Rostam Aziz amezuiwa kuuza gesi yake Kenya kwa sababu ya mazingira

Rostam Aziz amezuiwa kuuza gesi yake Kenya kwa sababu ya mazingira

Nimekutana na hii habari kwamba Rostam Azizi amezuiwa kuuza Gesi yake Kenya kisa eti maswala ya mazingira.

Wakenya kwenye figusifigusi wako vizuri sana hawa jamaa hata Dange amewavulia kofia. Wao wana enjoy sana freedom ya kufanyabiashara Tanzania lakini Kampuni za Kitanzania kule Kenya huwa zinakutana na hujuma za kutosha. Sina hakika kama Azam bado anapeleka Juice zake Kenya make ni hayahaya mambo ya hujuma.

Kule wana Cartel kali sana, Wakenya huwa hawapendi competition kabisa, wako radhi hata wahonge mamlaka zao kiasi chochote kila cha pesa.

Ili ufanikiwe kufungua Biashara Kenya ni hio biashara iwe mpya kabisa yaani kule kwao haipo kabisa, ila kama ipo usijaribu kabisa.

Hata kampuni yao kubwa ya Safaricom ishafanya hujuma nyingi sana kwa kampuni za simu za kigeni zisipewe kibali cha ku oparate Kenya, huwa hadi wanaenda Mahakamani kuzuia.

Juzi kati nimeanza kuona maziwa yao tena kule Arusha, lakini sasa wewe jaribu kupeleka kwao uone, hata mahindi ni kwa sababu tu hawana namna ila wangekuwa na wao wana zalisha nakuambia mahindi ya Tanzania yasingekuwa yanavuka mpaka kwenda kwao.

=======

Kenya freezes Tanzanian tycoon's cooking gas plant

Kenya has frozen plans by a Tanzanian billionaire to set up a gas plant and storage facilities at the Mombasa port, threatening a trade spat between the two neighbouring countries.

The Energy regulator has declined to clear the application by Taifa Gas, which is owned by tycoon Rostam Aziz, citing risks to the environment posed by the 30,000-ton gas handling facility.

The entry of the business magnate, who was ranked the first dollar billionaire in Tanzania by Forbes in 2013, promised a vicious battle for control of the Kenyan cooking gas market that remains under the tight leash of Mombasa-based tycoon, Mohamed Jaffer.

The entry of Taifa Gas into Kenya is part of a trade deal between the countries signed between Kenyan President Uhuru Kenyatta and Tanzania’s Samia Suluhu last year.

The regulatory licence freeze risks reigniting the trade spat between Kenya and Tanzania that saw Dar es Salaam block Kenyan goods from accessing its market.

The billionaires’ fight pitting Mr Jaffer and Mr Aziz, 57, was expected to cut the cost of handling and evacuating cooking gas from the ships to the mainland, allowing dealers to transfer the cost relief to consumers.

Just like Mr Jaffer, Mr Aziz has invested in building political networks that saw him serve as MP and treasurer of the ruling party-- Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Mr Aziz’s ambitions to establish a presence in Kenya’s retail cooking gas business looked set to trigger another market fight with oil dealers such as Vivo, Rubis and Total for control of the 2.87 million households (23.9 percent of Kenyan households) that use liquefied petroleum gas (LPG) for cooking.

“We did not clear their Environmental and Social Impact Assessment (ESIA) because of certain technical deficiencies. The EIA had some technical deficiencies which we want them to address before we consider their application further,” the Energy and Petroleum Regulatory Authority (Epra) said in a response to Business Daily queries.

The regulator did not disclose the technicalities linked to Taifa Gas, which is the largest gas retailer in Tanzania and has more than 30 LPG handling plants.

Taifa Gas wants to build the 30,000-ton Kenya facility at the Special Economic Zone in Dongo Kundu, near the Port of Mombasa.

It will join Jaffer’s firm, Africa Gas and Oil Ltd (AGOL), in the short list of firms that operate gas handling and storage at major entry ports in Africa.

AGOL has a storage capacity of 25,000 tonnes of LPG following an upgrade last year of the facility initially built in 2013.

The plant was built to allow for bulk imports of cooking gas to lower unit costs through economies of scale and curb shortages, which had been made difficult by the smaller import terminal at Shimanzi.

It had a storage capacity of 10,000 tonnes and the 25,000 tonnes unit is ranked among the largest terminals in sub-Saharan Africa.

The import handling and storage unit has helped relieve demand pressures through reduction of stock-outs, effectively easing pressure on LPG prices.

