Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

BIMDOGO FD! TUNAPOTAJA VOGUEHATUNAMAANA KULIMILIKI..........!HAPA TUNAMAANA JINSI ALIVYOLIPATA HILO VOGUE KWANI MWENYEWE HUKO UGHAIBUNI ANALITAFUTA...........! ARE YOUR EYES NOT OPENED........?

Mahesabu,

Tuhuma nzito hizo mkulu...haya tupe mkanda mzima basi kama unao
 
Mmeshaambiwa mumignore huyo mahesabu manake atawapotezea mahesabu ya kweli,Mkomeni nyani kama kawaida vimeo kama hivyo vipo vingi. tik tak tik tak.........
 
Mmeshaambiwa mumignore huyo mahesabu manake atawapotezea mahesabu ya kweli,Mkomeni nyani kama kawaida vimeo kama hivyo vipo vingi. tik tak tik tak.........

Ni kweli mkuu, bila kuwaignore hawa watasababisha kuamisha attention kwenye vitu ambavyo ni vidogo sana. kama mtu amepoka na analipa hawezi kuwa fisadi ni yule aliyegushi na kuiba. Hawa jamaa naona wameingia JF kwa nguvu mpya na kasi mpya maana wanapinga na kudivert mada kwa lazima hata kama utaki utaanza kujibishana nao.
Mimi nafikiri tuendelee na mijadala yetu badala ya kubisha na na hawa watu.
 
Mwafrika wa Kike umetoa hoja, tumeisoma na tutaijadili kama hoja zingine. Huyo mahesabu hana hoja na hivyo sioni sababu ya wewe kuendelea kumjibu, Anajaribu kuamsha hasira zako tu - achana nae.
Kichaa akikuta unaoga akachukua nguo zako akakimbia, nawe ukamkimbiza ukiwa uchi, watu wanaweza wakashindwa kujua kichaa ni yupi!
 
tehe...tehe...tehe.........!!!!!
I repeat...........mbowe(vogue&nssf) & rostam(richmond)=mafisadiiii
tehe....tehe.......
NAWAKARIBISHA WATETEZI WA MAFISADI HAWA WAWILI JAMVINI!!!!
TEHE....TEHE...TEHE.....!!!!

Ebu nipe definition ya ufisadi kwanza we macalculus
 
BIMDOGO FD! TUNAPOTAJA VOGUEHATUNAMAANA KULIMILIKI..........!HAPA TUNAMAANA JINSI ALIVYOLIPATA HILO VOGUE KWANI MWENYEWE HUKO UGHAIBUNI ANALITAFUTA...........! ARE YOUR EYES NOT OPENED........?

Wewe unaongea nini hapa sasa, mwenyewe analitafuta kaiba au unamaanisha nini?
 
yaani bwana,
Chadema ikiguswa hapa JF basi inaonekana ni jambo la uonevu,Kimsingi kuandikwa kwa Mbowe ndio mmeamua kumshambulia ROstam,Mie simpendi ROstam sabbu ametuingiza katika umasikini,na nachukia ufisadi wake na kimsingi simpendi.ila kwa suala la Mbowe kuhusika na ufisadi NSSF lazima naye arudishe pesa yetu,Je alikwua Mwanachama wa NSSF.

Mbowe Rudisha Pesa ya NSSF!
 
yaani bwana,
Chadema ikiguswa hapa JF basi inaonekana ni jambo la uonevu,Kimsingi kuandikwa kwa Mbowe ndio mmeamua kumshambulia ROstam,Mie simpendi ROstam sabbu ametuingiza katika umasikini,na nachukia ufisadi wake na kimsingi simpendi.ila kwa suala la Mbowe kuhusika na ufisadi NSSF lazima naye arudishe pesa yetu,Je alikwua Mwanachama wa NSSF.

Mbowe Rudisha Pesa ya NSSF!

Gembe,

Nakuheshimu kutokana na michango yako mingi hapa JF! Mimi si shabiki wa chama chochote cha siasa bali napenda viongozi waadilifu daima na kerwa sana na mafisadi! Lakini, siwezi kuburuzwa tu nichukie mtu ''fisadi'' bila kuwa na vigezo au ushahidi wakutosha!

Gembe, Hivi kukopa ni tatizo hasa NSSF? Kuwa na VOUGE ni tatizo? Mbona watu wengi wamekopa huko NSSF kwa ajili ya shughulzao mbalimbali na hakuna kelele? Unajua alikopa kiasi gani na umelipa kiasi gani na anadaiwa kiasi gani? kwa uhakika? achana na ile gazeti la RAI lililo andika habari hiyo ambalo linamilikiwa na Rostam! Kwanza liliandika eti kakopa 15mil na kulipa 50mil is this possible?

Gembe, elewa kuwa sheria iliyo anzisha NSSF inaruhusu kuwekeza kwa namna mbalimbali michango ya wanachama!Therefore sio kosa kukopa NSSF cause sheria inaruhusu, ukitaka nitaje some of people walio kopa huko nitakutajia! Hata kama wewe unamradi wa ambao ni feasible you can go there na kukopa -see me for more consultation or use PM!

