Rostam Aziz anafaa kuwa Waziri wa Biashara, Viwanda na Uwekezaji

Rostam Aziz anafaa kuwa Waziri wa Biashara, Viwanda na Uwekezaji

Rostam Aziz ndiye alitoa Wazo matawi ya CCM kumiliki vitega uchumi badala ya kutumia Viwanja vyao kulaza magari

Ndio unaona pale Tawi la Makangira kwa mfano Wana kituo cha Mafuta na Supermarket 😂😂
Mwaka 2011, Rostam alijiuzulu ubunge na nyadhifa zake ndani ya CCM baada ya tuhuma za ufisadi kumkabili.
 
Umeelewa eenh? Au nikueleweshe zaidi?

Kwa ufupi, Mawaziri wa Tanzania wana hamu ya kumuona au kuonana na Rostam japo kwa dakika tano, hawapati nafasi hiyo.

Katafute maana ya "King maker" ni nini, labda utanielewa.
Kwa sababu Rostam Aziz ndiye aliongoza msafara ule wa Vatican basi nimekuelewa 😄
 
Katika Dunia hii ya akina Howard Lutnick kiukweli Tanzania tunahitaji Waziri wa Biashara ambaye ni very smart

Rostam Aziz anastahili jukumu hilo

Ahsanteni sana 😄
Kuna Mpuuzi Juzi aliahidiwa Benz kwa Kumpamba Mpumbavu Kijana AR, sijajua nawe leo umeahidiwa nini na Fisadi.
 
Muulize Tundu Antipas Lisu wa Lowassa 2015 kwamba pale Mwembeyanga alisemaje? 😂😂😂

Usichanganye kuchafuana kisiasa na Utu halisi wa Muhusika
Hao walikuwa wapinzani na mambo yalikuwa hadharani, mchana, kweupe. Hata Lissu hawezi kukubishia.

Sasa ni huko huko ndani ya CCM. Utambulisho wa Rostam hadi Leo ni kizunguzungu tu kama wa mnajimu mkuu vile. Ana majukumu mazito ndani ya chama na serikali lakini ni kivuli chake tu ndio kinahisiwa kuonekana. Full time anacheza gizani matokeo tu yanaonekana jua likiwaka kama kwenye ile story ya Dr. Jekyll & Mr. Hyde!

What’s up guys?
 
Fisi ni hao wanaokuja kutajirikia kwenye uwaziri 😂

Aziz alishavukaga level za Ubunge Uchwara
1732095410108.png


Unakumbuka hii..... aliyefanya hii unamjua?
 
Haya wasalimie 🤣
Umeelewa eenh? Au nikueleweshe zaidi?

Kwa ufupi, Mawaziri wa Tanzania wana hamu ya kumuona au kuonana na Rostam japo kwa dakika tano, hawapati nafasi hiyo.

Katafute maana ya "King maker" ni nini, labda utanielewa.
 
Ni nini kazi / wajibu wa Waziri wa Biashara ? Kwamba Policies za nchi zinapangwa na mtu au tungekuwa na long term plans hata tukiweka Sokwe mambo yanakwenda kulingana na mipango yetu ?

Hili ndio tatizo tunategemea individual brilliance badala ya kuwa na brilliant systems..., Hio moja mbili the country machinery needs to work in collaboration its like a chain which is as strong as its weakest link...
 
Una maana Rostamu huyuhuyu aliyetupiga kwa sana au ni mwingine?!!
Amekutuma ulete huu uchuro
au ni njaa zako?!
 
Umeelewa eenh? Au nikueleweshe zaidi?

Kwa ufupi, Mawaziri wa Tanzania wana hamu ya kumuona au kuonana na Rostam japo kwa dakika tano, hawapati nafasi hiyo.

Katafute maana ya "King maker" ni nini, labda utanielewa.
Huyo Rostam ndo danga lako ?
 
Nmejaribu kufuatilia mahojiano yake na vyombo vya habari... Jamaa anaongeaga point tu.

Sjui kwa Nini watu wanapenda kuangapia upande hasi..
 
Back
Top Bottom