William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Re: In DEFENCE of LOWASSA (Warioba & Butiku on it)
Mkuu Pundit,
Heshima mbele mkuu, sasa wabunge wameanza kuongea lugha yetu hapa JF tuliyoisema majuzi, ona mwenyewe quotes hizo, as a nation haya ndiyo tunayoyataka mkuu!
Quote: Pundit
tatizo langu ni kuwa rule of law haikufuatwa.
B]Quote: Field Marshall ES
Mkuu Pundit,
No question kwamba you are an-intelligent man, lakini hapa kwenye hii topic unachanganya ishus mkuu, iliyomkuta Lowassa ni the rule of politics sio the rule of law,
Warioba na Butiku, kama kweli wako concerned na the rule of law wangesikitika kwamba Daniel Yona na Rostam Aziz, wameitwa kisheria na kamati teule ya bunge na wamekataa kwenda, na nothing happened to them, nilifikiri wewe Pundit na Warioba na Butiku, mngekuwa concerned zaidi na hilo badala ya noneishu ya sheria ambayo haikumhukumu Lowassa, ila Lowassa kukimbia kivulichake mwenyewe, kutokana na the rule of politics