tibwilitibwili
Senior Member
- Sep 12, 2006
- 184
- 10
- Thread starter
-
- #481
Wewe unasema hayo, aliyeanzisha hii thread hapo mwanzo anam-qoute Rostam akisema hivi:
Siijui hata kidogo, siwatambui na siwafahamu. Mimi ni mfanyabiashara, sina sababu ya kuficha, kama ingekuwa ni kampuni yangu, nisingeshindwa kutekeleza mradi huo. Leo hii kutokana na kuwepo kwa mawasiliano ya kutosha, si rahisi mmiliki wa kampuni hiyo asijulikane. Mimi sidhani kama imekuwa ni ngumu kiasi hicho, alisema Rostam."
Upo hapo ulipo?
Kasema kwamba anafanya nao biashara na hata akawapa anuani na wanatumia anuani yake .Pia naamini sna Tume ya Bunge zaidi kuliko maneno ya huyu Kilaza RA
Mkuu Dar es Salaam, twende hoja kwa hoja factual kwa factual.
Kusadikika
I know CCM send you here, lakini waambie kwamba hawa watu wanaform JF sio arrogant waliosoma DSJ. We have people from each corner of the world with different capability. Niliwaonya Watanzania kuhusu Richmond kabla haijafumuka. Now Mr dar es salaam twende hoja kwa hoja, tusiwe kama CCM Jino kwa Jino.
Muhamed Gire===>Mr Saleh====>mkwe wake====>Jakaya Mrisho Kikwete.
that is simple chain, now mwambie JK akanushe haya, au mwambie J. Makamba amshauri aje na new strategy.
Unaongelea Richmond au Dowans? maanake tunaweza kubishana kumbe tunaongelea vitu tofauti
Unaushahidi uweke wazi, kwani hata nawe ukiongea bila ushahidi inakuwa ni nadharia tu.
tibwilitibwili said:Ushahidi namba moja ni kwamba Rostam anafanya nao biashara.Je unaweza kufanya biashara na watu usio wajua ? Salva alisema mengi na kuthibitisha hili kwamba RDC wana connection nzito na RA
Dar Es Salaam said:Wewe unasema hayo, aliyeanzisha hii thread hapo mwanzo anam-qoute Rostam akisema hivi:
Siijui hata kidogo, siwatambui na siwafahamu. Mimi ni mfanyabiashara, sina sababu ya kuficha, kama ingekuwa ni kampuni yangu, nisingeshindwa kutekeleza mradi huo. Leo hii kutokana na kuwepo kwa mawasiliano ya kutosha, si rahisi mmiliki wa kampuni hiyo asijulikane. Mimi sidhani kama imekuwa ni ngumu kiasi hicho, alisema Rostam."
Upo hapo ulipo?
Dar Es Salaam said:Unaongelea Richmond au Dowans? maanake tunaweza kubishana kumbe tunaongelea vitu tofauti
Mtanganyika said:Mkuu Dar es Salaam, twende hoja kwa hoja factual kwa factual.
Report ya Dr. Mwakyembe imemtaja Mr Saleh kwamba alikuwa ndumi la kuwili, yaani alikuwa akivujisha habari kwa Mr. Gire. Mimi personal nililizungumzia swala hili mwezi October 2007.
Jakaya alipokuwa mambo ya Nje, alikuwa na partner wake France ambaye kwa sasa yupo US, huyu partner wa JK amemuoa mtoto wa Mr. Saleh, na Mr Saleh na Gire wamekwenda wote shule. Sasa you talk to me, can you connect those factual dots?
Jakaya alikuja summit ya UN 2006, alifika New York na akalala continental Hotel, baadhi ya wadau wakwanza kwenda kumuona ni mshikaji wake wa Ufaransa aka mkwe wa Mr.Saleh which is best friend of Gire.
Now who own DOWANS, Mr. Gire amewauzia deal DOWANS kutoka Richmond. Nani mkurugenzi wa DOWANS kwa sasa? Mr Saleh ndio mkurugezi, na baada ya deal ya Richmond kuwa seal off, Mr. saleh aliachia madaraka TANESCO kwa kisingizio cha kuretire na kujiunga na DOWANS. Sasa do you need PhD ya math kusolve hii puzzle?
I know CCM send you here, lakini waambie kwamba hawa watu wanaform JF sio arrogant waliosoma DSJ. We have people from each corner of the world with different capability. Niliwaonya Watanzania kuhusu Richmond kabla haijafumuka. Now Mr dar es salaam twende hoja kwa hoja, tusiwe kama CCM Jino kwa Jino.
Muhamed Gire===>Mr Saleh====>mkwe wake====>Jakaya Mrisho Kikwete. that is simple chain, now mwambie JK akanushe haya, au mwambie J. Makamba amshauri aje na new strategy.
Kutokana na ile post ya leo asubuhi iliyofutwa haraka haraka naogopa hata kukujibu Mkuu.
