Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts


Kasema kwamba anafanya nao biashara na hata akawapa anuani na wanatumia anuani yake .Pia naamini sna Tume ya Bunge zaidi kuliko maneno ya huyu Kilaza RA
 
Kasema kwamba anafanya nao biashara na hata akawapa anuani na wanatumia anuani yake .Pia naamini sna Tume ya Bunge zaidi kuliko maneno ya huyu Kilaza RA

Unaongelea Richmond au Dowans? maanake tunaweza kubishana kumbe tunaongelea vitu tofauti
 

Kusadikika
Mkuu Dar es Salaam, twende hoja kwa hoja factual kwa factual.
Report ya Dr. Mwakyembe imemtaja Mr Saleh kwamba alikuwa ndumi la kuwili, yaani alikuwa akivujisha habari kwa Mr. Gire. Mimi personal nililizungumzia swala hili mwezi October 2007.

Jakaya alipokuwa mambo ya Nje, alikuwa na partner wake France ambaye kwa sasa yupo US, huyu partner wa JK amemuoa mtoto wa Mr. Saleh, na Mr Saleh na Gire wamekwenda wote shule. Sasa you talk to me, can you connect those factual dots?

Jakaya alikuja summit ya UN 2006, alifika New York na akalala continental Hotel, baadhi ya wadau wakwanza kwenda kumuona ni mshikaji wake wa Ufaransa aka mkwe wa Mr.Saleh which is best friend of Gire.

Now who own DOWANS, Mr. Gire amewauzia deal DOWANS kutoka Richmond. Nani mkurugenzi wa DOWANS kwa sasa? Mr Saleh ndio mkurugezi, na baada ya deal ya Richmond kuwa seal off, Mr. saleh aliachia madaraka TANESCO kwa kisingizio cha kuretire na kujiunga na DOWANS. Sasa do you need PhD ya math kusolve hii puzzle?

I know CCM send you here, lakini waambie kwamba hawa watu wanaform JF sio arrogant waliosoma DSJ. We have people from each corner of the world with different capability. Niliwaonya Watanzania kuhusu Richmond kabla haijafumuka. Now Mr dar es salaam twende hoja kwa hoja, tusiwe kama CCM Jino kwa Jino.

Muhamed Gire===>Mr Saleh====>mkwe wake====>Jakaya Mrisho Kikwete. that is simple chain, now mwambie JK akanushe haya, au mwambie J. Makamba amshauri aje na new strategy.
 

Mtanganyika,

Dar Es Salaam anauvivu wa kufikiri na kuchanganua mambo, ukisoma post zake nyingi yeye ni kutetea na kupindisha hata sehemu zilizo wazi...nadhani sasa atajipanga upya...
 
Unaushahidi uweke wazi, kwani hata nawe ukiongea bila ushahidi inakuwa ni nadharia tu.

ingawa alijibiwa hivi....

tibwilitibwili said:
Ushahidi namba moja ni kwamba Rostam anafanya nao biashara.Je unaweza kufanya biashara na watu usio wajua ? Salva alisema mengi na kuthibitisha hili kwamba RDC wana connection nzito na RA

akaendelea kuonesha ukilaza wake hivi...


na hivi.....

Dar Es Salaam said:
Unaongelea Richmond au Dowans? maanake tunaweza kubishana kumbe tunaongelea vitu tofauti


akapewa jibu takatifu lenye facts zote...


Ni kwamba tangu ajiunge huyu mwenzetu Darsalam amekuwa akitibua michango ya wanabodi hapa kwa kuuliza kivivu na kiuwivu, Inaonesha ni zaidi ya uvivu wa kufikiri ila ametumwa kama lines zinavyoonesha hapo juu.
Ameingia mitini ila ataibuka ktk thread nyingine akijaribu kuzima mijadala yakinifu
 
Kutokana na ile post ya leo asubuhi iliyofutwa haraka haraka naogopa hata kukujibu Mkuu.

