Rostam Aziz anunua asilimia 31.5 ya Williason Diamonds (Mwadui)

Rostam Aziz anunua asilimia 31.5 ya Williason Diamonds (Mwadui)

Upuuzi unaanzia hapa, Hii Mitaji Urithi tuliachiwa na wazee wetu na sisi inaobidi tuwaachie taifa la kesho hizi ni asilimia chache sana kwa Nchi kumiliki, kutokana na value ya hizi minings ingekuwa the other way Wananchi 75 na hao jamaa 25; Ukizingatia haya madude hayaozi
Fikiria upya baada ya hizi details halafu njoo tena;
1. Almasi zipo toka Tanzania iumbwe na Mungu ila watanzania wakati huo hawakujua kama zina thamani mpaka alipokuja Williamson miaka ya 1940s huko

2. Anayenunua ndiyo anazipa thamani, asiponunua hata leo zitabaki hazina thamani

3. Tanzania haiweki hata Tsh 100/- kwenye utafiti na uchimbaji lakini inapewa 25% ya hisa

4. Tanzania haina teknolojia ya kuchimba hata kama tukiamua kuwafukuza Petra

5. Debeers au Anglo -American Mining ndiyo wamiliki wa makampuni haya ya akina Barrick, ACACIA, Petra etc. Wanaandika jina Ku suit mazingira ya mahali.

6. Hao hao Anglo American ndiyo solo la la haya madini. Kwa hiyo unaweza ukapata teknolojia ya kuchimba ila ukaosa pa kuyauza
 
Haya makubaliano yanaweza kuwa na faida kubwa sana kwa Williamson diamonds kwa sababu Petra ilikuwa inapumulia mashine.
Lakini uko mbeleni sitashangaa Rostam Aziz akinunua asilimia zote za Petra na kuwa majority shareholder!

Na baadae atachonga dili aiuzie serikali kwa $100 million. Subiri uone
 
Fikiria upya baada ya hizi details halafu njoo tena;
1. Almasi zipo toka Tanzania iumbwe na Mungu ila watanzania wakati huo hawakujua kama zina thamani mpaka alipokuja Williamson miaka ya 1940s huko

2. Anayenunua ndiyo anazipa thamani, asiponunua hata leo zitabaki hazina thamani

3. Tanzania haiweki hata Tsh 100/- kwenye utafiti na uchimbaji lakini inapewa 25% ya hisa

4. Tanzania haina teknolojia ya kuchimba hata kama tukiamua kuwafukuza Petra

5. Debeers au Anglo -American Mining ndiyo wamiliki wa makampuni haya ya akina Barrick, ACACIA, Petra etc. Wanaandika jina Ku suit mazingira ya mahali.

6. Hao hao Anglo American ndiyo solo la la haya madini. Kwa hiyo unaweza ukapata teknolojia ya kuchimba ila ukaosa pa kuyauza
Nimeona nikianza kuchambua point moja ya nyingine tutachukua muda mrefu sana nikuulize tu swali moja; Hivi Botswana wanavyofaidika na Almasi zao ni sawa na sisi ?

Kumbuka uchimbaji una athari za kimazingira na inaweza kuleta kero kwa wakazi wanaozunguka mahali husika, kwahio issue ni kupata the best deal you can na sio any deal ili mradi tu uchimbe; tusiongelee sana Diamonds ambazo Debeers wana-manipulate soko ila tuongelee madini mengine kama gold (yenye matumizi lukuki hata industrial na ni easier to sell); narudia tena kuliko kuyagawa kama zawadi ni bora kungojea tupate akili sababu hayaozi...
 
Bora wafaidike wazawa kuliko makaburu wa south africa.

Ila Watanzania tulivo na asili ya roho mbaya na upumbavu wa kiwango cha lami, lazima watu waanze kutoa kasoro ununuzi huu. Wataona bora hao makaburu waliokua wanatuma ndege private ndani ya mgodi na kusafirisha almasi kwenda South Africa kimya kimya.
Pale Igunga kaacha nyumba za tembe tupu
 
Nilifuatilia history yake, ni mtanzania wa kuzaliwa (by birth), mzawa wa wilaya ya igunga vijijini huko, mkoani tabora. Na ndio aliposomea shule na kukulia. Na alikua kichwa sana darasani mpaka kufikia alitoa A pekee ya hisabati tabora nzima NACTE darasa la 7 na form 4 kipindi hicho.

Aliproceed mpaka kusoma chuo Oxford University (UK) maswala ya uchumi na biashara. Na aliwaburuza kweli kweli. Then akaingia kwenye siasa na kugombea Ubunge hapo hapo Wilaya ya Igunga.

