Chinese wengi waliopo hapa wanabackup kutoka china kwenye financial institutions na government support incase kuna opportunity imeonekana huku....
Indians na Arabs waliopo hapa wengi wana circles zao kwa ajili ya kupigana tafu, lakini pia ipo mikopo rahisi ndani ya familia isiyo na riba, Arabs wengi wanapata support kutoa Oman na UAE kwa kupewa mikopo bila riba au biashara mali kauli mfano mafuta na spare parts na wengine hata kwenda kupewa ajira uarabuni kiundugu kwa ajili ya kusupport wenzao huku..... Uwepo wao hapa unawapa chance ya kuziona opportunity na kuziingia huku wakipata unafuu kama wazawa...wengi unakuta wanarun biashara sio zao wenye nazo hawapo hapa na si watanzania...kazi yao ni kuleta mitaji na waliopo kutorosha hela kupitia njia mbalimbali... Lakini pia walioko nje huwapa connection za masoko uarabuni, umangani na uhindini huko....ndio maana akina Manji, Dewji,Fida hussein ndio wanunuzi na wauzaji wa nafaka na mazao mbalimbali, na madini, JPM alipojaribu kuweka miguu walimkomesha mazao yakadodea wakulima, na Tanzanite ikashuka bei..
Tanzania ina opportunities nyingi sana, Wazawa hawana maarifa, hawana mitaji, hawana acces ya masoko ya kimataifa, chanzo chake ni siasa za kijamaa toka uhuru na ubichwa ngumu wa wanasiasa kuendelea kuamini zama za mawe na ubaguzi wa kidini, kikabila, kindugu nk...
Unahitaji kuandika kitabu juu ya haya...na unaweza hata kutolewa roho, Marehemu Rev Mtikira alikuwa na mengi juu ya hawa watu..