Hapo wenyewe wanakulaKumbe mgodi wa williamson ulishakuwa hauna thamani kabisa, yaani mgodi wote thamani yake ni kama dola milioni 48 tu kwani kama milioni 15 ni 31.5% basi 100% ni hiyo $47.5m ? Thamani hiyo ni chini kabisa ya gharama ambazo Waziri wa nishaiti anataka kutumia kukodi crane moja ya kufungulia maji bwawa la nyerere.
Walimrudisha waoRA kasharudi rasmi...tumzoeee
Wewe huna akili ni Dola million 15Wamenunua kwa dola 15? Hata mama nitilie angenunua
Dola 15 hata machinga angenunua
Utaelewa vipi wakati wewe ni mwanaume legelege usiye na msimamo?Mimi sielewi model ya Botswana tuwekee hapa tuilinganishe apples by apples
Caspian si mjinga walikubaliana kabla hajafanya hayo yotePetra naye kacheza Karata vizuri, its mafia business...amerun with Caspian as a contractor for drill, blast and haulage akiwa hamlipi mpaka alipoona amerudisha hela yake na faida....then anamwambia Caspian sina hela yakukulipa nikuuzie hisa....now wanarun kama business partners wakiinflate operation cost huku share holder mmoja GOT akipigwa hasara...Petra with her shares and Caspian wakiju real opertaion cost na kwenda kugawana mkwanja mbele huko....
GOT make sure all supplies are locals blacks resides here and doing business here, put your eye in op cost..
Sio Kama akina Pele waliozaliwa Brazil mkuuNI MZALIWA NA IGUNGA TABORA. NI MZAWA MWENYE ASILI YA KIAJEMI (IRAN).
Kidogo sanaDola millioni 15 Bilioni 33
Ni Mtanzani of a Persian(Iranian) origin aliamia akiwa kijana lakini ni raia halali wa Tz mwenye haki zote za kiraia, si mzawa though.Kumbe Rostam Aziz ni Mzawa mwenzetu! Nilijua ni Mtanzania mwenye asili ya India.
Ha ha ha wakati niko sekondari alishakuwa mtu mzima kabisa. Kanizidi almost 20yrs.Ila kwa Umri wako Aziz hajakuzidi miaka 10 labda uwe under 40
Ok basi mi nilikua naku rate 45+Ha ha ha wakati niko sekondari alishakuwa mtu mzima kabisa. Kanizidi almost 20yrs.
Ha ha ha mabusara yamejaa! Nakaribia hio sijavuka.Ok basi mi nilikua naku rate 45+
Mmeshasahau. Sasa mnamuita mzawa.Bora wafaidike wazawa kuliko makaburu wa south africa.
Ila Watanzania tulivo na asili ya roho mbaya na upumbavu wa kiwango cha lami, lazima watu waanze kutoa kasoro ununuzi huu. Wataona bora hao makaburu waliokua wanatuma ndege private ndani ya mgodi na kusafirisha almasi kwenda South Africa kimya kimya.
Humu tunajua watu kupitia waandikachoHa ha ha mabusara yamejaa! Nakaribia hio sijavuka.
Kulialia haisaidii. Bora zimwi likujualo.Hawa watu ndio wanaila Tanzania kwa kigezo cha "watanzania wenye asili ya Asia nk" wanapata mitaji na boost kutoka kwa wenzao walioko huko ughaibuni, wanapenya ndani ya mifumo na kupewa kipaumbele kama wazawa huku wakihonga weusi wenzetu pesa mbuzi na kuiteka nchi....wanainner circle zao za siri kurun game locally and internationally, ukiwagusa lazima uyumbe maana wako nyuma ya weusi wenzetu wanaoamini kwenye mali kuliko utu wa mtanzania..
Mtaani watu wanadanganya sana kuhusu migodi na madini, niliwahi kumsikia jamaa mmoja akiwa Clouds TV kwamba eti kabla ya Magufuli kuna waziri alifukuzwa mgodi mmoja halafu hakumtaja huyo waziri. Watu waongo sanauko sahihi.... japo huwa ni kweli madini yanatoka mgodini na either ndege au helicopter chini ya uangalizi wa vyombo vyote vya serikali kwa maana ya TRA na TMA na ndugu zetu polisi wakiimalisha ulinzi....binafsi sifahamu zile ndege au helicopter zikibeba zinatua wapi...
Zamani migodi yote ilibeba kwa ndege ila baada ya wizi wizi, ikawa ni helicopter inatua direct plant karibu na gold room na kuchukua mali...
Umewahi kuuukamata uuume wangu na ukaona uko lege lege? Peleka biashara yako ya use..he huko
Serikali badala ya kunua share inanunua ndege....!!Bora wafaidike wazawa kuliko makaburu wa south africa.
Ila Watanzania tulivo na asili ya roho mbaya na upumbavu wa kiwango cha lami, lazima watu waanze kutoa kasoro ununuzi huu. Wataona bora hao makaburu waliokua wanatuma ndege private ndani ya mgodi na kusafirisha almasi kwenda South Africa kimya kimya.
Imebidi nicheke tu badala ya kukasirika. Wewe ni mpuuzi!Umewahi kuuukamata uuume wangu na ukaona uko lege lege? Peleka biashara yako ya use..he huko
Ww una uume? Dunia kweli imeishaUmewahi kuuukamata uuume wangu na ukaona uko lege lege? Peleka biashara yako ya use..he huko