Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maswala ya kutorosha ww ndio umeyaleta alafu Sasa hivi unapingana nayo. Pumbavu mkubwa
Hivi zile Diamonds serikali walizozishika ziliishia wapi?
😄😄😄 Nyie mmejenga wapi?Mali za Tanu/viwanja/majengo yaliyojengwa na wananchi wote bila kujali itikadi zao ndio mnaita za kwenu.Anzeni ninyi changeni mjenge makao makuu ya Chadema
Unajua diamond kazi yake sio tu decoration bali ina kazi nyingine...., Issue ni kwamba Tanzania ina resources kibao kuhakikisha tuna-exhaust zote katika kizazi hiki na tunachofanyia hizo pesa hakionekani ni upeo mfupi..., unaongelea mitaji na mashine za kuchimba n.k. unaonaje kama faida ya kwenye diamonds ingetusaidia kuwekeza kwenye madini mengine na kufanya uchimbaji angalau hisa / faida iwe 80 / 20 kwa in our favor ? Hizi ni commanding heights na zingetumika vizuri tungekuwa hatukabani mitaani na vi-tozo vya kwenye miamala (win / win for all)
Niliona sehemu share ya Tanzania imepungua sijui Biteko anaweza toa ufafanuziCaspian Limited imefikia makubaliano na Kampuni ya South Africa Petra Diamonds ya kununua asilimia 31.5 ya hisa za Williamson Diamonds Limited(WDL) kwa thamani ya dola za Kimarekani million 15.
Caspian Limited ambaye ni technical services contractor wa WDL wamefikia makubaliano mwishoni mwa mwaka jana kama malipo ya malimbikizo ya madeni ya huduma (technical services) na huduma wanayotoa kwa Petra Diamonds Limited.
Petra Diamonds ilikuwa inamilikia asilimia 75 na serikali ya Tanzania asilimia 25.
Rostam Aziz ambaye ni Mwenyekiti na mmiliki wa Caspian Limited alisema:
“Caspian is a wholly Tanzanian owned company. It is also Tanzania’s largest mining contractor with over 30 years mining related experience. We have been the contractor of choice to most mines in Tanzania and have maintained long and successful relationships with companies such as Petra, De Beers, Barrick and AngloGold Ashanti. In addition, we also own the largest fleet of mining equipment in Tanzania. As a company, we are committed to adopting and adhering to the latest internationally recognised standards throughout all aspects of our business. “We have been contracting at the Williamson Mine, the largest kimberlite diamond mine in the world by surface area for close to 20 years and as such we are particularly pleased to enter into this next phase of our involvement at the mine as co-owners. We recognise its viability in providing sustainable employment and a significant contribution to the Tanzanian economy.”
Source: Reuters
Pamoja na hiyo asili ila kazaliwa Bongo.Kumbe Rostam Aziz ni Mzawa mwenzetu! Nilijua ni Mtanzania mwenye asili ya India.
Usitujumuishe na sisi tusiowapumbavu na roho mbayaBora wafaidike wazawa kuliko makaburu wa south africa.
Ila Watanzania tulivo na asili ya roho mbaya na upumbavu wa kiwango cha lami, lazima watu waanze kutoa kasoro ununuzi huu. Wataona bora hao makaburu waliokua wanatuma ndege private ndani ya mgodi na kusafirisha almasi kwenda South Africa kimya kimya.
Kutoka kabila maarufu la wafanyabiashara kule Afghanistan na wanapigwa vita Sana hukoKwanza sio asili yake india,amezaliwa igurubi,igunga na wazazi wake asili yao ni irani ni waajemi
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Ina maana neno million hukuliona?Wamenunua kwa dola 15? Hata mama nitilie angenunua
Dola 15 hata machinga angenunua
Sijawahi sikia mwafrika akizaliwa China anakuwa mchina mwenzao.Nilifuatilia history yake, ni mtanzania wa kuzaliwa (by birth), mzawa wa wilaya ya igunga vijijini huko, mkoani tabora. Na ndio aliposomea shule na kukulia. Na alikua kichwa sana darasani mpaka kufikia alitoa A pekee ya hisabati tabora nzima NACTE darasa la 7 na form 4 kipindi hicho.
Aliproceed mpaka kusoma chuo Oxford University (UK) maswala ya uchumi na biashara. Na aliwaburuza kweli kweli. Then akaingia kwenye siasa na kugombea Ubunge hapo hapo Wilaya ya Igunga.