Mnyamwezi wa tabora huyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Kabila gani na uko wa nani? huyu ni mhindi 100%
 
Bora wafaidike wazawa kuliko makaburu wa south africa.

Ila Watanzania tulivo na asili ya roho mbaya na upumbavu wa kiwango cha lami, lazima watu waanze kutoa kasoro ununuzi huu. Wataona bora hao makaburu waliokua wanatuma ndege private ndani ya mgodi na kusafirisha almasi kwenda South Africa kimya kimya.
Rostam ni mzawa? kabila gani na ukoo wa nani?
 
Dola milioni 15 ni hela ya kununua almasi, si hela ya kununua hisa za asilimia zaidi ya 30 katika mgodi wa almasi.
Haya mambo naona ni kama yaliyotokea Russia ilivyosarambatika na watu kujichotea Keki ya Taifa kwa bei za kishikaji...., The Rise of the likes of Roman Abramovich

Sisemi kwamba hapa ndio kinatokea kitu kama hicho...., Am just saying its possible watu kujimilikisha Commanding Heights of the Country Economy
 
Ndugu yangu hata kote kule uwanja wa ndege, uwanja wa golf, boths , Uhindini , ujamaa quarters,nk. Almasi zilikuwepo ila nafikiri kufikia leo watakuwa zile kubwakubwa walishazimaliza......bongo kweli huwa ni shamba la bibi......hahahaaa
Though hawawi majority shareholder lkn wanaweza kubadilisha sana biashara na uzalishaji wa huu Mgodi! Sijui kule Makamba Jeki bado kuna almasi?
 
Kumbe Rostam Aziz ni Mzawa mwenzetu! Nilijua ni Mtanzania mwenye asili ya India.
Rostam Aziz babu zake wameanza biashara tabora 1850,makao makuu kijijini mwisi,igunga...ana mizizi na nchi kuliko wanaojiita waha ilhali ni warundi,au pengine kuliko hayati mkapa kwa mujibu wa mzee lyatonga mrema
 
Nimeona nikianza kuchambua point moja ya nyingine tutachukua muda mrefu sana nikuulize tu swali moja; Hivi Botswana wanavyofaidika na Almasi zao ni sawa na sisi ?

Kumbuka uchimbaji una athari za kimazingira na inaweza kuleta kero kwa wakazi wanaozunguka mahali husika, kwahio issue ni kupata the best deal you can na sio any deal ili mradi tu uchimbe; tusiongelee sana Diamonds ambazo Debeers wana-manipulate soko ila tuongelee madini mengine kama gold (yenye matumizi lukuki hata industrial na ni easier to sell); narudia tena kuliko kuyagawa kama zawadi ni bora kungojea tupate akili sababu hayaozi...
Botswana kule wana hisa 49% government na 51% Debeers( kampuni inaitwa Debswana), na Namibian 49%government, na 51% Debeers,(kampuni inaitwa Namdeb)...huko walijitahidi toka mwanzoni kwa win-win situation, na sio sie tulileta siasa mapema sijui hao mabeberu ni., hivyo tukaanza kuwafukuza taratibu....
 
Caspian Limited imefikia makubaliano na Kampuni ya South Africa Petra Diamonds ya kununua asilimia 31.5 ya hisa za Williamson Diamonds Limited(WDL) kwa thamani ya dola za Kimarekani million 15.

Caspian Limited ambaye ni technical services contractor wa WDL wamefikia makubaliano mwishoni mwa mwaka jana kama malipo ya malimbikizo ya madeni ya huduma (technical services) na huduma wanayotoa kwa Petra Diamonds Limited.

Petra Diamonds ilikuwa inamilikia asilimia 75 na serikali ya Tanzania asilimia 25.

Rostam Aziz ambaye ni Mwenyekiti na mmiliki wa Caspian Limited alisema:

“Caspian is a wholly Tanzanian owned company. It is also Tanzania’s largest mining contractor with over 30 years mining related experience. We have been the contractor of choice to most mines in Tanzania and have maintained long and successful relationships with companies such as Petra, De Beers, Barrick and AngloGold Ashanti. In addition, we also own the largest fleet of mining equipment in Tanzania. As a company, we are committed to adopting and adhering to the latest internationally recognised standards throughout all aspects of our business. “We have been contracting at the Williamson Mine, the largest kimberlite diamond mine in the world by surface area for close to 20 years and as such we are particularly pleased to enter into this next phase of our involvement at the mine as co-owners. We recognise its viability in providing sustainable employment and a significant contribution to the Tanzanian economy.”

Source: Reuters
Huyu Jamaa alijiuzulu UBUNGE wa IGUNGA na KUSEMA Hataki SIASA UCHARWA[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom