Rostam Aziz awaomba radhi majaji, asema ULIMI ULITELEZA

Rostam Aziz awaomba radhi majaji, asema ULIMI ULITELEZA

Rostam Aziz ameomba radhi kwa majaji akisema ulimi uliteleza na hakumaanisha ambacho alikisema kuhusu majaji kuhongwa. Nadhani amefanya jambo la kiungwana sana.

========

Leo Jumanne July 4, 2023 mfanyabiashara mashuhuri nchini, Rostam Aziz ameongea na vyombo vya habari, pamoja na mambo mengine ameomba radhi na kusema hakukusudia kudharau mahakama.

Rostam Aziz: Baada ya kuona tamko la chama cha majaji na mahakimu kuhusiana na kauli niliyoitoa Jumatatu iliyopita wakati nikiongea kuhusiana na uwekezaji wa kampuni yetu kule Zambia.

Nimesoma taarifa ya chama, kwasababu ya kutambua na kuheshimu dhima, hadhi na wajibu wa kikatiba wa mahakama, ningependa kusema yafuatayo

Ningependa kuuhakikishia umma kwamba wakati nikizungumzia kuhusu uwekezaji, halikuwa kusudio langu kudharau mahakama zetu. Kama nilisema hivyo ilikuwa ni kuteleza kwa ulimi maana kusudio langu lilikuwa likilenga kuhusu uwekezaji nchini na maana yangu ilikuwa ni kwamba ili tuweze kupata uwekezaji nchini mwetu hatuna budi kuendana na taratibu zinazoongoza uwekezaji Duniani.

Pia, soma=>Rostam Aziz: Hakuna mwekezaji atakubali kuwekeza halafu umwambie aende Mahakama ya Kisutu ambapo Majaji wanaweza kupigiwa simu na watu wa Serikali

Ujumbe umefika na ndio ukweli .
 
Hajaomba msamaha kafafanua tu statement yake.
 
Let's be genuine and tell the truth. Who in this country doubts the veracity of his statement?
 
Rostam Aziz ameomba radhi kwa majaji akisema ulimi uliteleza na hakumaanisha ambacho alikisema kuhusu majaji kuhongwa. Nadhani amefanya jambo la kiungwana sana.

========

Leo Jumanne July 4, 2023 mfanyabiashara mashuhuri nchini, Rostam Aziz ameongea na vyombo vya habari, pamoja na mambo mengine ameomba radhi na kusema hakukusudia kudharau mahakama.

Rostam Aziz: Baada ya kuona tamko la chama cha majaji na mahakimu kuhusiana na kauli niliyoitoa Jumatatu iliyopita wakati nikiongea kuhusiana na uwekezaji wa kampuni yetu kule Zambia.

Nimesoma taarifa ya chama, kwasababu ya kutambua na kuheshimu dhima, hadhi na wajibu wa kikatiba wa mahakama, ningependa kusema yafuatayo

Ningependa kuuhakikishia umma kwamba wakati nikizungumzia kuhusu uwekezaji, halikuwa kusudio langu kudharau mahakama zetu. Kama nilisema hivyo ilikuwa ni kuteleza kwa ulimi maana kusudio langu lilikuwa likilenga kuhusu uwekezaji nchini na maana yangu ilikuwa ni kwamba ili tuweze kupata uwekezaji nchini mwetu hatuna budi kuendana na taratibu zinazoongoza uwekezaji Duniani.

Pia, soma=>Rostam Aziz: Hakuna mwekezaji atakubali kuwekeza halafu umwambie aende Mahakama ya Kisutu ambapo Majaji wanaweza kupigiwa simu na watu wa Serikali

Rostam alikosea tu kumwaga Siri hadharani
 
Mfanyabiashara, Rostam Aziz amekiangukia Chama cha Majaji na Mahakimu Tanzania (JMAT), akiomba radhi kutokana na kauli aliyoitoa dhidi ya Mahakama nchini.

Rostam ameomba radhi saa chache baada ya JMAT kutoa taarifa kwa umma kupitia vyombo vya habari, kikimtaka mfanyabiashara huyo athibitishe tuhuma alizotoa dhidi ya Mahakama au aombe radhi hadharani.

Rostam, Juni 26, mwaka huu mbele ya waandishi wa habari alisema, "Hakuna mwekezaji atawekeza kwenye nchi ambayo kesi ikipelekwa hapo Kisutu kiongozi yoyote anaweza kupiga simu akaielekeza mahakama nini cha kufanya.”

Katika mkutano wake na waandishi wa habari, Rostam alizungumzia faida za uwekezaji wa sekta binafsi katika uendeshaji wa bandari, akirejea mkataba wa ushirikiano uliosainiwa na Serikali ya Tanzania na Dubai kuhusu uwekezaji na uendelezaji wa bandari nchini.

