Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo DSM, upo wapi?
😂😂Hivi vijana wa Sasa mnakwama wapi? ndio swagger hizi?
mrangi mutu wangu hivi huyu jamaa anachosema nakudai ni kweli?Halafu ana roho smart ukipambana ukapata connection nae suala la kukusaidia milliono 100 ni jambo la kawaida sana kwake tena anakwambia nisamehe kwa hichi kidogo nilichojaaliwa ndugu yangu
Jibu zuri sanaAjira, kodi kwa serikali nk..
Dogo ww bado mgeni mjini humjui rostammnaanzaga hivi hivi kama utani unashangaa mtu anachukua form mahali, au nafasi inaandaliwa mahali.
Wacha weeeTupendane tuu maana kupendana ni amri ya Mwenyezi Mungu
Duh! Kwa hiyo akina mzee Msoga wote walipigwa na kitu kizito?[emoji23][emoji23][emoji23]Huyo si wanasema ni siiaiei? Utajiri wake uliongezeka alipowapiga ccm na kitu kizito baada ya kujimilikisha hisa za voda ambazo zilikuwa zao enzi zile ni mweka hazina.
Vipi huo mtaa kuala lumpur hupo Nyarugusu?
Hakika! Tuwasamehe tu hawa wazeeBORA UNGESEMA UTAJITAHIDI UWE KAMA YEYE.KULIKO ULICHOKITAMKA.
Ni sahihi pia, wana shida zao pia.Aliyekwambia Mimi nautaka utajili ni nani?
Si kila mtu anahitaji kuwa tajiri, ni vile tu hamjui shida za matajili.
Hahahah mkuu mimi siyo tithi bhana. Form ya wapi tena?mnaanzaga hivi hivi kama utani unashangaa mtu anachukua form mahali, au nafasi inaandaliwa mahali.
Stories za kijiwe SamliUtajiri.. u will never know whats behind the scene mwana ni mpiga dili tu mwenye konektion za kimataifa... ni mafia kuliko unavyodhani...
Hahahahah umsamehe siyo? Watu tunatofautiana, ni kama vidole tu vya mikono na miguu.Hahahahha, eti 100mil. bado umsamehe kwa kidogo alichojaaliwa. Sasa pesa za Dowans bilioni 900, asiwe na hela amerogwa?
Ndio hivyo. Kila mjanja ana mjanja wake.Duh! Kwa hiyo akina mzee Msoga wote walipigwa na kitu kizito?[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahah so hata Msoga naye alikuwa anafugwa au?Rostam ni wakala wa CCM na wenyeviti wake.
Mzee hayanaga formula, ya nini uzunguke zunguke bhana? Hayo tulishayatupa enzi zenu za miaka ya 80! Now ni yes or no!Hivi vijana wa Sasa mnakwama wapi? ndio swagger hizi?
SahihiCaspian alikuwa na kandarasi ya uchimbaji mgodi wa GGM , Mwadui (Wilson diamond mine), alipewa kandarasi mradi wa Kinyerezi na kampuni ya Toshiba na pia mgodi wa Barrick gold - Kahama. Staff wanalipwa vizuri. Naona ni Mtanzania zaidi kuliko Muajemi
Yeah ni kweli!Coastal aviation ilikuwa ya yule Mtaliano aliyefariki 2017, Bw. Nicola Colangelo. Baada ya kufarikia hakukuwa na namna lazima ingefika wakati wangefilisika au wakubali kuuzwa.
![]()
Founder of Tanzanian Coastal Aviation remembered
Nicola Colangelo, born on October 26, 1943 in La Spezia, Italy, and Founder of Coastal Aviation has died. Colangelo grew up in a peasant household in Liguria. He came to Africa in 1965, marriedwww.tourismupdate.co.za