Ila kama huyu bwana Mbowe alipata hela hiyo NSSF kimzengwe yes, I could support you, vinginevyo usiharibu CV yako bure!
 
Wakuu salaam

je mnalifahamu hili?

Tarehe 1 Feb 2005 Mheshimiwa Lawrence M. Gama [ CCM ] Mbunge wa Songea Mjini Aliuliza hivi

Je, tangu Serikali ichukue hatua ya kubinafsisha viwanda ni viwanda vingapi vinafanya kazi na vingapi havifanyi kazi hadi sasa na ni vingapi vimejengwa?

Majibu katika kikao cha 7 mkutano 18 kutoka kwa Mh. Hon. Dr. Juma Alifa Ngasongwa Waziri wa Viwanda na Biashara ;

Mheshimiwa Spika, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Dr. Lawrence Gama, Mbunge wa Songea Mjini, kama ifuatavyo:-

Tangu Serikali ichukue hatua ya kubinafsisha viwanda, viwanda ambavyo vimebinafsishwa na vinafanya kazi ni 55 ……………………………………..

Mheshimiwa Spika, viwanda ambavyo vimebinafsishwa lakini havifanyi kazi ni Morogoro Tanneries, Tanzania Tanneries Moshi, Mwanza Tanneries, …………………………………………………….
WHY ?????????????????????. Kazi kwenu!
 
Wakuu salaam

je mnalifahamu hili?

Tarehe 1 Feb 2005 Mheshimiwa Lawrence M. Gama [ CCM ] Mbunge wa Songea Mjini Aliuliza hivi

Je, tangu Serikali ichukue hatua ya kubinafsisha viwanda ni viwanda vingapi vinafanya kazi na vingapi havifanyi kazi hadi sasa na ni vingapi vimejengwa?

Majibu katika kikao cha 7 mkutano 18 kutoka kwa Mh. Hon. Dr. Juma Alifa Ngasongwa Waziri wa Viwanda na Biashara ;

Mheshimiwa Spika, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Dr. Lawrence Gama, Mbunge wa Songea Mjini, kama ifuatavyo:-

Tangu Serikali ichukue hatua ya kubinafsisha viwanda, viwanda ambavyo vimebinafsishwa na vinafanya kazi ni 55 ……………………………………..

Mheshimiwa Spika, viwanda ambavyo vimebinafsishwa lakini havifanyi kazi ni Morogoro Tanneries, Tanzania Tanneries Moshi, Mwanza Tanneries, …………………………………………………….
WHY ?????????????????????. Kazi kwenu!

Wewe bwana mdogo hili linakujaje hapa tena!

Mods - Fanyeni kazi yenu huyu anataka kuwapoteza maboya wana JF
 
Gembe,

Nakuheshimu kutokana na michango yako mingi hapa JF! Mimi si shabiki wa chama chochote cha siasa bali napenda viongozi waadilifu daima na kerwa sana na mafisadi! Lakini, siwezi kuburuzwa tu nichukie mtu ''fisadi'' bila kuwa na vigezo au ushahidi wakutosha!

Gembe, Hivi kukopa ni tatizo hasa NSSF? Kuwa na VOUGE ni tatizo? Mbona watu wengi wamekopa huko NSSF kwa ajili ya shughulzao mbalimbali na hakuna kelele? Unajua alikopa kiasi gani na umelipa kiasi gani na anadaiwa kiasi gani? kwa uhakika? achana na ile gazeti la RAI lililo andika habari hiyo ambalo linamilikiwa na Rostam! Kwanza liliandika eti kakopa 15mil na kulipa 50mil is this possible?

Gembe, elewa kuwa sheria iliyo anzisha NSSF inaruhusu kuwekeza kwa namna mbalimbali michango ya wanachama!Therefore sio kosa kukopa NSSF cause sheria inaruhusu, ukitaka nitaje some of people walio kopa huko nitakutajia! Hata kama wewe unamradi wa ambao ni feasible you can go there na kukopa -see me for more consultation or use PM!

Ila kama huyu bwana Mbowe alipata hela hiyo NSSF kimzengwe yes, I could support you, vinginevyo usiharibu CV yako bure!

Asanet sana Bwana Festomie Mwenyewe nipo chini nampenda sana Mbowe,hasa sera yake ya majimbo ila kama ameweza kuchukua pesa ya NSSF na hajarudisha,airudishe.
 
Asanet sana Bwana Festomie Mwenyewe nipo chini nampenda sana Mbowe,hasa sera yake ya majimbo ila kama ameweza kuchukua pesa ya NSSF na hajarudisha,airudishe.

Yes,

Kama amechukua hela yetu (mimi ni member)na hataki kuirudisha no objection ailipe kadiri walivyo kubaliana!
 
Mimi ninashindwa kuwaelewa title ya thread ni ya RA halafu mnajadili kitu kinginge mbowe nayeye ana thread yake sasa ni nini anaepotosha?
 
sana mwana.......!! Mbowe should get in line as well, something and i mean one thing particular will impact and determine his political career ! i cant wait ! CCM doesnt need RA, kama yeye ni fundraiser then awe kwenye chama ama asiwepo, ccm still will do ! kwani huyo RA alikuwepo miaka yooote hiyo ?? dont you ask yourself why ccm is still prevailing ?

