Rostam Aziz amezuiwa kuuza gesi yake Kenya kwa sababu ya mazingira

Rostam Aziz amezuiwa kuuza gesi yake Kenya kwa sababu ya mazingira

Hawa Wakenya kwa figisu ni hatari hawataki kabisa wafanyabiashara wa Kitanzania wafanye biashara kwao lazima waweke vikwazo lukuki mpka ukate tamaa kisa wanalinda vya kwao lakini wao wakija Tanzania wanataka wafanye bila shida ujirani gani huu wa mashaka.
Na nyie waleteeni figisu tu

Ova
 
Ni kitu Cha kijinga sana. Wanasahau wa_Kenya wenyewe ndio watafaidika kwa kupata ajira na malipo mengine ya kikodi Bila kusahau unafiki kwenye Bei.
Ndio tukubali wanasiasa wa afrika wana matatizo sana. Yaani viongozi wanakataa FDI yenye kuleta ushindani wa bei sokoni, investment inayoweka infrustructure, inatoa ajira, kuna local fees, VAT, PAYE, Corporate tax na political mileage.

Soko lenyewe bado lina potential kubwa 75% ya wananchi bado awajafikiwa. Sasa hapo competition si ndio inaleta faida zaidi. Kuna hatua zingine za ovyo za majirani zetu we don’t have to reciprocate ni kuwaacha na ujinga wao. Waje tu wajenge kwetu tunahitaji FDI za uzalishaji wa ndani, tusichotaka ni imported finished goods.

Only in Africa
 
hakuna tatizo tuna mtaalamu wa diplomasia na mwanauchumi bora wataongea yataisha mana kuna mmoja aliifunga nchi akaifanya kama kisiwa kwakua yeye alikua ha-----zo
Wakenya ni sikio la kufa, mwaka Jana walishasainiana mkataba na mama Samia kuhusu biashara Ila bado wanaleta figisu. Ni Kama hawataki tu, kwakuwa sio mara ya kwanza kuzuia biashara za rostam, hata wakati wa JK waifanya hivyo
 
Twende nao kidiplomasia msiwavuruge kama bwana yule nchi itatengwa. Sasa hivi nchi imefunguka.
Aisee, nilikuwa nakukubali Sana! Tanzania 🇹🇿 itatengwa na Kenya kwa lipi? Yaani mkenya akija Tanzania 🇹🇿 kuwekeza hakuna figisu,Ila Sisi tukienda kwao figisu kibao eti tusitengwe? Kenya inatusaidia nni cha maana Hadi watutenge?
 
Aisee, nilikuwa nakukubali Sana! Tanzania [emoji1241] itatengwa na Kenya kwa lipi? Yaani mkenya akija Tanzania [emoji1241] kuwekeza hakuna figisu,Ila Sisi tukienda kwao figisu kibao eti tusitengwe? Kenya inatusaidia nni cha maana Hadi watutenge?
Soma between the lines, usikaze fuvu, legeza mwili huo ubongo ufunguke
 
Ni kweli unaamini waTz wanapenda kutumia kuni na sio sababu za kiuchumi kushindwa kutumia gesi?
Kuna tofauti kiuchumi na uwezo wa kununua, Kenya has the biggest middle class population in East and central Africa, so si ajabu wao kukua na bigger population ya watumizi wa gesi..,
 
Wakenya wakija kwenu na nyie wabananisheni...mpaka nao watie akili....

Ova
 
Aisee, nilikuwa nakukubali Sana! Tanzania 🇹🇿 itatengwa na Kenya kwa lipi? Yaani mkenya akija Tanzania 🇹🇿 kuwekeza hakuna figisu,Ila Sisi tukienda kwao figisu kibao eti tusitengwe? Kenya inatusaidia nni cha maana Hadi watutenge?
Ungekuwa unanielewa ungejua im just being sarcastic.
 
Haya manyangau wakati wa propaganda ya Korona , walikuwa wanapewa pesa za bure na wazungu kwa sababu ya kufunika midoma na mavitambaa a.k.a BARAKOA na kujipaka chang'aa mikononi a.k.a SANITIZER ili kumfurahisha mzungu wakawa hawalimi,na kutusema vibaya sisi🇹🇿 Tuliokataa huo ujinga.

Sasa Korona imekata, ndio yanatoka ndani yalikojifungia, kulima hayajalima, misaada imekatika yanalia njaaa

Ndio haya haya wakati yanapata ration ya bure ya unga wa korona yalisema mahindi ya bongo na Uganda yanasumu. Sasa hivi wanahangaika na njaa, huku bongo wapo vijijini wanatimuliwa kwa kulangua mazao

Nakumbuka kikao kimoja cha wafanyabiashara kilifanyika Nairobi Rostam Ki Azazi aliwachana live mbele ya uhuru kuhusu figisu alizopata katika kuomba kibali cha kuwauzia gesi

Hàwa ni majirani wa ajabu sana, ndio maana wagombea wameweka kwenye kampeni kipengele cha kuruhusu Bhangi, hawa ndio wanatusumbua na madawa ya kulevya aina ya Mirungi wao wanaita miraa, kwetu tumezuia yenyewe yanalima
 
Safi sana wameshakomba chakula chetu. Kuna watu walikuwa wanamwona Magufuli mjinga kumbe alikuwa anajua namna ya kudeal nao
 
Mimi namwomba mama yetu, nadhani ana isikia kwa sababu ni mpole mnyenyekevu na msikivu kuliko yule anayegombea unaibu kwenye nchi moja huko Afghanistan, mwenye sura ngumu na kavu na macho kama anavuta ile majani inaitwa Wajakoya

Mama yetu mwema🙏🇹🇿 Tunaomba uharakishe treni ya kwenda RWANDA, BURUNDI na DRC halafu baadaye pale bandarini ufanye maamuzi magumu na ya kihistoria ya kuifanya bandari ya Dar es salaam kuwa FREE PORT Kama dubai, yale makodi yooote ya mkoloni aliyeweka pale futilia mbali, ndani ya miaka 3 Tanzania itaizidi marekani uchumi tuyaache hayo manyangau yanayosubiri unga wa super market yakijipendekeza kwa mzungu
 
Nimekutana na hii habari kwamba Rostam Azizi amezuiwa kuuza Gesi yake Kenya kisa eti maswala ya mazingira.

Wakenya kwenye figusifigusi wako vizuri sana hawa jamaa hata Dange amewavulia kofia. Wao wana enjoy sana freedom ya kufanyabiashara Tanzania lakini Kampuni za Kitanzania kule Kenya huwa zinakutana na hujuma za kutosha. Sina hakika kama Azam bado anapeleka Juice zake Kenya make ni hayahaya mambo ya hujuma.

Kule wana Cartel kali sana, Wakenya huwa hawapendi competition kabisa, wako radhi hata wahonge mamlaka zao kiasi chochote kila cha pesa.

Ili ufanikiwe kufungua Biashara Kenya ni hio biashara iwe mpya kabisa yaani kule kwao haipo kabisa, ila kama ipo usijaribu kabisa.

Hata kampuni yao kubwa ya Safaricom ishafanya hujuma nyingi sana kwa kampuni za simu za kigeni zisipewe kibali cha ku oparate Kenya, huwa hadi wanaenda Mahakamani kuzuia.

Juzi kati nimeanza kuona maziwa yao tena kule Arusha, lakini sasa wewe jaribu kupeleka kwao uone, hata mahindi ni kwa sababu tu hawana namna ila wangekuwa na wao wana zalisha nakuambia mahindi ya Tanzania yasingekuwa yanavuka mpaka kwenda kwao.

=======

Kenya freezes Tanzanian tycoon's cooking gas plant

Kenya has frozen plans by a Tanzanian billionaire to set up a gas plant and storage facilities at the Mombasa port, threatening a trade spat between the two neighbouring countries.

The Energy regulator has declined to clear the application by Taifa Gas, which is owned by tycoon Rostam Aziz, citing risks to the environment posed by the 30,000-ton gas handling facility.

The entry of the business magnate, who was ranked the first dollar billionaire in Tanzania by Forbes in 2013, promised a vicious battle for control of the Kenyan cooking gas market that remains under the tight leash of Mombasa-based tycoon, Mohamed Jaffer.

The entry of Taifa Gas into Kenya is part of a trade deal between the countries signed between Kenyan President Uhuru Kenyatta and Tanzania’s Samia Suluhu last year.

The regulatory licence freeze risks reigniting the trade spat between Kenya and Tanzania that saw Dar es Salaam block Kenyan goods from accessing its market.