Hata hivyo, sakata hilo limeibua hisia tofauti za wananchi, wengine wakikosoa kutokana na kile wanachoeleza kuwa, baadhi ya vifungu vya mkataba huo vina kasoro na hatari kwa masilahi ya nchi.

JMAT ilitangaza kusikitishwa na kauli hiyo ikisema, "Anapaswa athibitishe kauli yake akibainisha jina la Jaji na lini alipewa maagizo na Serikali kutoa maamuzi kinyume na taratibu zilizopo. Akishindwa kutoa uthibitisho, tunamtaka atumie jukwaa lile lile kuomba radhi kwa uzito ule ule.”

Baada ya taarifa hiyo, Rostam leo Jumanne, Julai 4, 2023 amezungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake jijini Dar es Salaam, akieleza alichokizungumza siyo kusudio lake ni kuteleza kwa ulimi.

"Kwa sababu ya kutambua na kuheshimu dhima, hadhi na wajibu wa kikatiba wa Mahakama, ningependa kusema yafuatayo.

"Ningependa kuuhakikishia umma, kwamba wakati nikizungumzia uwekezaji halikuwa kusudio langu kuidharau Mahakama," amesema.

Alichokizungumza, amesema ameteleza ulimi na si kusudiolake.

"Niliteleza ulimi, maana kusudio langu lilikuwa ni kueleza kuhusu uwekezaji nchini na maana yangu ilikuwa ni kwamba, ili tupate uwekezaji nchini hatuna budi kuendana na taratibu," amesema.

MWANANCHI
Lisemwalo lipo! Kama majaji wanapata ahueni ya kinafiki kwa kuombwa msamaha wasiostahili , Sawa, Ila ukweli unajulikana na umewekwa hadharani
 
Tapeli limekamatika, linajikutaga tajiri msomi, wakati ni _sh_zi mtupu

Na mate natema pthu!
Waliokamatika ni hao watoa haki kwa rushwa. Kama wangekuwa wasafi, wangetoa sharti moja tu, la majina yatajwe! Kwa kuwa ni wachafu, wameona waombwe msamaha hadharani.
 
Alitamka wakati ule alikuwa na Upwiruuu😀
 
Mfanyabiashara, Rostam Aziz amekiangukia Chama cha Majaji na Mahakimu Tanzania (JMAT), akiomba radhi kutokana na kauli aliyoitoa dhidi ya Mahakama nchini.

Rostam ameomba radhi saa chache baada ya JMAT kutoa taarifa kwa umma kupitia vyombo vya habari, kikimtaka mfanyabiashara huyo athibitishe tuhuma alizotoa dhidi ya Mahakama au aombe radhi hadharani.

Rostam, Juni 26, mwaka huu mbele ya waandishi wa habari alisema, "Hakuna mwekezaji atawekeza kwenye nchi ambayo kesi ikipelekwa hapo Kisutu kiongozi yoyote anaweza kupiga simu akaielekeza mahakama nini cha kufanya.”

Katika mkutano wake na waandishi wa habari, Rostam alizungumzia faida za uwekezaji wa sekta binafsi katika uendeshaji wa bandari, akirejea mkataba wa ushirikiano uliosainiwa na Serikali ya Tanzania na Dubai kuhusu uwekezaji na uendelezaji wa bandari nchini.

Hata hivyo, sakata hilo limeibua hisia tofauti za wananchi, wengine wakikosoa kutokana na kile wanachoeleza kuwa, baadhi ya vifungu vya mkataba huo vina kasoro na hatari kwa masilahi ya nchi.

JMAT ilitangaza kusikitishwa na kauli hiyo ikisema, "Anapaswa athibitishe kauli yake akibainisha jina la Jaji na lini alipewa maagizo na Serikali kutoa maamuzi kinyume na taratibu zilizopo. Akishindwa kutoa uthibitisho, tunamtaka atumie jukwaa lile lile kuomba radhi kwa uzito ule ule.”

Baada ya taarifa hiyo, Rostam leo Jumanne, Julai 4, 2023 amezungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake jijini Dar es Salaam, akieleza alichokizungumza siyo kusudio lake ni kuteleza kwa ulimi.

"Kwa sababu ya kutambua na kuheshimu dhima, hadhi na wajibu wa kikatiba wa Mahakama, ningependa kusema yafuatayo.

"Ningependa kuuhakikishia umma, kwamba wakati nikizungumzia uwekezaji halikuwa kusudio langu kuidharau Mahakama," amesema.

Alichokizungumza, amesema ameteleza ulimi na si kusudiolake.

