.
sasa tatizo lipo wapi?
RA alikuwa na right ya kushtaki kama anajiamini ya kuwa mwanahalisi hawana ushahidi wa kumwita yeye fisadi, na kama amekosea na mwanahalisi walimwita fisadi kwa maana kamili ya neno fisadi na kwa ushahidi walionao, then hakutakiwi kuwe na fuss yoyote kuhusu hili