Mkuu Dar,

Kama anyoyasema sasa Rostam, ni ya kweli kwa nini hakuenda kuyasema kwenye kamati ya bunge under oath? Maana pale ndo angejisafisha na wote tungekubali bila kinyongo kuwa haijui Richimond, sasa kuikwepa kamati na kuja kusemea nje huoni kuwa inaleta wasi wasi on his part na ukweli?

Hayo yaliyosemwa nimeyasikia kuna member alinipigia simu, ni ya kawaida ninaweza kukuandikia kitabu toka yalipoanzwa kusemwa, ila guess what hayajawahi kubadili anything in my message, wembe wangu ni ule ule tu kumkoma nyani mpaka giladi, JF haitaharibiwa wala kufa kwa sababu ya inferiorism na jelaousism za wachache wasiotaka maendeleo, sihusiki na anything ya yaliyosemwa na kuna wengi sana hapa JF wanajua hayo sina sababu ya kusema sana, anyways mwendo ni mdundo ndugu yangu, umeamua kumtetea Rostam, simamia tu hoja zako uhesabiwe!
 
Wakuu

Dar es Salaam nafikiri ataomba maji ya kunywa, marathoni hii nafikiri imemshinda. Wakuu Mtanganyika, ES, Msanii na wengineo nafikiri huyu Kijana/Mkuu Dar es Salaam wa Juzi inatakiwa aombe Msaada wa nyenzo vinginevyo hii thread hatakaa aifungue.

Sitegemee ajibu tena.
 

Briefly, this r classified information that according to the banks transactions flow, there s clear evidence that, when the money were/are paid to be it richmond or dowans, the same day or the next day, the money r transferred to rostam abdurasul aziz bank account in the uk or us, the names of banks remains to be not dislosed!
 
Quote: Mtoto wa Mkulima

NIKIRUDI KTK MADA ROSTAM HAJAJIBU YALE ANAYOTAKIWA KUJIBU BUNGENI NA RIPOTI HAIONYESHESHI WAPI AMEHUSIKA KTK HASARA HII.


Mkuu Wangu Mkulima,

Najua wewe ni kichwa, isipokuwa hapa unajichanganya Rostam, anatakiwa akasemee kwenye kamati ya bunge under oath, anachojua na asichojua kuhusu Richimonduli, anything less ni ule ule mchezo wa kusadikika, kusema kwa kuyatumia magazeti yake huko nje ni usanii at best, tunachomuomba akayasemee kwenye kamati under oath!
 
Kitu kimoja tu nachoweza kumuunga mkono Rostam ni pale alipodai kuwa dunia ya sasa ya Mtandao, mtu ukitaka kumjua mwenye mali (Richmond) ni kazi rahisi. Hao Richmond hata kama walikuwa Matapeli walikuwa na Account yao benki fulani ambapo wapo signatories wapewe kibano, pili ni lazima kulikuwepo na mawasiliano ya kiofisi kati ya ofisi zetu, mawaziri wa madini (wote Msabah na Karamagi) na wamiliki wa kampuni hiyo kwa njia moja ama nyingine toka deal lianze hadi kuhamishwa kwa majukumu kwenda Dowans...
Kisha huyu Rostam kadai aliomba contract Dowans hivyo inaonyesha wazi yeye mwenyewe anaifahamu kampuni ya Dowans maanake huwezi kuomba kazi mahala kampuni ni hewa.

Kwa hiyo kazi rahisi zaidi kwa wananchi ni kuwafikisha watu hawa wote mahakamani na maelezo yote yaliyokwisha tamkwa na kina Msabah, Karamagi na sasa hivi Rostam yatatumika kama ushahidi mahakamani. Mazingaombwe yote haya yanazungumzwa leo kwa sababu Rostam anafahamu kuwa kisheria Magazeti kama Daima na Thisday hayawezi kumfanya kitu isipokuwa kukosha jina lake. Sheria wanayo wao na wao ndio watunzi wa sheria hivyo they are above the law!..
Mtawafanya nini?..Ndio maana
Taasisi ya kuzuia Rushwa ilikataliwa kuwa huru.
 
