Rostam Aziz anunua asilimia 31.5 ya Williason Diamonds (Mwadui)

Rostam Aziz anunua asilimia 31.5 ya Williason Diamonds (Mwadui)

Upuuzi unaanzia hapa, Hii Mitaji Urithi tuliachiwa na wazee wetu na sisi inaobidi tuwaachie taifa la kesho hizi ni asilimia chache sana kwa Nchi kumiliki..., kutokana na value ya hizi minings ingekuwa the other way Wananchi 75 na hao jamaa 25; Ukizingatia haya madude hayaozi
Ok ila pale kijiweni kwetu wanamfahamu kama mwenye asili ya Iran na ana mahusiano na taasisi za kunusanusa za kibeberu.
 
kumbuka wewe umekaa nyumbani, jamaa wameleta mtaji, wanarun operation, wanatafuta wateja, wanabeba hasara nk... at the end ukiwa nyumbani unakula zako gawio la 25%
Kumbuka haya sio mahindi kwamba utapanda yakiisha, this are non renewable wakimaliza ni kubaki na mahandaki..., kina Chief Mangungo wa Msovero wangeamua kuanza kuyachimba kwa kasi kipindi kile kwa kupata percent za kishikaji hapa tungekuwa tunaongelea mahandaki ya Tanzania na pesa iliyopatikana waliyokula wote tumeshawazika (nothing sustainable has been done)

In short tulivyokuwa tunasubiri tupate akili ili tuweze kuanza kutumia hizi resources zetu kwa faida zetu ni kwamba akili hizo bado hatujazipata...
 
Kumbuka haya sio mahindi kwamba utapanda yakiisha, this are non renewable wakimaliza ni kubaki na mahandaki..., kina Chief Mangungo wa Msovero wangeamua kuanza kuyachimba kwa kasi kipindi kile kwa kupata percent za kishikaji hapa tungekuwa tunaongelea mahandaki ya Tanzania na pesa iliyopatikana waliyokula wote tumeshawazika (nothing sustainable has been done)

In short tulivyokuwa tunasubiri tupate akili ili tuweze kuanza kutumia hizi resources zetu kwa faida zetu ni kwamba akili hizo bado hatujazipata...

na tukiendelea kusubiri huko mbele almasi nayo inaweza kuwa haina dili pia..tukabaki nayo tunacheza mdako...
 
Nilifuatilia history yake, ni mtanzania wa kuzaliwa (by birth), mzawa wa wilaya ya igunga vijijini huko, mkoani tabora. Na ndio aliposomea shule na kukulia. Na alikua kichwa sana darasani mpaka kufikia alitoa A pekee ya hisabati tabora nzima NACTE darasa la 7 na form 4 kipindi hicho.

Aliproceed mpaka kusoma chuo Oxford University (UK) maswala ya uchumi na biashara. Na aliwaburuza kweli kweli. Then akaingia kwenye siasa na kugombea Ubunge hapo hapo Wilaya ya Igunga.

Mnyamwezi wa tabora huyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Tanzania hamna uraia wa kuzaliwa
 
Kauziwa fupa lililomshinda FISI!
1642593551527.png
 
Nilifuatilia history yake, ni mtanzania wa kuzaliwa (by birth), mzawa wa wilaya ya igunga vijijini huko, mkoani tabora. Na ndio aliposomea shule na kukulia. Na alikua kichwa sana darasani mpaka kufikia alitoa A pekee ya hisabati tabora nzima NACTE darasa la 7 na form 4 kipindi hicho.

Aliproceed mpaka kusoma chuo Oxford University (UK) maswala ya uchumi na biashara. Na aliwaburuza kweli kweli. Then akaingia kwenye siasa na kugombea Ubunge hapo hapo Wilaya ya Igunga.

Mnyamwezi wa tabora huyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Harvard...sio Oxford
 
Hawa watu ndio wanaila Tanzania kwa kigezo cha "watanzania wenye asili ya Asia nk" wanapata mitaji na boost kutoka kwa wenzao walioko huko ughaibuni, wanapenya ndani ya mifumo na kupewa kipaumbele kama wazawa huku wakihonga weusi wenzetu pesa mbuzi na kuiteka nchi....wanainner circle zao za siri kurun game locally and internationally, ukiwagusa lazima uyumbe maana wako nyuma ya weusi wenzetu wanaoamini kwenye mali kuliko utu wa mtanzania..
 