"Niliteleza ulimi, maana kusudio langu lilikuwa ni kueleza kuhusu uwekezaji nchini na maana yangu ilikuwa ni kwamba, ili tupate uwekezaji nchini hatuna budi kuendana na taratibu," amesema.

MWANANCHI
ANAJIFANYA MJANJA KUMBE MUOGA ANGEKOMAA TUONE USHUJAA WAKE
 
Mfanyabiashara, Rostam Aziz amekiangukia Chama cha Majaji na Mahakimu Tanzania (JMAT), akiomba radhi kutokana na kauli aliyoitoa dhidi ya Mahakama nchini.

Rostam ameomba radhi saa chache baada ya JMAT kutoa taarifa kwa umma kupitia vyombo vya habari, kikimtaka mfanyabiashara huyo athibitishe tuhuma alizotoa dhidi ya Mahakama au aombe radhi hadharani.

Rostam, Juni 26, mwaka huu mbele ya waandishi wa habari alisema, "Hakuna mwekezaji atawekeza kwenye nchi ambayo kesi ikipelekwa hapo Kisutu kiongozi yoyote anaweza kupiga simu akaielekeza mahakama nini cha kufanya.”

Katika mkutano wake na waandishi wa habari, Rostam alizungumzia faida za uwekezaji wa sekta binafsi katika uendeshaji wa bandari, akirejea mkataba wa ushirikiano uliosainiwa na Serikali ya Tanzania na Dubai kuhusu uwekezaji na uendelezaji wa bandari nchini.

Hata hivyo, sakata hilo limeibua hisia tofauti za wananchi, wengine wakikosoa kutokana na kile wanachoeleza kuwa, baadhi ya vifungu vya mkataba huo vina kasoro na hatari kwa masilahi ya nchi.

JMAT ilitangaza kusikitishwa na kauli hiyo ikisema, "Anapaswa athibitishe kauli yake akibainisha jina la Jaji na lini alipewa maagizo na Serikali kutoa maamuzi kinyume na taratibu zilizopo. Akishindwa kutoa uthibitisho, tunamtaka atumie jukwaa lile lile kuomba radhi kwa uzito ule ule.”

Baada ya taarifa hiyo, Rostam leo Jumanne, Julai 4, 2023 amezungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake jijini Dar es Salaam, akieleza alichokizungumza siyo kusudio lake ni kuteleza kwa ulimi.

"Kwa sababu ya kutambua na kuheshimu dhima, hadhi na wajibu wa kikatiba wa Mahakama, ningependa kusema yafuatayo.

"Ningependa kuuhakikishia umma, kwamba wakati nikizungumzia uwekezaji halikuwa kusudio langu kuidharau Mahakama," amesema.

Alichokizungumza, amesema ameteleza ulimi na si kusudiolake.

"Niliteleza ulimi, maana kusudio langu lilikuwa ni kueleza kuhusu uwekezaji nchini na maana yangu ilikuwa ni kwamba, ili tupate uwekezaji nchini hatuna budi kuendana na taratibu," amesema.

MWANANCHI
Kauli ya kwanza ndio ukweli. Na alisema kweli tupu. Sijui kwa nini anajihukumu kwa ukweli wake.
Majaji kama kweli hawapigiwi simu waanze kwa kutenda haki kwenye suala la bandari.
 
anakitu hawezi kuropoka,matajiri wanapitia mambo mengi sana licha ya haya ya usirikina ambayo wakwea madafu wengi huamini ndio kikwazo kwenye uchuzi wao
 
Rostam Aziz ameomba radhi kwa majaji akisema ulimi uliteleza na hakumaanisha ambacho alikisema kuhusu majaji kuhongwa. Nadhani amefanya jambo la kiungwana sana.

========

Leo Jumanne July 4, 2023 mfanyabiashara mashuhuri nchini, Rostam Aziz ameongea na vyombo vya habari, pamoja na mambo mengine ameomba radhi na kusema hakukusudia kudharau mahakama.

Rostam Aziz: Baada ya kuona tamko la chama cha majaji na mahakimu kuhusiana na kauli niliyoitoa Jumatatu iliyopita wakati nikiongea kuhusiana na uwekezaji wa kampuni yetu kule Zambia.

Nimesoma taarifa ya chama, kwasababu ya kutambua na kuheshimu dhima, hadhi na wajibu wa kikatiba wa mahakama, ningependa kusema yafuatayo

Ningependa kuuhakikishia umma kwamba wakati nikizungumzia kuhusu uwekezaji, halikuwa kusudio langu kudharau mahakama zetu. Kama nilisema hivyo ilikuwa ni kuteleza kwa ulimi maana kusudio langu lilikuwa likilenga kuhusu uwekezaji nchini na maana yangu ilikuwa ni kwamba ili tuweze kupata uwekezaji nchini mwetu hatuna budi kuendana na taratibu zinazoongoza uwekezaji Duniani.