CCM inaprevail sababu ya ufisadi ulioshamiri kila kona. Hadi watoto wao wanapozaliwa cku ya kwanza wanakuwa mafisadi tayari.
 
Tema,

Tanneries, ...tanneries,...tanneries... Why ? Lack of raw materials ?
 
No it is destructive egagement? close down industries promote trade simple?????? mission eliminate the compititor in your trading activities??????
 
Kati ya wabunge ambao inadaiwa wana ushawishi sana kwenye serikali na nje ya serikali ni Mbunge wa Igunga Mhe. Rostam Aziz (CCM) Siyo tu Bungeni lakini pia jina lake limekuwa likitajwa katika mambo mbalimbali na hivyo kumfanya kuwa ni miongoni mwa wabunge wenye "ushawishi" wa aina fulani na wenye nguvu ya aina fulani. Kuna watu wanaomini kuwa yeye ndiyo "King Maker" wa Tanzania. Je ushahidi ukoje. Ufuatao ni wasifu wa Mhe. Aziz ambao licha ya kutojibu maswali, unazua maswali mengi zaidi na kubwa zaidi ambalo binafsi ningependa kusaidiwa majibu yake ni "Mchango mkubwa wa Bw. Rostam kwa taifa letu ni nini"?

Je, ni ajira, kuanzisha vyombo vya habari n.k Je yawezekana kuwa kule Bungeni kwa miaka miwili Bw. Aziz hajawahahi kusema kitu chochote? Na kama amewahi imekuwaje kuwa tovuti ya Bunge haionyeshi mchango wake hata mmoja? Kwanini miaka miwili baadaye hata wasifu wake wameshindwa kuumalizia? Mbunge huyu mwenye utata, kweli anazo nguvu anazodaiwa kuwa nazo au ni uonevu wa wapinzani wake wa kisiasa?. Binafsi sina jibu. wewe unalo?

rostam1.jpg.jpg

rostam2.jpg.jpg

rostam3.jpg.jpg
 
Mwanakijiji...

Ulivyoweka linaonekana kama JUNGU... lakini sio jungu. Kwa taratibu zilozopo duniani heshima hutolewa kutokana na mchango uliotoa katika hio jamii.

Hapa nikimtizama Mheshimiwa Azizi, hana mchango wowote (ulio tajwa) katika hio jamii (Bunge la Tanzania) - nikusema kwamba nivizuri angabakia CCM na kwenye jimbo lake - kote huko anapendwa sana!

Labda hua anachangia katika kamati na vyombo vyengine vya bunge - na hua hawaoneshi contribution zake!? Hio ni sawa na kupata masomo mawili 100% na mengine manane 0%

Naona mada iko wazi kwa majadiliano bado!
 
Mwaka alozaliwa anaogopa kutaja.
Shule alosoma na kupata BA anaogopa kuitaja.
MWaka alohitimu anaogopa kuutaja.

Umaarufu wa ROSTAMU AZIZI ni kugawa Pochi kama hana akili nzuri.
Ni OPEC ya Bongo.

Sisi watanzania tunaamini kwamba watu wote wenye ngozi light kuliko yetu wanafedha.

Kabla ya uchaguzi mwaka 2003 nilisikia kwamba wazazi wa Rostamu wanafaidika na neema ya Mafuta huko Iran kwahiyo wamemfadhiri mtoto wao akisaidie chama chake.
Hadithi hiyo ilinoga na kuonekana ya kweli mpaka kagoda ilipo ibuliwa.

Duniani hakuna cha bure.
Ukiona jirani yako anajipitisha kwako kwa maneno ya huruma na kujifanya anakuonea huruma ujue moja, ana lake jambo.

Nipe nikupe ndo mahusiano ya kawaida.

Fedha itoke Iran kuwasaidia SISIEMU, wao SISIEMU watawapa nini?

Hata sasa usione tunapeleka majeshi Commoro kuzima uasi. hayo ni malipo ya namna fulani.
Unakumbuka Rais wa visiwa vya Commoro alisha funga safari kuja Dar mara kadhaa enzi za Mkapa?
Tukae tusubiri jibu litaibuka lenyewe.

Hakuna shirika wala jumuia yeyote inayogawa Fedha duniani.

Unaarufu wa Rostamu ni kibwagizo kilichoanzishwa na viongozi wa SISIEMU ili kulipa fadhira za kupewa migao ya fedha zilizo ibiwa serikalini na kubandikwa sifa kwamba zimetoka Iran.

Pengine usione Viongozi wengine wanamsifia, pengine washa fanya naye mambo kibao ya aibu na ya kujidharirisha utu wao.

Kuna viongozi wengine wana jinsia moja hadharani lakini mafichoni wanayo jinsia nyingine.

Elewa wakiisema mvuto wana maana gani, hayo mambo hayako Marekani tu.
 
Na Chama cha wachaga siku kikipata mfadhili kama Rostam unafikiri hawatmkumbatia!na wachaga wanavyo penda pesa!!
 
Back
Top Bottom