Rostam Aziz ana pesa, ni tajiri namba 1 Bongo, tuache wivu

Kumbe Kanunua hivi vi cassena single engines vinatumika kumwagilizia pembejeo kwenye mashamba makubwa ya ngano? Pia vilikuwa vinamwagilia pesticide kuua nzinge. Mbona hata matajiri wengi uchwara kina vunjabei wanaweza kuvinunua tu kwa wingi?
Hizo Cassena ni za kwenu Nyalikungu uko. Zenyewe ni Cessna ambazo huyo Vunjabei ataendelea kuziota maisha
 
ukitaka kujua matajiri muulize masikini anawajua matajiri wote. mara zote masikini kijiwe chake kusifia matajiri mpaka usiku
 
Tulia uandike vizuri ndugu. Jitahidi Usiwe unarudi nyumbani usiku. Hilo shirika la ndege alilonunua ni lipi?
 
Halafu ana roho smart ukipambana ukapata connection nae suala la kukusaidia milliono 100 ni jambo la kawaida sana kwake tena anakwambia nisamehe kwa hichi kidogo nilichojaaliwa ndugu yangu
Lazima akukule ndogo.
 
Tunaomba Mungu awafungue chawa wote matumbo yao wasiwe na utasa.
 
Niliwahi sikia ile mitambo ya Richmond yeye ndiye alipewa dili aiagize. Sijui alikuwa bilioni ngapi!?
 
Caspian alikuwa na kandarasi ya uchimbaji mgodi wa GGM , Mwadui (Wilson diamond mine), alipewa kandarasi mradi wa Kinyerezi na kampuni ya Toshiba na pia mgodi wa Barrick gold - Kahama. Staff wanalipwa vizuri. Naona ni Mtanzania zaidi kuliko Muajemi
Naona waliompa kandarasi nao walifaidi kweli 10%. Hasa wale vijana waliokuwa wanajiita "Boyz II Men". Yaani JMK na ENL.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…