Pia, soma=>Rostam Aziz: Hakuna mwekezaji atakubali kuwekeza halafu umwambie aende Mahakama ya Kisutu ambapo Majaji wanaweza kupigiwa simu na watu wa Serikali

Sio hilo tuuu

Angemjibu Dr Slaaa huo mkataba aliosaini huko Marekani mbele ya Samia ulikuwa wa nini
Asisahau hilo pia itapendeza kama alivyofanya kwa DP World
 
Rostam Aziz ameomba radhi kwa majaji akisema ulimi uliteleza na hakumaanisha ambacho alikisema kuhusu majaji kuhongwa. Nadhani amefanya jambo la kiungwana sana.

========

Leo Jumanne July 4, 2023 mfanyabiashara mashuhuri nchini, Rostam Aziz ameongea na vyombo vya habari, pamoja na mambo mengine ameomba radhi na kusema hakukusudia kudharau mahakama.

Rostam Aziz: Baada ya kuona tamko la chama cha majaji na mahakimu kuhusiana na kauli niliyoitoa Jumatatu iliyopita wakati nikiongea kuhusiana na uwekezaji wa kampuni yetu kule Zambia.

Nimesoma taarifa ya chama, kwasababu ya kutambua na kuheshimu dhima, hadhi na wajibu wa kikatiba wa mahakama, ningependa kusema yafuatayo

Ningependa kuuhakikishia umma kwamba wakati nikizungumzia kuhusu uwekezaji, halikuwa kusudio langu kudharau mahakama zetu. Kama nilisema hivyo ilikuwa ni kuteleza kwa ulimi maana kusudio langu lilikuwa likilenga kuhusu uwekezaji nchini na maana yangu ilikuwa ni kwamba ili tuweze kupata uwekezaji nchini mwetu hatuna budi kuendana na taratibu zinazoongoza uwekezaji Duniani.

Pia, soma=>Rostam Aziz: Hakuna mwekezaji atakubali kuwekeza halafu umwambie aende Mahakama ya Kisutu ambapo Majaji wanaweza kupigiwa simu na watu wa Serikali

Vipi kuhusu tuhuma kwa rais na serikali kutoa rushwa hadi za uteuzi?
Au kwa hili amekazia kauli.
 
Rostam Aziz ameomba radhi kwa majaji akisema ulimi uliteleza na hakumaanisha ambacho alikisema kuhusu majaji kuhongwa. Nadhani amefanya jambo la kiungwana sana.

========

Leo Jumanne July 4, 2023 mfanyabiashara mashuhuri nchini, Rostam Aziz ameongea na vyombo vya habari, pamoja na mambo mengine ameomba radhi na kusema hakukusudia kudharau mahakama.

Rostam Aziz: Baada ya kuona tamko la chama cha majaji na mahakimu kuhusiana na kauli niliyoitoa Jumatatu iliyopita wakati nikiongea kuhusiana na uwekezaji wa kampuni yetu kule Zambia.

Nimesoma taarifa ya chama, kwasababu ya kutambua na kuheshimu dhima, hadhi na wajibu wa kikatiba wa mahakama, ningependa kusema yafuatayo

Ningependa kuuhakikishia umma kwamba wakati nikizungumzia kuhusu uwekezaji, halikuwa kusudio langu kudharau mahakama zetu. Kama nilisema hivyo ilikuwa ni kuteleza kwa ulimi maana kusudio langu lilikuwa likilenga kuhusu uwekezaji nchini na maana yangu ilikuwa ni kwamba ili tuweze kupata uwekezaji nchini mwetu hatuna budi kuendana na taratibu zinazoongoza uwekezaji Duniani.

Pia, soma=>Rostam Aziz: Hakuna mwekezaji atakubali kuwekeza halafu umwambie aende Mahakama ya Kisutu ambapo Majaji wanaweza kupigiwa simu na watu wa Serikali

Sisi tunachofurahia ni kuwa "MESSAGE SENT AND DELIVERED"
 
Kwani yule mdogo wake aliyekuwa na nyara za Serikali hakuachiwa baada ya yeye Rostam kutoa rushwa?
 
Kuna kesi inakuja ya kumshitaki Rostam kwa kuisingizia serikali kwamba ilimpa rushwa Dr Slaa
 
Takukuru hawawezi kamata Majaji, Takukuru wao Wanyonge wao wa kuwakamata ni Walimu au Mahakimu wa Mahakama za Chini!!
Haya yote ni kwasababu ya Chama chakavu cha CCM.
 
Back
Top Bottom