Rostam Aziz na FAIDA ya kuwa karibu na Mtoto wa Rais

Unabwabwaja hujui unaloliongea
 
Huna ujualo.
JPM na RA walikuwa washirika wazuri sana.
Kwenye Taifa Gas Jiwe alikuwa na ngapi %!!??
 

Pengine unaweza kufanya counter ukimuangalia katika sura hii.
 
Rostam Aziz ameendelea kutisha wawekezaji wazawa nchini, Sawa Kwenye Sukari ametumia kampuni za simu, vifaa, Stationery, nk, amefanikiwa kwa kuwa Bashe kijana wake alicheza vema karata kutokana na umbumbumbu wa Watanzania walio wengi.
Upigaji wa Bashe ulijulikana mapema kuwa alicheza na huyu ponjoro!
Ila kiukweli ponjoro alikuwa na "mkuu' na "mkuu" huyu alitoa baraka zake!
 
Tukiwaambia JPM alikua kiboko ya matapeli mnaona kama tunatania huyo jamaa alikimbia nchi baada ya kuona JPM hacheki na kima.Sasa amerudi.
ROSTAM AMETAMBA SANA ENZI ZA MWENDAZAKE,TENA ALIKUWA SWAHIBA WAKE MKUBWA,FUATILIA HATA KWENYE MIKUTANO YAKE NA VIKAO VYAKE UTAONA,USIWE MVIVU,SIYO KILA KITU UAMBIWE NA KAMA HUJUI KITU NI BORA TUH UKAE KIMYA.
 
ROSTAM AMETAMBA SANA ENZI ZA MWENDAZAKE,TENA ALIKUWA SWAHIBA WAKE MKUBWA,FUATILIA HATA KWENYE MIKUTANO YAKE NA VIKAO VYAKE UTAONA,USIWE MVIVU,SIYO KILA KITU UAMBIWE NA KAMA HUJUI KITU NI BORA TUH UKAE KIM🤣🤣🤣

ROSTAM AMETAMBA SANA ENZI ZA MWENDAZAKE,TENA ALIKUWA SWAHIBA WAKE MKUBWA,FUATILIA HATA KWENYE MIKUTANO YAKE NA VIKAO VYAKE UTAONA,USIWE MVIVU,SIYO KILA KITU UAMBIWE NA KAMA HUJUI KITU NI BORA TUH UKAE KIMYA.
Asinge kula chimbo ww km walikua wanaiva kukaa kwenye mikutano sio ishu Ww mtu kuutema ubunge sio jambo dogo alichungulia akaona hapa sitoboi yule jamaa mjanja sana.
 
Dunia hii ni connection. Tengeneza onnection na wewe tuone kama utakuja kulalamika hapo
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…