The billionaires’ fight pitting Mr Jaffer and Mr Aziz, 57, was expected to cut the cost of handling and evacuating cooking gas from the ships to the mainland, allowing dealers to transfer the cost relief to consumers.

Just like Mr Jaffer, Mr Aziz has invested in building political networks that saw him serve as MP and treasurer of the ruling party-- Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Mr Aziz’s ambitions to establish a presence in Kenya’s retail cooking gas business looked set to trigger another market fight with oil dealers such as Vivo, Rubis and Total for control of the 2.87 million households (23.9 percent of Kenyan households) that use liquefied petroleum gas (LPG) for cooking.

“We did not clear their Environmental and Social Impact Assessment (ESIA) because of certain technical deficiencies. The EIA had some technical deficiencies which we want them to address before we consider their application further,” the Energy and Petroleum Regulatory Authority (Epra) said in a response to Business Daily queries.

The regulator did not disclose the technicalities linked to Taifa Gas, which is the largest gas retailer in Tanzania and has more than 30 LPG handling plants.

Taifa Gas wants to build the 30,000-ton Kenya facility at the Special Economic Zone in Dongo Kundu, near the Port of Mombasa.

It will join Jaffer’s firm, Africa Gas and Oil Ltd (AGOL), in the short list of firms that operate gas handling and storage at major entry ports in Africa.

AGOL has a storage capacity of 25,000 tonnes of LPG following an upgrade last year of the facility initially built in 2013.

The plant was built to allow for bulk imports of cooking gas to lower unit costs through economies of scale and curb shortages, which had been made difficult by the smaller import terminal at Shimanzi.

It had a storage capacity of 10,000 tonnes and the 25,000 tonnes unit is ranked among the largest terminals in sub-Saharan Africa.

The import handling and storage unit has helped relieve demand pressures through reduction of stock-outs, effectively easing pressure on LPG prices.

Previously, the oil marketers imported cooking gas individually in small quantities due to inadequate gas discharge facilities.

This led to cooking gas shortages and expensive LPG due to high import premiums and demurrage, which are penalties marketers pay shipping companies when tankers fail to offload in the stipulated time period.

The Shimanzi terminal has a capacity of just 1,400 metric tonnes.

The tankers would queue for up to two months, leaving the marketers with a daily fee of $20,000 (Sh1.7 million).

Private companies have been angling to benefit from the growing use of cooking gas in Kenya in the absence of investments by the government via import and storage facilities.

This is the reason the wealthy Mr Aziz is seeking a piece of Kenya’s gas market.

Mr Aziz facilitated Vodacom South Africa’s entry into Tanzania, and previously owned an estimated 35 percent stake in Vodacom Tanzania.

In 2019, he concluded the sale of the last tranche of his Vodacom Tanzania shares in deals that saw him pockets billions of shillings.

Apart from his shareholding in Vodacom Tanzania, he built a fortune from stakes in contract mining firm Caspian Mining, extensive real estate in Tanzania and the Middle East and investments in Tanzanian media.

He has been vocal about hurdles placed on his bid to enter the Kenyan market.

“Tanzania and Kenya potentially can be much bigger than they are. Unfortunately, we’re bogged down by petty politics, protectionism, inward-looking and trivial issues that impede economic development,” Mr Aziz said at a conference in Nairobi last year.

He was Tanzania’s first dollar billionaire (worth over Sh120 billion) and is still one of the country’s leading businessmen and power brokers.

Source: businessdailyafrica
Na Tanzania tungechukua retaliatory measures za kublock strategic investments zao hapa TZ JPM alikuwa anamudu sana vita vya aina hii
 
Niliwahi shauri Serikali iache kuwachekea Wakenya ila haikujali..

Njia ni rahisi tuu kama hawataki Watu wetu kwenye sector ya Gas na sisi ni kuwazuia kuwekeza kwenye baadhi ya sector zetu..

Leo kuna kikao huko Arusha nitashangaa kama haya mambo hayatajadiliwa vinginevyo hakuna hata maana ya kuwa na hiyo inaitwa Jumuiya ya EAC.
Magufuli hakuwahi kuwachekea mkamwita mshamba!

Ngojeni wawatie madole sasa, si mnafungua nchi nyie?
 
Back
Top Bottom