Previously, the oil marketers imported cooking gas individually in small quantities due to inadequate gas discharge facilities.

This led to cooking gas shortages and expensive LPG due to high import premiums and demurrage, which are penalties marketers pay shipping companies when tankers fail to offload in the stipulated time period.

The Shimanzi terminal has a capacity of just 1,400 metric tonnes.

The tankers would queue for up to two months, leaving the marketers with a daily fee of $20,000 (Sh1.7 million).

Private companies have been angling to benefit from the growing use of cooking gas in Kenya in the absence of investments by the government via import and storage facilities.

This is the reason the wealthy Mr Aziz is seeking a piece of Kenya’s gas market.

Mr Aziz facilitated Vodacom South Africa’s entry into Tanzania, and previously owned an estimated 35 percent stake in Vodacom Tanzania.

In 2019, he concluded the sale of the last tranche of his Vodacom Tanzania shares in deals that saw him pockets billions of shillings.

Apart from his shareholding in Vodacom Tanzania, he built a fortune from stakes in contract mining firm Caspian Mining, extensive real estate in Tanzania and the Middle East and investments in Tanzanian media.

He has been vocal about hurdles placed on his bid to enter the Kenyan market.

“Tanzania and Kenya potentially can be much bigger than they are. Unfortunately, we’re bogged down by petty politics, protectionism, inward-looking and trivial issues that impede economic development,” Mr Aziz said at a conference in Nairobi last year.

He was Tanzania’s first dollar billionaire (worth over Sh120 billion) and is still one of the country’s leading businessmen and power brokers.

Source: businessdailyafrica
Niliwahi shauri Serikali iache kuwachekea Wakenya ila haikujali..

Njia ni rahisi tuu kama hawataki Watu wetu kwenye sector ya Gas na sisi ni kuwazuia kuwekeza kwenye baadhi ya sector zetu..

Leo kuna kikao huko Arusha nitashangaa kama haya mambo hayatajadiliwa vinginevyo hakuna hata maana ya kuwa na hiyo inaitwa Jumuiya ya EAC.
 
Mimi pia niliwahi kuweka andiko, Kenya hawapo tayari kuona wafanyabiashara wa Tanzania wakiwekeza kwao Ila wana visababu vya uongo mwingi. Tunawachekea Sana

Kama tu Rostam Azizi anakwama, jiulize wewe itakuwaje? Kuna watu humu walianza kusema oooh naenda kufanya biashara Kenya, oooh soko limefunguka
 
Nimekutana na hii habari kwamba Rostam Azizi amezuiwa kuuza Gesi yake Kenya kisa eti maswala ya mazingira.

Wakenya kwenye figusifigusi wako vizuri sana hawa jamaa hata Dange amewavulia kofia. Wao wana enjoy sana freedom ya kufanyabiashara Tanzania lakini Kampuni za Kitanzania kule Kenya huwa zinakutana na hujuma za kutosha. Sina hakika kama Azam bado anapeleka Juice zake Kenya make ni hayahaya mambo ya hujuma.

Kule wana Cartel kali sana, Wakenya huwa hawapendi competition kabisa, wako radhi hata wahonge mamlaka zao kiasi chochote kila cha pesa.

Ili ufanikiwe kufungua Biashara Kenya ni hio biashara iwe mpya kabisa yaani kule kwao haipo kabisa, ila kama ipo usijaribu kabisa.

Hata kampuni yao kubwa ya Safaricom ishafanya hujuma nyingi sana kwa kampuni za simu za kigeni zisipewe kibali cha ku oparate Kenya, huwa hadi wanaenda Mahakamani kuzuia.

Juzi kati nimeanza kuona maziwa yao tena kule Arusha, lakini sasa wewe jaribu kupeleka kwao uone, hata mahindi ni kwa sababu tu hawana namna ila wangekuwa na wao wana zalisha nakuambia mahindi ya Tanzania yasingekuwa yanavuka mpaka kwenda kwao.

=======

Kenya freezes Tanzanian tycoon's cooking gas plant

Kenya has frozen plans by a Tanzanian billionaire to set up a gas plant and storage facilities at the Mombasa port, threatening a trade spat between the two neighbouring countries.

The Energy regulator has declined to clear the application by Taifa Gas, which is owned by tycoon Rostam Aziz, citing risks to the environment posed by the 30,000-ton gas handling facility.

