Rostam Aziz ana pesa, ni tajiri namba 1 Bongo, tuache wivu

Rostam Aziz ana pesa, ni tajiri namba 1 Bongo, tuache wivu

Waulize wafanyakazi wa Caspian na Miombo Safari upate ukweli, huyo ni Mhajemi (Persian)

Caspian alikuwa na kandarasi ya uchimbaji mgodi wa GGM , Mwadui (Wilson diamond mine), alipewa kandarasi mradi wa Kinyerezi na kampuni ya Toshiba na pia mgodi wa Barrick gold - Kahama. Staff wanalipwa vizuri. Naona ni Mtanzania zaidi kuliko Muajemi
 
Kuna Aziz Ki halafu kuna Rostam Aziz hawa watu katika sekta zao hakuna anayewazidi. View attachment 2363711
Coastal aviation ilikuwa ya yule Mtaliano aliyefariki 2017, Bw. Nicola Colangelo. Baada ya kufarikia hakukuwa na namna lazima ingefika wakati wangefilisika au wakubali kuuzwa.

 
Ana hela ana hela halafu ana hela tena. Siyo mtu wa makando kando, siyo mtu wa madili japo ilitumika nguvu kubwa kumchafua.

Aziz ni akili kubwa sana, tayari ashanunua shirika lenye ndege nyingi zaidi TZ. Nani mwingine ana jeuri hiyo?

Jamaa ni smart sana, kimavazi na upstairs.

Vijana wa TZ tuna la kujifunza hapa.
Ndege nyingi ndo zile za Coastal
 
Hakuna bilionea anaefanya hivyo.
Hukutani nao tatzo hawapo kwenye cycle yako sipo hapa kupiga blahblah kwa jambo ambalo nina ushahidi nalo..au unadhani Million 100 kwa Rostam ni ngumu kama ilivyo kwetu sisi!?? Kawaulize wale wabunge waliopo bungeni kwamba mpaka wamefika pale wengi wao ni kwa msaada wa nani financially watakwambia!!
 
Hahahahha, eti 100mil. bado umsamehe kwa kidogo alichojaaliwa. Sasa pesa za Dowans bilioni 900, asiwe na hela amerogwa?
Kuna jamaa yangu pale mjengoni aliambiwa hivyo uchaguzi 2020🤣🤣🤣Halafu kuna jamaa yangu mwingine pale Morogoro kapewa M150 awape wajumbe wa CCM kaishia kuwapa elfu kumikumi badala ya 70 kama walivyokubaliana kilichofuatia kapigwa chini hela iliyobaki kamalizia mjengo wake kihonda
 
Coastal aviation ilikuwa ya yule Mtaliano aliyefariki 2017, Bw. Nicola Colangelo. Baada ya kufarikia hakukuwa na namna lazima ingefika wakati wangefilisika au wakubali kuuzwa.

Hao wafanyakazi 300 watakua na furaha kama management mpya haitakuja na utaratibu mpya wa kiuendeshaji ambapo unaweza kupelelekea baadhi kutimuliwa kazi.
 
Back
Top Bottom