Bora wafaidike wazawa kuliko makaburu wa south africa.

Ila watanzania tulivo na asili ya roho mbaya na upumbavu wa kiwango cha lami, lazima watu waanze kutoa kasoro ununuzi huu. Wataona bora hao makaburu waliokua wanatuma ndege private ndani ya mgodi na kusafirisha almasi kwenda South Africa kimya kimya.
Una uhakika gani hao wazawa nao hawatoroshi kimyakimya kwenda huko South Africa? Pale mirerani ni wazawa watupu Ila kila leo wanatorosha Tanzanite kwenda kenya
 
Safi sana

Sisi tuendele kulalamika na kuminyana

Ova
 
Hawa watu ndio wanaila Tanzania kwa kigezo cha "watanzania wenye asili ya Asia nk" wanapata mitaji na boost kutoka kwa wenzao walioko huko ughaibuni, wanapenya ndani ya mifumo na kupewa kipaumbele kama wazawa huku wakihonga weusi wenzetu pesa mbuzi na kuiteka nchi....wanainner circle zao za siri kurun game locally and internationally, ukiwagusa lazima uyumbe maana wako nyuma ya weusi wenzetu wanaoamini kwenye mali kuliko utu wa mtanzania..
Sisi tunakwama wapi kuwa Kama wao au zaidi?
 
Bora wafaidike wazawa kuliko makaburu wa south africa.

Ila watanzania tulivo na asili ya roho mbaya na upumbavu wa kiwango cha lami, lazima watu waanze kutoa kasoro ununuzi huu. Wataona bora hao makaburu waliokua wanatuma ndege private ndani ya mgodi na kusafirisha almasi kwenda South Africa kimya kimya.
Rostam ni muirani kwa taarifa yako
 
Hawa watu ndio wanaila Tanzania kwa kigezo cha "watanzania wenye asili ya Asia nk" wanapata mitaji na boost kutoka kwa wenzao walioko huko ughaibuni, wanapenya ndani ya mifumo na kupewa kipaumbele kama wazawa huku wakihonga weusi wenzetu pesa mbuzi na kuiteka nchi....wanainner circle zao za siri kurun game locally and internationally, ukiwagusa lazima uyumbe maana wako nyuma ya weusi wenzetu wanaoamini kwenye mali kuliko utu wa mtanzania..
Kinachoendelea sasa ni looting of our national resources.

Through the so called investments.

Asipotokea mtu kusimama kidete we are all done.
 
Caspian Limited imefikia makubaliano na Kampuni ya South Africa Petra Diamonds ya kununua asilimia 31.5 ya hisa za Williamson Diamonds Limited(WDL) kwa thamani ya dola za Kimarekani million 15.

Caspian Limited ambaye ni technical services contractor wa WDL wamefikia makubaliano mwishoni mwa mwaka jana kama malipo ya malimbikizo ya madeni ya huduma (technical services) na huduma wanayotoa kwa Petra Diamonds Limited.

Petra Diamonds ilikuwa inamilikia asilimia 75 na serikali ya Tanzania asilimia 25.
Rostam Aziz ambaye ni Mwenyekiti na mmiliki wa Caspian Limited alisema:

“Caspian is a wholly Tanzanian owned company. It is also Tanzania’s largest mining contractor with over 30 years mining related experience. We have been the contractor of choice to most mines in Tanzania and have maintained long and successful relationships with companies such as Petra, De Beers, Barrick and AngloGold Ashanti. In addition, we also own the largest fleet of mining equipment in Tanzania. As a company, we are committed to adopting and adhering to the latest internationally recognised standards throughout all aspects of our business. “We have been contracting at the Williamson Mine, the largest kimberlite diamond mine in the world by surface area for close to 20 years and as such we are particularly pleased to enter into this next phase of our involvement at the mine as co-owners. We recognise its viability in providing sustainable employment and a significant contribution to the Tanzanian economy.”

Source: Reuters
Huyu jamaa anatisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom