Rostam Aziz awaomba radhi majaji, asema ULIMI ULITELEZA

Rostam na Chenge hawa watu hawakosei kabisa.
 
Tapeli limekamatika, linajikutaga tajiri msomi, wakati ni _sh_zi mtupu

Na mate natema pthu!
hapo ulipo unatumia bundle yeye anamgao wake kupitia kampuni za Mitandao ya simu anayomiliki hisa nyingi sana

uki charge simu hapo anakula mgao kupitia umeme anaouza kupitia symbion ambayo zamani iliitwa Dowans kabla ya hapo iliitwa Richmond

sasa hivi anasambaza Gesi za kupikia

huyu Mdosi anasambaza zile necessity goods mwanzo mwisho

hapo staki kukupa breaking news ya matokeo ta zabuni ya kusambaza pembejeo za kilimo

ukiskia Serikali inaruhusu exports ya mazao ujue anacheka

ukiskia vibali vya kuruhusu mzigo fulani uingie bila ya kodi kupambana na Inflation mwenzio anaitikia Kidumu Chama Cha Mapinduzi
 
hapo alokusudia na ndio ukweli

kuna watu walifungiwa Akaunti zao za kibiashara na hata walipokwenda kufungua kesi ma Register walikataa kusajili hizo kesi

kuna Mfanyabishara zama za mawe alichukua mkopo mkubwa Bank na wakati anaendelea na marejesho akaunti yake ikafungwa kwa maelekezo …Bank wakaendelea kumpa riba na penalt za kushindwa kulipa , jamaa akakimbilia kwny sheria kuweka zuio hata kufunguliwa tu kesi akazuiawa na hatimae akapoteza Nyumba ya dhamana

kuna Choko mmoja alikuwa ananizingua nikamchana sana akashtaki kimtaa Mtaa kuwa nithibitishe kuwa Yeye ni choko …nikawaambia tu njia za kuthibitisha hilo zinaweza pia zikaonekana kama namdhalilisha zaid …na kwa kufupisha mjadala naomba radhi kwa kuwa sipo tayari kuthibitisha sio kuwa ziwezi kuthibitisha
 
Kauli ya Rostam Ina harufu ya ukweli. Mission aliyokuwa nayo Magufuli, kwa mfano, Ilikuwa ni kuincontroll mahakama, na alifanikiwa to some extent. Na nadhani Hilo ndio Rostam alikuwa nalo moyoni.

All in all, since hakuwa na ushahidi beyond reasonable shadow of doubts, amefanya vizuri kujikanyaga kanyaga kuomba radhi.

Lakini kwa mazingira yale ya kipindi Cha Magufuli, uhuru wa mahakama na hata Supremacy ya Bunge, vilishawekwa rehani.
 
Huyo Rostam kaongea ukweli, ila inabidi aombe msamaha kutokana na biashara zake kuwa na makandokando mengi, hivyo anajua ni rahisi kukomolewa. Inshort mtu mchafu hawezi kusimamia ukweli maana ataingia matatizoni.

Hata hivyo hatuhitaji Rostam atuambie kuwa mahakama zetu hupewa maagizo toka nje, kwani mwenendo wa uendeshaji wao wa kesi na hukumu wanazotoa huonyesha kabisa ni msukumo kutoka nje.
 
Hataki malumbano yasiyokuwa na afya, yeye anatengeneza ajira wengine wanatafuta ajira.
 
Matajiri wengi Kama akina Rostam wakiwa na kesi Mahakamani huwa Wana honga sana,hasa wakiwa wao ndiyo wakosaji! Ndiyo maana hapa Tanzania tuna msemo unaosema kua "Tajiri hafungwi,na walioko Jela wengi ni masikini tu!!
 
King maker kapatikana. Naona kakubali yaishe kiungwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…