NAONA KAMANDA UMEAMUA KUTUNGA SWALI NA KUJIBU MWENYEWE, KAMA UMESOMA VITABU VYOTE VYA MWAKIEMBE NA HITIMISHO LA MWAKIEMBE HAKUNA SEHEMU ANASEMA ANAMUHUSISHA ROSTAM AZIZ NA HASARA HIYO KWAHIYO USIPELEKE HOJA SEHEMU AMBAYO HAIPO.
PILI KAMA MSOMAJI ALIYOYAJIBU YAKO WAZI HAKUNA HOJA AMBAYO HAJAJIBU KIFASAHA ISISPOKUA YALE AMBAYO AMESEMA ATAJIBU BUNGENI,PIA NIMEPITIA HOJA ZA WENGI KTK HUU MJADALA NIMEJIFUNZA WENGI WALIOCHANGIA HATA ES ANATUMIA HISIA KAMA WALIVO WAANDISHI WETU WA KITANZANIA WAPO WANAO AMINI KUA RICHMOND ILILIPWA PESA NA SEREKALI HATA MWAKIEMBE KASEMA HIVO BUT HAKUNA EVIDENCE KUA WALILIPWA NA KISHERIA RICHMOND IS NOT DOWANS MWAKIEMBE KTK RIPOTI YAKE ANAONYESHA MARA RICHMOND IMELIPWA MARA DOWANS HAELEWEKI.
WANA JF NIMESOMA RIPOTI YA MWAKIEMBE FROM PG ONE MPAKA PAGE 137 MPAKA LEO KUNA MAPUNGUFU MENGI SANA NA TATIZO NI KUA ALIFANYA UCHUNGUZI AKIWA TAYARI NA JIBU AMESHINDWA KUJUA MKATABA ULIANDALIWA NA TANESCO,WIZARA YA MADINI,OFISI YA MWANASHERIA MKUU etc,
NIKIRUDI KTK MADA ROSTAM HAJAJIBU YALE ANAYOTAKIWA KUJIBU BUNGENI NA RIPOTI HAIONYESHESHI WAPI AMEHUSIKA KTK HASARA HII.
Quote: Mtoto wa Mkulima
NIKIRUDI KTK MADA ROSTAM HAJAJIBU YALE ANAYOTAKIWA KUJIBU BUNGENI NA RIPOTI HAIONYESHESHI WAPI AMEHUSIKA KTK HASARA HII.
Rostam: Richmond ? Where?
Adam Lusekelo
Daily News; Tuesday,March 04, 2008 @18:01
BELIEVE it or not, the Igunga trader and MP, Rostam Aziz, has said he doesn't know a thing about Richmond . I believe him. As the way we are headed now, I will believe anything. The great trader has retreated into strategic amnesia suggesting that the Richmond scam is just a figment of our imagination.
Ted and two ministers, Naz Karamagi and Dr Ibrahim 'Bura' Msabaha, resigned because they wanted to go on holiday. They insist that they did nothing wrong. Lowassa blames bad advisors and says he had a good mind to scrap the whole Richmond thing and save Bongo from ruin! The Honourable MP has said that he has never had any relationship with the briefcase company, neither does he know about it. It's the first time he has done so in public.
When asked by the media guys if he has contacts with the Kagoda Agriculture Ltd, Rostam said no. I guess his name which appeared as one of shareholders in the company was placed there by imperialist agents. Kagoda reportedly 'stole' 40 billion from the BoT. That is subject to further investigations.
It is as if there are ghosts everywhere in Tanzania . They steal moneys at will and are never taken to court. It is just some ghosts who have decided to take the money. What we need at the BoT and the Treasury are Sangomas and other witchdoctors to go and find the money! Rostam is a great businessman.
He says that if he was in any way involved in the Richmond project it would not have failed. I also agree with him. Richmond was a great success. Where else do you get a fake company to get billions from the government for not supplying power? Some people are just geniuses! By the way do we still pay 152 million a day for not getting power?
Ahh Lusekelo,
Unapandisha chati mwaya day after day! naona kweli tunahitaji sangomas kuwakamata hawa wasiojulikana au kuonekana wanaokwibwa pesa zetu! Kila mtu anakana kutohusika katika hili, Sasa sijui nani anahusika hapa!
Ahh Lusekelo,
Unapandisha chati mwaya day after day! naona kweli tunahitaji sangomas kuwakamata hawa wasiojulikana au kuonekana wanaokwibwa pesa zetu! Kila mtu anakana kutohusika katika hili, Sasa sijui nani anahusika hapa!
mtazame ananvyokenua na kubwabwaja http://www.chadema.net/habari/katuni/2008/index.php
Maneno hayo aliyabwabwajia kupitia kampuni yake ya New Habari Corruption, chini ya uratibu wa mtwana wake bwana Balile
Asha
hili la RA LIENDE SAMBAMBA NA TUHUMA DIDI YA MBOWE!!!!!!!VOGUE la watu jamanii!!!!!
NSSF......jamani!!!!!!!!