kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Pole umekubali kuwa ni mwizi,umekubali kupokea najisi,umekubali kuwa magufuli ni mnafiki wa kupambana na mafisadi,umekubali kuuuza Utu wako kwake yaani fedha umeiweka mbele kuliko maslahi ya watanzania.Alivyotoa vinasafisha hata wabunge wako.