Rostam Aziz amkabidhi Spika Ndugai mashine ya kuwapulizia wabunge dawa ya kuua virus ili kudhibiti Corona

Rostam Aziz amkabidhi Spika Ndugai mashine ya kuwapulizia wabunge dawa ya kuua virus ili kudhibiti Corona

Hapa Tanzanian drugs authority wamehusishwa?
Rostam sijawahi kukuamini, nitakupinga hadi Mwisho! Nasikia kuna Nyumba imewaka Moto Temeke na vifaa kuteketea is that your plan ? Motive! Mission!
Ili akopeshe au vifaaa
 
Hapa Tanzanian drugs authority wamehusishwa?
Rostam sijawahi kukuamini, nitakupinga hadi Mwisho! Nasikia kuna Nyumba imewaka Moto Temeke na vifaa kuteketea is that your plan ? Motive! Mission!
asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na Rostam.
 
Namtafuta sana Rostam Azizi. Mwenye contacts zake au anayejua jinsi ya kumpata naomba tuwasliane.
Nitashukuru
 
Hapa Tanzanian drugs authority wamehusishwa?
Rostam sijawahi kukuamini, nitakupinga hadi Mwisho! Nasikia kuna Nyumba imewaka Moto Temeke na vifaa kuteketea is that your plan ? Motive! Mission!
😆😆😆😆 , subiri kesho kwenye Habari Leo " ROSTAM AOKOA JAHAZI "
 
Hapa Tanzanian drugs authority wamehusishwa?
Rostam sijawahi kukuamini, nitakupinga hadi Mwisho! Nasikia kuna Nyumba imewaka Moto Temeke na vifaa kuteketea is that your plan ? Motive! Mission!
Alikuomba umkopeshe hata umuamini?
 
Mfanyabiashara maarufu nchini ndugu Rostam Aziz amemkabidhi Spika wa bunge mh Ndugai mashine ya kuwapulizia dawa wabunge ili kudhibiti maambukizi ya Covid 19.

Sasa wabunge kabla ya kuingia Bungeni watapita kwenye mashine hiyo na kupuliziwa dawa mwili mzima kisha wataingia ukumbini.

Maendeleo hayana vyama!

Kwanini hakuwahi Kuutoa ili wana Mikocheni waendelee kula Matunda yatokayo katika Milima ya Moto yenye Kuua Shetani?
 
HUYU ROSTAM NAONA KARUDI KIVINGINE, TUSIPOANGALIA TUTAKUJA KUWA NA RAIS MHINDI HAPO BAADAE
ni sawa tu mkuu acha tuongozwe na chotahe, kuliko jiwe, tangu lini ulishawahi kujigonga kwenye jiwe ukaangua kicheko, bora ugongane na rostam angalau atakupa milioni moja ya pole

Sent using Jamii Forums mobile app
 
My Dear President!
Rostam will destroy you before you realize you will be done!
You don’t have to treat him as an enemy, but I don’t think 🤔 he is a good friend either!

Watch out! I must be absolutely nearby to complete a mission!
 
Hapa Tanzanian drugs authority wamehusishwa?
Rostam sijawahi kukuamini, nitakupinga hadi Mwisho! Nasikia kuna Nyumba imewaka Moto Temeke na vifaa kuteketea is that your plan ? Motive! Mission!
Alikuomba umkopeshe hata umuamini?

Kumuamini au kutokumuamini kwako kunamzidishia au kunampunguzia nini Rostam Aziz?
 
Alikuomba umkopeshe hata umuamini?

Kumuamini au kutokumuamini kwako kunamzidishia au kunampunguzia nini Rostam Aziz?
Binti Mrembo! Dawa ya chawa ni kuminya siyo kumficha atakuumbua!
 
Binti Mrembo! Dawa ya chawa ni kuminya siyo kumficha atakuumbua!
Hapo naona kama chawa kakuumbua wewe.

Alikuomba umkopeshe hata umuamini?

Kumuamini au kutokumuamini kwako kunamzidishia au kunampunguzia nini Rostam Aziz?
 
Hapo watanzania ndipo wanapokuwa watu wa ajabu. Angegawa pesa mitaani ungeenda kupanga foleni. Ametoa kifaa kitachosaidia watu wasibuambukizwe unaleta hoja za kitoto.Kwa hiyo hata Jack Ma na mwenzake wanataka tuwe na rais mchina!

Kwa jinsi awamu hii ilivyoingia na mikwara mbuzi kwamba inapambana na mafisadi, sikutarajia huyo Rostam kama leo ndio angekuwa anacheza na taasisi za serikali kwa karibu. Wale waliokuwa wanasema Magufuli anapambana na mafisadi tuliwaambiwa kuwa hapambani na mafisadi, bali anapambana na matumizi ya neno fisadi. Leo imedhihirika kambale msafi hataki bwawa chafu.
 
Hapo naona kama chawa kakuumbua wewe.

Alikuomba umkopeshe hata umuamini?

Kumuamini au kutokumuamini kwako kunamzidishia au kunampunguzia nini Rostam Aziz?

Ww ni zao la ufisadi, huna lolote unaloweza kuongea. Kaa kimya ule ulizochotewa na mafisadi.
 
Back
Top Bottom