Rostam: Richmond ? Where?
Adam Lusekelo
Daily News; Tuesday,March 04, 2008 @18:01

BELIEVE it or not, the Igunga trader and MP, Rostam Aziz, has said he doesn't know a thing about Richmond . I believe him. As the way we are headed now, I will believe anything. The great trader has retreated into strategic amnesia suggesting that the Richmond scam is just a figment of our imagination.

Ted and two ministers, Naz Karamagi and Dr Ibrahim 'Bura' Msabaha, resigned because they wanted to go on holiday. They insist that they did nothing wrong. Lowassa blames bad advisors and says he had a good mind to scrap the whole Richmond thing and save Bongo from ruin! The Honourable MP has said that he has never had any relationship with the briefcase company, neither does he know about it. It's the first time he has done so in public.

When asked by the media guys if he has contacts with the Kagoda Agriculture Ltd, Rostam said no. I guess his name which appeared as one of shareholders in the company was placed there by imperialist agents. Kagoda reportedly 'stole' 40 billion from the BoT. That is subject to further investigations.

It is as if there are ghosts everywhere in Tanzania . They steal moneys at will and are never taken to court. It is just some ghosts who have decided to take the money. What we need at the BoT and the Treasury are Sangomas and other witchdoctors to go and find the money! Rostam is a great businessman.

He says that if he was in any way involved in the Richmond project it would not have failed. I also agree with him. Richmond was a great success. Where else do you get a fake company to get billions from the government for not supplying power? Some people are just geniuses! By the way do we still pay 152 million a day for not getting power?
 

Ahh Lusekelo,

Unapandisha chati mwaya day after day! naona kweli tunahitaji sangomas kuwakamata hawa wasiojulikana au kuonekana wanaokwibwa pesa zetu! Kila mtu anakana kutohusika katika hili, Sasa sijui nani anahusika hapa!
 
Ahh Lusekelo,

Unapandisha chati mwaya day after day! naona kweli tunahitaji sangomas kuwakamata hawa wasiojulikana au kuonekana wanaokwibwa pesa zetu! Kila mtu anakana kutohusika katika hili, Sasa sijui nani anahusika hapa!

Shetani are responsible for this ufisadi. Zey stole our billions when we were sleeping!!!
 
Ahh Lusekelo,

Unapandisha chati mwaya day after day! naona kweli tunahitaji sangomas kuwakamata hawa wasiojulikana au kuonekana wanaokwibwa pesa zetu! Kila mtu anakana kutohusika katika hili, Sasa sijui nani anahusika hapa!

Rostam ndiye kingpin wa wa mamafia wote wa CCM

Atasemaje hausiki?
 
mtazame ananvyokenua na kubwabwaja http://www.chadema.net/habari/katuni/2008/index.php

Maneno hayo aliyabwabwajia kupitia kampuni yake ya New Habari Corruption, chini ya uratibu wa mtwana wake bwana Balile

Asha

Rostam ana kazi kweli,

Ingawa Kikwete anatumia nguvu ya usalama wa taifa ili makampuni kama yaliyotumika kuiba pesa yasichunguzwe but hapa ni follow up hadi watu wakimbie nchi.

Rostam... count your days.... tik tak tik tak tik......
 
hili la RA LIENDE SAMBAMBA NA TUHUMA DIDI YA MBOWE!!!!!!!VOGUE la watu jamanii!!!!!
NSSF......jamani!!!!!!!!
 
hili la RA LIENDE SAMBAMBA NA TUHUMA DIDI YA MBOWE!!!!!!!VOGUE la watu jamanii!!!!!
NSSF......jamani!!!!!!!!

Nilijua tu, makuwadi wa New Habari Corruption mtafike. Mwite na Balille basi naye aje kutetea. Kamwambieni pia bwana wenu Rostam Aziz kuna picha yake nzuri sana hapa ya kuweka kwenye frame atakapokuwa Segerea

Asha
 
TEHE.....TEHE....TEHE......! mrembo Asha kuwa mpole bibie kutajiwavogue umekuwa mkali hivyo!!!!!!
Basi hatusemi tena mambo ya vogue & nssf hivi ni kweli mbowe kafeli?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…