Rostam Aziz na FAIDA ya kuwa karibu na Mtoto wa Rais

Rostam Aziz na FAIDA ya kuwa karibu na Mtoto wa Rais

Rostam ni legendary huyo Abdul ni mtoto mdogo, Rostam ameanza kufanya mambo yake huyo Abdul hakuwahi wala kuota Mama yake kuwa hapo.

King maker kama king maker anadeal na mama mwenyewe na sio huyo dogo, level za. King maker ni kubwa sana na hii nchi haiwezi tena.

JPM na misimamo yake yote kwa king maker alitulia na ikabidi amsogeze karibu ili mambo yaende, King maker anaakili nyingi na connection kubwa worldwide na inawezekana pia ni agent wa mashirika makubwa ya ujasusi kuanzia M16 mpaka CIA.

Njaa na tamaa za wanasiasa wetu ndio zimemleta king maker barabarani.
Unabwabwaja hujui unaloliongea
 
Huna ujualo.
JPM na RA walikuwa washirika wazuri sana.
Kwenye Taifa Gas Jiwe alikuwa na ngapi %!!??
Rostam ni janja janja sana hakurudi mazima yule 🤣🤣🤣hivi tukimuita jiwe Jpm mnadhani ni nn ?Yule mwamba acha apumzike kwa amani tuache tu yule mzee alikua chuma.Sasa Rostam sawa ana mpunga ila ilikua hawezi kumhonga jiwe na alikua akija mzee wa king maker mwenyewe anakua hachez mbal maana anajua kijana wake akijaa tu kwa mzee jiwe amekwishwa atapukutishwa mchele wote 🤣🤣
 
Rostam ni legendary huyo Abdul ni mtoto mdogo, Rostam ameanza kufanya mambo yake huyo Abdul hakuwahi wala kuota Mama yake kuwa hapo.

King maker kama king maker anadeal na mama mwenyewe na sio huyo dogo, level za. King maker ni kubwa sana na hii nchi haiwezi tena.

JPM na misimamo yake yote kwa king maker alitulia na ikabidi amsogeze karibu ili mambo yaende, King maker anaakili nyingi na connection kubwa worldwide na inawezekana pia ni agent wa mashirika makubwa ya ujasusi kuanzia M16 mpaka CIA.

Njaa na tamaa za wanasiasa wetu ndio zimemleta king maker barabarani.

Pengine unaweza kufanya counter ukimuangalia katika sura hii.
 
Rostam Aziz ameendelea kutisha wawekezaji wazawa nchini, Sawa Kwenye Sukari ametumia kampuni za simu, vifaa, Stationery, nk, amefanikiwa kwa kuwa Bashe kijana wake alicheza vema karata kutokana na umbumbumbu wa Watanzania walio wengi.
Upigaji wa Bashe ulijulikana mapema kuwa alicheza na huyu ponjoro!
Ila kiukweli ponjoro alikuwa na "mkuu' na "mkuu" huyu alitoa baraka zake!
 
Tukiwaambia JPM alikua kiboko ya matapeli mnaona kama tunatania huyo jamaa alikimbia nchi baada ya kuona JPM hacheki na kima.Sasa amerudi.
ROSTAM AMETAMBA SANA ENZI ZA MWENDAZAKE,TENA ALIKUWA SWAHIBA WAKE MKUBWA,FUATILIA HATA KWENYE MIKUTANO YAKE NA VIKAO VYAKE UTAONA,USIWE MVIVU,SIYO KILA KITU UAMBIWE NA KAMA HUJUI KITU NI BORA TUH UKAE KIMYA.
 
ROSTAM AMETAMBA SANA ENZI ZA MWENDAZAKE,TENA ALIKUWA SWAHIBA WAKE MKUBWA,FUATILIA HATA KWENYE MIKUTANO YAKE NA VIKAO VYAKE UTAONA,USIWE MVIVU,SIYO KILA KITU UAMBIWE NA KAMA HUJUI KITU NI BORA TUH UKAE KIM🤣🤣🤣

ROSTAM AMETAMBA SANA ENZI ZA MWENDAZAKE,TENA ALIKUWA SWAHIBA WAKE MKUBWA,FUATILIA HATA KWENYE MIKUTANO YAKE NA VIKAO VYAKE UTAONA,USIWE MVIVU,SIYO KILA KITU UAMBIWE NA KAMA HUJUI KITU NI BORA TUH UKAE KIMYA.
Asinge kula chimbo ww km walikua wanaiva kukaa kwenye mikutano sio ishu Ww mtu kuutema ubunge sio jambo dogo alichungulia akaona hapa sitoboi yule jamaa mjanja sana.
 
