Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Re: In DEFENCE of LOWASSA (Warioba & Butiku on it)

Quote: Pundit

tatizo langu ni kuwa rule of law haikufuatwa.



B]


Mkuu Pundit,

Heshima mbele mkuu, sasa wabunge wameanza kuongea lugha yetu hapa JF tuliyoisema majuzi, ona mwenyewe quotes hizo, as a nation haya ndiyo tunayoyataka mkuu!
 
BIG UP! UNAPOSEMA WATU HAWA HAWANA U
ZALENDO VIBARAKA WAO WATAINUKA NA KUANZA KUTETEA KUWA SASA TUNALETA UBAGUZI, WHILE IN REAL SENSE "HAWANA UZALENDO NA NJI HII"
 
Inatia moyo sana, hapa JF tuna best political analyst in Tanzania. Huyu Rweyemamu tulisha mzungumzia kwamba anachangia kufight kupeteza scandal ya Richmond. Lakini JF tulisimama kidete and fight hard against this cheaters.

I am feeling sadly, this people knew from beggining that we have beeen traped.
 
 
Unajua natafuta adhabu ya kumfanya Rostam azizi mfano kwa wenzie wote. Dawa yake ni kumshusha pale Manzese kisha vijana wangu waambie yule ndio Rostam Azizi aliyesababisha watoto wenu wasikalie madawati, yule ndio aliyesababisha mabomba ya maji ya kipasuka yasitengenezwa, yule ndio amesababisha watoto wenu wasisome usiku sababu umeme unakatika, sababu yule ndio aliyekula pesa zenu, sasa nyinyi ndio majudge mfanyieni hukumu.

Vijana wangu watapiga gabachori yule, na hiyo ndio mwisho wake.
 

Tanzania tunaelekea pabaya. CCM ndiyo iliyotufikisha hapa.
 
Jamani,

Someni ile thread ya Richmond: The facts iliyopo pale juu. Wengine tulishawaambia kabla ya haya mambo long time ago kuwa Muungwana anahusika hamkutaka kusikia..................!

Sasa.................?
 
Tanzania tunaelekea pabaya. CCM ndiyo iliyotufikisha hapa.

pia angalia vyema mkuu nukuu yako inaonyesha ni jinsi gani kuwa hoja hii iliibuliwa bungeni na CCM na sio upinzani kama wanavyotaka wananchi waamini.


na hata ukifatilia utaona jinsi gani wabunge wa CCM walivyo wakali zaidi kuliko hata wa upande wa pili.
 

....huna hata aibu mpuuzi wewe!
 

Mtu wa pwani, mtu wa pwani!

najua unataka na wewe kuwa maarufu humu, lakini post zako kutokana na kutofanya homework ya kutosha unaishia kuwa moja ya vilaza kwenye hii forum. Mama kilango moja ya watu ambao ni wasemaji wazuri kabisa amesema mbele ya taifa kuwa CCM iliwaachia wakina kabwe kuikosoa na akasema kuwa sasa hivi na wao wameamka. Sasa hao ccm unaotaka kuwasifia kuwa ndiyo wameleta hoja walikuwa wapi siku zote. Kwa taarifa yako ukiona mpinzania wako anagombana na mke wake inabidi ukae kimya ila wajimalize wenyewe kwa jamii ukiaanza kusema sana watashtuka?
Kwa hiyo wapinzani wamekaa kimya wakati chama unachokipenda kikijikaanga chenyewe kwa mafuta yake na ukifika muda wa kukitafuna itakuwa rahisi. OMBI nakuomba ufanye utafiti inalau kidogo unapoleta hoja yako iwe na nguvu na kumbuka kuwa unaongea na Tanzania yote na sio watu wa Pwani pekee
 
Watazidi kugawanyika na ukweli utaonekana!


 

Inaitwa Kufa kufaana. Kwenye kisa cha Wajinga ndio walia, wakumbuka walivyofikiri kuwa kila mtu ni mjinga na mwadhana akasema "mwalimu umenibaini, moja yangu moja yako"?

Hawa jamaa walifikiri sisi ni Wajinga, Wapumbavu na Wazubafu. Wasipoangalia na kuwa wakweli kwa dhamiri na utiifu, wataangamia kwa kupigwa mawe.

