johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
"Hakuna kiongozi aliyeteuliwa juu ya watu kisha akafa hali ya kuwa amewadanganya, isipokuwa Mwenyezi Mungu atamharamishia pepo." (Sahih Bukhari, Sahih Muslim).Katika Dunia hii ya akina Howard Lutnick kiukweli Tanzania tunahitaji Waziri wa Biashara ambaye ni very smart
Rostam Aziz anastahili jukumu hilo
Ahsanteni sana π
Apewe bucha kabisa? Uko serious?Katika Dunia hii ya akina Howard Lutnick kiukweli Tanzania tunahitaji Waziri wa Biashara ambaye ni very smart
Rostam Aziz anastahili jukumu hilo
Ahsanteni sana π
Yule ni ManjiKwani rostam si alikufa?
Au walikuwa wawili?
Amekutuma? acheni kuuza nchi kwa matapeliKatika Dunia hii ya akina Howard Lutnick kiukweli Tanzania tunahitaji Waziri wa Biashara ambaye ni very smart
Rostam Aziz anastahili jukumu hilo
Ahsanteni sana π
Ameandika hapo huku yupo kaunta huyu mjingaMshaanza.
Sema kuna watu huwa mnaongea kama mmekurupushwa kwenye fumanizi.
No offense
Hawezi kukubali maana wadanganyiko Wana midomo sana ya Majungu na fitina yaani aache kuwekeza akiwa huru aanze kuzodolewa akiwa Waziri?Katika Dunia hii ya akina Howard Lutnick kiukweli Tanzania tunahitaji Waziri wa Biashara ambaye ni very smart
Rostam Aziz anastahili jukumu hilo
Ahsanteni sana π
Hii nakuunga mkonoKatika Dunia hii ya akina Howard Lutnick kiukweli Tanzania tunahitaji Waziri wa Biashara ambaye ni very smart
Rostam Aziz anastahili jukumu hilo
Ahsanteni sana π
Hajanituma ila RA ni mtu wa mikakati ya kiduniaKakutuma?
Wakati napiga BIA pale Kilimanjaro Hotel Freeman Mwenyekiti wako alikuwa analinda Range Rover na Volvo zisiingie Viwanja vya BoT ππAmeandika hapo huku yupo kaunta huyu mjinga
Hata Salim na Cleopa walitajwa sana tu enzi za Nyerere lakini Mwalimu akagundua kwa kutajwa tajwa kumbe Watu hawa ni wabunifu wakazidi kupandishwa Vyeo π€£Rostam katajwa kwenye madili yote ya kifisadi. Hafai kabisa.
Hata mimi najua hivoKwani rostam si alikufa?
Au walikuwa wawili?