Waulize wafanyakazi wa Caspian na Miombo Safari upate ukweli, huyo ni Mhajemi (Persian)
Coastal aviation ilikuwa ya yule Mtaliano aliyefariki 2017, Bw. Nicola Colangelo. Baada ya kufarikia hakukuwa na namna lazima ingefika wakati wangefilisika au wakubali kuuzwa.Kuna Aziz Ki halafu kuna Rostam Aziz hawa watu katika sekta zao hakuna anayewazidi. View attachment 2363711
Ndege nyingi ndo zile za CoastalAna hela ana hela halafu ana hela tena. Siyo mtu wa makando kando, siyo mtu wa madili japo ilitumika nguvu kubwa kumchafua.
Aziz ni akili kubwa sana, tayari ashanunua shirika lenye ndege nyingi zaidi TZ. Nani mwingine ana jeuri hiyo?
Jamaa ni smart sana, kimavazi na upstairs.
Vijana wa TZ tuna la kujifunza hapa.
Hakuna bilionea anaefanya hivyo.Halafu ana roho smart ukipambana ukapata connection nae suala la kukusaidia milliono 100 ni jambo la kawaida sana kwake tena anakwambia nisamehe kwa hichi kidogo nilichojaaliwa ndugu yangu
Kubali, zali hilo. Utazeeka hujaolewaHivi vijana wa Sasa mnakwama wapi? ndio swagger hizi?
another man downHalafu ana roho smart ukipambana ukapata connection nae suala la kukusaidia milliono 100 ni jambo la kawaida sana kwake tena anakwambia nisamehe kwa hichi kidogo nilichojaaliwa ndugu yangu
Mwenzako haongelei kupendana uwazavyo, anataka akufukunyue mbususu wako πTupendane tuu maana kupendana ni amri ya Mwenyezi Mungu
Hukutani nao tatzo hawapo kwenye cycle yako sipo hapa kupiga blahblah kwa jambo ambalo nina ushahidi nalo..au unadhani Million 100 kwa Rostam ni ngumu kama ilivyo kwetu sisi!?? Kawaulize wale wabunge waliopo bungeni kwamba mpaka wamefika pale wengi wao ni kwa msaada wa nani financially watakwambia!!Hakuna bilionea anaefanya hivyo.
Kuna jamaa yangu pale mjengoni aliambiwa hivyo uchaguzi 2020π€£π€£π€£Halafu kuna jamaa yangu mwingine pale Morogoro kapewa M150 awape wajumbe wa CCM kaishia kuwapa elfu kumikumi badala ya 70 kama walivyokubaliana kilichofuatia kapigwa chini hela iliyobaki kamalizia mjengo wake kihondaHahahahha, eti 100mil. bado umsamehe kwa kidogo alichojaaliwa. Sasa pesa za Dowans bilioni 900, asiwe na hela amerogwa?
Hao wafanyakazi 300 watakua na furaha kama management mpya haitakuja na utaratibu mpya wa kiuendeshaji ambapo unaweza kupelelekea baadhi kutimuliwa kazi.Coastal aviation ilikuwa ya yule Mtaliano aliyefariki 2017, Bw. Nicola Colangelo. Baada ya kufarikia hakukuwa na namna lazima ingefika wakati wangefilisika au wakubali kuuzwa.
Founder of Tanzanian Coastal Aviation remembered
Nicola Colangelo, born on October 26, 1943 in La Spezia, Italy, and Founder of Coastal Aviation has died. Colangelo grew up in a peasant household in Liguria. He came to Africa in 1965, marriedwww.tourismupdate.co.za
Kama utajiri ni shida basi na Mimi nazihitaji hizo shidaAliyekwambia Mimi nautaka utajili ni nani?
Si kila mtu anahitaji kuwa tajiri, ni vile tu hamjui shida za matajili.
Haya uje inbox. Nakupenda kimapenzi!
Mwenzako haongelei kupendana uwazavyo, anataka akufukunyue mbususu wako π
Ndioo kaa chonjoo mama, chunga mali yako ha haaπ πHivi eeeh!?
Ndioo kaa chonjoo mama, chunga mali yako ha haaπ π
Mzoga ulio haiAliyekwambia Mimi nautaka utajili ni nani?
Si kila mtu anahitaji kuwa tajiri, ni vile tu hamjui shida za matajili.
Nipo DSM, upo wapi?Hapahapa ndio pazuri[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ajira, kodi kwa serikali nk..Utajiri wake wewe unakunufaisha nini binafsi?