JK has deep "sheet" in his hands. He has crisis that is about to explode like Oldonyo Lengai! Yeye anafanya mambo Kiswahili akifikiri basi moto atautuliza.

What he keeps forgeting is a base of enemies he created by building Mtandao and allow Mtandao to deep their fingers on national treasure!

Sasa sijui hii recklessness ni kwa ajili ya gumzo eti "mzungu bye bye" na 2010 ataachia ngazi na EL kuanza kujiandaa au ndio typical character ya uswahili, never take things seriously!

Yetu macho! He better see the writings on the wall "VDG, VDG, unaangamiza Taifa"!
 

huyu dawa yake apelekwe KEKO au UKONGA au MAWENI(tanga, huko ndo ataiona joto ya jiwe! kwa jinsi alivyo na sura tamu wallah wata mgombea kama nn! halafu ile ngozi ikishika ukurutu na kuliwa na kunguni atajuta majuto yote ya wazee wake na mashetani waliomtuma kudhulumu maskini!!!!
............ mbona wana mchelewesha sana???? hivi angekuwa ni kabwela kama yule mbunge wa kihansi alie mtaja kuwa alipelekwa ndani kwa kutaka kuangusha nguzo maana zinapeleka umeme kwa hao hao mafisadi na kuwaweka wao wenye chanzo gizani! ........hapa ndio naanza kupata shaka kuwa HAWAKO PEKE YAO hili deal linaweza kuwa la wengi........tena wakubwa zaidi yao..... kwenye hotuba ya muungwana tumemsikia akimwaga masifa kibao kwa white head.
...... ila tusubiri tuone......
 
BRAVO GRACE, UMEONGEA POINT. KEEP IT UP
 
.hapa ndio naanza kupata shaka kuwa HAWAKO PEKE YAO hili deal linaweza kuwa la wengi........tena wakubwa zaidi yao..... kwenye hotuba ya muungwana tumemsikia akimwaga masifa kibao kwa white head.
...... ila tusubiri tuone......

jana sikuamini masikio yangu niliposikia hotuba ya muungwana jinsi ilivo kuwa nyepesi nyepesi yenye mizaha mizaha wakati taifa lipo katika mtikisikoo mkubwa namna hii.

Naelekea kuamini kabisa kwamba Tatizo kubwa tulilo nalo Tanzania ni raisi wetu ndo maana upuuzi wote huu umeendelea akiuona na pengine kuubariki!

Njia ya kujikomboa ni kuondoa kiini cha tatizo, vinginevyo tutaendelea tibu jipu la mguuni kesho linaibukia usoni kwani damu bado inabakia kuwa chafu!( Nukuu bunge la jana)
 

Sina haja ya kujua kama wewe ni sisiemu ama la, ila ningependa kukukosoa kwamba hoja hizi za kufichua uozo kule kwenye Richmond na kwingineko zililetwa na wapinzani sio sisiemu kama wewe na mwenzako Kpt. John Chiligati mnavyotaka kutuaminisha.
Long Live Tanzania!
 

HOJA SI WABUNGE WA SISIEM KUWA WAKALI. ILA ELEWA WALIOANZISHA HII MOTION NI OPOSITION NA MEDIA.HAWA JAMAA WAMEIRUKIA BAADA YA KUONA NGOMA NI NZITO NA HAWANA JINSI YA KUNUSURU CHAMA CHAO. SUBIRI UONE WATAKAVYO IRUKIA YA BUZWAGI. WATASAHAU KAMA WALIMUADHIBU NAYO ZITTO.
 
Mtu wa Pwani-waswahili husema kuwa mbwa akitaka kufa huwa anaziba pua zake mwenyewe.

CCM hapa wamepigwa bao hawana budi kukubali na kujiandaa kujipanga kusonga mbele ,wasiangalie wameangukia wapi ila waangalie walijikwaa wapi.

Mwisho wa sppining ni huu na hapa wananchi wameamka kuliko hapo miak ya 70 ndio maana hata wakina Kingunge et-all walipojitokeza kumpinga DR,slaa wananchi walisimama kidete na kusema ukweli bila hofu wala woga.

Long live Tanzania .....long way to 2010.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…