Rostam Aziz anasemekana kuwa na kampuni hidden 80, kweli una nia njema na Serikali ya Dr. Samia una kampuni zaidi ya 80 za siri why?

Lazima Rostam Aziz aangaliwe watanzania tusije kulia mbeleni.

Rostam Aziz ameendelea kutisha wawekezaji wazawa nchini, Sawa Kwenye Sukari ametumia kampuni za simu, vifaa, Stationery, nk, amefanikiwa kwa kuwa Bashe kijana wake alicheza vema karata kutokana na umbumbumbu wa Watanzania walio wengi.

Kwenye madini napo kafika Kwenye Migodi inayomilikiwa na Barrick Gold corporation kwa kuja na kampuni hidden inaitwa SWALA SOLUTION ambayo kimkakati kwa sababu ya kujuana na Mtoto wa Rais inaweza kuiua Twiga kampuni ya kizawa anyway hayo tuyaache kwanza.

Sasa Rostam Aziz ametua Kwenye gesi huko Mtwara analazimisha Wafanyabiasha kumpatia hisa Kwenye Makampuni yao kuwa wakikataa atawaondoa Kwani amemshika mtoto wa Rais na serikali nzima iko mikononi mwake.

Mambo Yale Yale ya Kwenye Migodi ndo hayo hayo anayapeleka Kwenye gesi kuomba Share kwa Lazima.

Na kila anapofanya uwekezaji huo uchwara anatumia Majina ya kampuni fake, kampuni ambazo anatumia Majina ya Ndugu, jamaa na marafiki zake, Kama Kweli Rostam Aziz Ni Mfanyabiashara anayehitaji kumsaidia Mtoto wa Rais kibiashara katika Taifa kwa nini atumie Majina feki kampuni zisizojulikana, kwa nini anadanga serikali, Ni ukwepaji Kodi mtu ana Makampuni 80 yasiyojulikana, Lazima Watanzania tuanze kuutafuta Ukweli na tuuweke hapa tutataja kampuni zake zoote zisizojulikana hapa na Mhe Rais ataambiwa kuwa makini na Rostam Aziz.

View attachment 3072986
Dunia hii ni connection. Tengeneza onnection na wewe tuone kama utakuja kulalamika hapo
 
Nyinyi mna matatizo na reasoning yenu..kwa uhalisia Rostam ni DALALI tu hayo yote umeorodhesha hajafanya kwa efforts zake, msingi wa corruptive government sehemu yoyote huwa inatafuta watu wa kuwatanguliza mbele ili yenyewe ikae nyuma, ndicho kinachofanyika hapa Tanzania ili kuwaghilibu nyinyi mnaovutiwa na kuona vitu mkaacha kuuliza vimetokeaje..Rostam alinunua mitambo ya uchimbaji madini na kupewa hizo kandarasi kwenye migodi, hakufix mgogoro wowote..mtu yeyote mwenye akili hahitaji kuvaa miwani kuona uzuri na ubaya wa yaliyokuwa yakifanyika kwenye sekta ya madini Tanzania..kuhusu uwindaji, nyinyi si mmemjua Rostam akiwa kwenye siasa, wapo wanaomjua kuanzia origin yake..wala yeye si muwindaji, ndugu zake wa bukene, nzega na igunga walikuwa na uwindaji usio rasmi toka zamani, yeye amesajili kampuni ya uwindaji kwa ajili ya ndugu zake vile sehemu walizokuwa wanafanya uwindaji kiholela zimerasimishwa na kuwa hifadhi za serikali na hivyo kuhitaji leseni ili uingie kuwinda..mfano hilo eneo la wembere..miaka 30 nyuma lilikuwa na wanyama wengi na haikuwa hifadhi, huko ndiko ndugu zake walikuwa wanapata pembe za tembo kupeleka kwao Pakistani nk.
Hivyo hana hizo sifa mnazotaja..he s a means to facilitate grand corruptive deals! si muwekezaji wala mfanyabiashara..
 
Back
Top Bottom