Mnyamwezi wa tabora huyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Pamoja na pongezi nyingi kwa RA kununua HISA za Williamson Diamonds Limited but hapo kwenye kusafirisha ALMASI hapo, tukubaliane hapo umedanganya. Kwenye migodi yote, hakunaga ndege inayo ruka from mgodini to South Africa, ingekua hivyo then kulikua hakuna sababu ya kufunga RADA za kuilinda nchi yetu. Fanyeni utafiti vizuri, viwanja vyote vya ndege vya huko bado hizo ndege zake zinatua kwanza kwenye viwanja vyetu vya TAIFA ndipo safari huanzia either Dar, KIA au Mwanza na hiyo mizigo husafiri kama ambavyo mizigo mingine huaga inasafiri, mamlaka za nchi hua zimejiridhisha vizuri kabisa kuhusu hilo; kwa ufupi jamaa hawaibi, wanaruhusiwa na sisi hawa hawa!Bora wafaidike wazawa kuliko makaburu wa south africa.
Ila Watanzania tulivo na asili ya roho mbaya na upumbavu wa kiwango cha lami, lazima watu waanze kutoa kasoro ununuzi huu. Wataona bora hao makaburu waliokua wanatuma ndege private ndani ya mgodi na kusafirisha almasi kwenda South Africa kimya kimya.
Karekebisha na kasema soma post zoteIna maana neno million hukuliona?
Acha uboya, mwadui kuna kiwanja cha ndege ndani ya mgodi.Pamoja na pongezi nyingi kwa RA kununua HISA za Williamson Diamonds Limited but hapo kwenye kusafirisha ALMASI hapo, tukubaliane hapo umedanganya. Kwenye migodi yote, hakunaga ndege inayo ruka from mgodini to South Africa, ingekua hivyo then kulikua hakuna sababu ya kufunga RADA za kuilinda nchi yetu. Fanyeni utafiti vizuri, viwanja vyote vya ndege vya huko bado hizo ndege zake zinatua kwanza kwenye viwanja vyetu vya TAIFA ndipo safari huanzia either Dar, KIA au Mwanza na hiyo mizigo husafiri kama ambavyo mizigo mingine huaga inasafiri, mamlaka za nchi hua zimejiridhisha vizuri kabisa kuhusu hilo; kwa ufupi jamaa hawaibi, wanaruhusiwa na sisi hawa hawa!
Maneno meeeeeeeeeeeeeeeengiPetra naye kacheza Karata vizuri, its mafia business...amerun with Caspian as a contractor for drill, blast and haulage akiwa hamlipi mpaka alipoona amerudisha hela yake na faida....then anamwambia Caspian sina hela yakukulipa nikuuzie hisa....now wanarun kama business partners wakiinflate operation cost huku share holder mmoja GOT akipigwa hasara...Petra with her shares and Caspian wakiju real opertaion cost na kwenda kugawana mkwanja mbele huko....
GOT make sure all supplies are locals blacks resides here and doing business here, put your eye in op cost..
Chato, zimewekwa kwenye safeHivi zile Diamonds serikali walizozishika ziliishia wapi?
Hongera sana Mzee Rostam,huwa unatutoa kimaso maso sana wewe na Mzee Bakheresa,Caspian Limited imefikia makubaliano na Kampuni ya South Africa Petra Diamonds ya kununua asilimia 31.5 ya hisa za Williamson Diamonds Limited(WDL) kwa thamani ya dola za Kimarekani million 15.
Caspian Limited ambaye ni technical services contractor wa WDL wamefikia makubaliano mwishoni mwa mwaka jana kama malipo ya malimbikizo ya madeni ya huduma (technical services) na huduma wanayotoa kwa Petra Diamonds Limited.
Petra Diamonds ilikuwa inamilikia asilimia 75 na serikali ya Tanzania asilimia 25.
Rostam Aziz ambaye ni Mwenyekiti na mmiliki wa Caspian Limited alisema:
“Caspian is a wholly Tanzanian owned company. It is also Tanzania’s largest mining contractor with over 30 years mining related experience. We have been the contractor of choice to most mines in Tanzania and have maintained long and successful relationships with companies such as Petra, De Beers, Barrick and AngloGold Ashanti. In addition, we also own the largest fleet of mining equipment in Tanzania. As a company, we are committed to adopting and adhering to the latest internationally recognised standards throughout all aspects of our business. “We have been contracting at the Williamson Mine, the largest kimberlite diamond mine in the world by surface area for close to 20 years and as such we are particularly pleased to enter into this next phase of our involvement at the mine as co-owners. We recognise its viability in providing sustainable employment and a significant contribution to the Tanzanian economy.”
Source: Reuters