The entry of the business magnate, who was ranked the first dollar billionaire in Tanzania by Forbes in 2013, promised a vicious battle for control of the Kenyan cooking gas market that remains under the tight leash of Mombasa-based tycoon, Mohamed Jaffer.

The entry of Taifa Gas into Kenya is part of a trade deal between the countries signed between Kenyan President Uhuru Kenyatta and Tanzania’s Samia Suluhu last year.

The regulatory licence freeze risks reigniting the trade spat between Kenya and Tanzania that saw Dar es Salaam block Kenyan goods from accessing its market.

The billionaires’ fight pitting Mr Jaffer and Mr Aziz, 57, was expected to cut the cost of handling and evacuating cooking gas from the ships to the mainland, allowing dealers to transfer the cost relief to consumers.

Just like Mr Jaffer, Mr Aziz has invested in building political networks that saw him serve as MP and treasurer of the ruling party-- Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Mr Aziz’s ambitions to establish a presence in Kenya’s retail cooking gas business looked set to trigger another market fight with oil dealers such as Vivo, Rubis and Total for control of the 2.87 million households (23.9 percent of Kenyan households) that use liquefied petroleum gas (LPG) for cooking.

“We did not clear their Environmental and Social Impact Assessment (ESIA) because of certain technical deficiencies. The EIA had some technical deficiencies which we want them to address before we consider their application further,” the Energy and Petroleum Regulatory Authority (Epra) said in a response to Business Daily queries.

The regulator did not disclose the technicalities linked to Taifa Gas, which is the largest gas retailer in Tanzania and has more than 30 LPG handling plants.

Taifa Gas wants to build the 30,000-ton Kenya facility at the Special Economic Zone in Dongo Kundu, near the Port of Mombasa.

It will join Jaffer’s firm, Africa Gas and Oil Ltd (AGOL), in the short list of firms that operate gas handling and storage at major entry ports in Africa.

AGOL has a storage capacity of 25,000 tonnes of LPG following an upgrade last year of the facility initially built in 2013.

The plant was built to allow for bulk imports of cooking gas to lower unit costs through economies of scale and curb shortages, which had been made difficult by the smaller import terminal at Shimanzi.

It had a storage capacity of 10,000 tonnes and the 25,000 tonnes unit is ranked among the largest terminals in sub-Saharan Africa.

The import handling and storage unit has helped relieve demand pressures through reduction of stock-outs, effectively easing pressure on LPG prices.

Previously, the oil marketers imported cooking gas individually in small quantities due to inadequate gas discharge facilities.

This led to cooking gas shortages and expensive LPG due to high import premiums and demurrage, which are penalties marketers pay shipping companies when tankers fail to offload in the stipulated time period.

The Shimanzi terminal has a capacity of just 1,400 metric tonnes.

The tankers would queue for up to two months, leaving the marketers with a daily fee of $20,000 (Sh1.7 million).

Private companies have been angling to benefit from the growing use of cooking gas in Kenya in the absence of investments by the government via import and storage facilities.

This is the reason the wealthy Mr Aziz is seeking a piece of Kenya’s gas market.

Mr Aziz facilitated Vodacom South Africa’s entry into Tanzania, and previously owned an estimated 35 percent stake in Vodacom Tanzania.

In 2019, he concluded the sale of the last tranche of his Vodacom Tanzania shares in deals that saw him pockets billions of shillings.

Apart from his shareholding in Vodacom Tanzania, he built a fortune from stakes in contract mining firm Caspian Mining, extensive real estate in Tanzania and the Middle East and investments in Tanzanian media.

He has been vocal about hurdles placed on his bid to enter the Kenyan market.

“Tanzania and Kenya potentially can be much bigger than they are. Unfortunately, we’re bogged down by petty politics, protectionism, inward-looking and trivial issues that impede economic development,” Mr Aziz said at a conference in Nairobi last year.

He was Tanzania’s first dollar billionaire (worth over Sh120 billion) and is still one of the country’s leading businessmen and power brokers.

Source: businessdailyafrica
Jamaa wana roho mbaya sana,ngoja tusubiri rais ajaye.
 
The EAC Head of states should push for harmonious business environment as one of the top agenda to be discussed.

#EAC Heads of State set to convene in Arusha on 21 July 2022 for a High-level Retreat on the EAC Common Market, to take stock of the progress of implementation of the EAC Common Market Protocol and thereafter hold their 22nd Ordinary Summit of EAC Heads of State on 22 July 2022.
1658394726816.png

https://twitter.com › jumuiya

East African Community

 

Preparations In High Gear For The 22nd EAC Ordinary Summit​

18th July 2022 Godfrey IvudriaComment(0)
East African Community Headquarters, Arusha, 18th July, 2022: Preparations are in high gear for the EAC Heads of State Retreat on the EAC Common Market and the 22nd Ordinary Summit of the EAC Heads of State scheduled for 21st and 22nd July, 2022 respectively at the Arusha International
Conference Centre, in Arusha, Tanzania.
About 300 participants from Partner States, private sector, civil society and development partners are
expected to attend both the High Level Retreat and the 22nd Summit.
During their High Level Retreat on the Common Market, the Heads of State are expected to, among
other things: take stock of the progress of implementation of the EAC Common Market Protocol;
adopt strategic measures to unlock the lags and bottlenecks in establishment of the Common Market;
agree on a roadmap for the full realization of the Common Market, and; identify key areas where
Development Partners can contribute to the attainment of the Common Market.
At their 22nd Ordinary Meeting, the EAC Heads of State will, among other things: consider the Report
of the Council to the Summit; assent to Bills passed by the East African Legislative Assembly;
consider the report of the High-level Summit Retreat on the EAC Common Market, and; appoint
Judges to the East African Court of Justice
Source : Preparations in High Gear for the 22nd EAC Ordinary Summit - East African Business Week
 
Instead of more and more talks on peace and security, the EAC region should also do more on regional trade among members states of the East African Community

FACTS CHECK

It is now been 1 year since the Secretary General, Hon. (Dr.) Peter Mathuki, took the helm at the East African Community Secretariat.



Source : East African community
 
The EAC should move from talk the talk to walk the walk


Source: East African Community
 
hakuna tatizo tuna mtaalamu wa diplomasia na mwanauchumi bora wataongea yataisha mana kuna mmoja aliifunga nchi akaifanya kama kisiwa kwakua yeye alikua ha-----zo
 
nani kakwambia unaweza kufanya urafiki na Kenyans ukawa salama.

huu uungwana wetu unatuponza sana ni vile hatujui tu, kenyans hawataki kuishi nao kiungwana kabisa, wakija kwenu lazima muwakazie, sisi tunachekacheka nao tu hapa na kuwaona wenzetu kumbe ni masnitch balaa.
 
Watanzania pia na nyinyi muache kutumia kuni na makaa, upgrade kwa gesi, wacha wanabiashara wapiganie fursa, Kenya kuna soko kubwa la gesi kushinda Tanzania mara tatu na zaidi..,
Only 7% ya watanzania wanatumia LPG., vs 23.9% ya Kenya..,
1658396233740.png

1658396302071.png
 
Hivi hii EAC ina maana gani, unapokuwa kwenye trade union/agreements huwezi kuzuia wanachama kufungua biashara kwa sababu zisizo na mashiko; in essence hayo mambo ni ya kushitakiana mahakamani.

Mfano nipeleke bidhaa za chakula Kenya; uzuie mpakani hadi ziaribike au uniletee hasara yoyote kutokana na zuio la mpakani lisilo na kichwa wala miguu tutakutana East Africa court au mahakama ya biashara ata huko kwao Kenya; serikali zikisha sign makubaliano ya biashara kuna consequences ukiwaletea watu hasara kwa sababu za kipuuzi.

Mwisho wa siku unapata picha ya upuuzi wa Mungiki the biggest loser sio Rostam Aziz ni wakenya wenyewe; serikali inayojali maslahi ya watu wake aiwezi zuia competition sokoni kwa sababu mnufaikaji kwenye ushindani wa biashara ni walaji sokoni, inaleta ajira na kuongeza kodi ya mapato serikalini.

Hivi iweje watu ovyo kama hawa ndio wenye uchumi mkubwa EAC.
Ni kitu Cha kijinga sana. Wanasahau wa_Kenya wenyewe ndio watafaidika kwa kupata ajira na malipo mengine ya kikodi Bila kusahau unafiki kwenye Bei.
 
Watanzania pia na nyinyi muache kutumia kuni na makaa, upgrade kwa gesi, wacha wanabiashara wapiganie fursa, Kenya kuna soko kubwa la gesi kushinda Tanzania mara tatu na zaidi..,
Only 7% ya watanzania wanatumia LPG., vs 23.9% ya Kenya..,
View attachment 2298546
View attachment 2298547
Ni kweli unaamini waTz wanapenda kutumia kuni na sio sababu za kiuchumi kushindwa kutumia gesi?
 
Back
Top Bottom