Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

TEHE.....TEHE....TEHE......! mrembo Asha kuwa mpole bibie kutajiwavogue umekuwa mkali hivyo!!!!!!
Basi hatusemi tena mambo ya vogue & nssf hivi ni kweli mbowe kafeli?????

kuongeza size ya post sio uthibitisho wa point... inaonekana karibu utamtafuta Makamba maana naona huyu ROstam Aziz "hawatoshi kabisaaaa"

mtainama weeeeeeeeee mtainuka na kukuta mmelowa!

JF bado inapeta na habari corruption mtakoma ubishi. Kaondoka Lowaasa, anafuata Rostam... get ready!
 
KWI....KWI......KWI.....KWI....!!!!!!! Kwa hili la NSSF....&......VOGUE....!
mbowe +rostam=mafisadi
tehe.....tehe....tehe.....!!!!
 
KWI....KWI......KWI.....KWI....!!!!!!! Kwa hili la NSSF....&......VOGUE....!
mbowe +rostam=mafisadi
tehe.....tehe....tehe.....!!!!

he hehe... shauri yako ... umemsema Rostam hapa kuwa ni nani..

utaachwa wewe?!... hujui kuwa anatafuta wengine wa kuwabeba zaidi yako?

usijekuachwa baadaye ukaanza kulialia tena hapa JF kuwa umeachwa na Rostam....
 
tehe...tehe...tehe.........!!!!!
I repeat...........mbowe(vogue&nssf) & rostam(richmond)=mafisadiiii
tehe....tehe.......
NAWAKARIBISHA WATETEZI WA MAFISADI HAWA WAWILI JAMVINI!!!!
TEHE....TEHE...TEHE.....!!!!
 
tehe...tehe...tehe.........!!!!!
I repeat...........mbowe(vogue&nssf) & rostam(richmond)=mafisadiiii
tehe....tehe.......
NAWAKARIBISHA WATETEZI WA MAFISADI HAWA WAWILI JAMVINI!!!!
TEHE....TEHE...TEHE.....!!!!

kwi kwi kwi...

umeanza kukaribisha wengine tena... usiombe Rostam akusikie
 
TEHE.....TEHE....TEHE......! mrembo Asha kuwa mpole bibie kutajiwavogue umekuwa mkali hivyo!!!!!!
Basi hatusemi tena mambo ya vogue & nssf hivi ni kweli mbowe kafeli?????

Wana JF
nawashangaa mnaanza kuingia katika mtego wa wajinga hawa . Hawa wapuuzi wamekuwa wakitumia hata chaguzi kusema mambo ya Rwanda na Burundi bila ya kujua kwamba wao ndiyo chanzo kama ilivyo kuwa huko, then wamekuja Kiteto na habari za Kenya kumbe wao ndiyo waliku wa matatizo ya Kenya ambayo yanafanana na ya Zanzibar , then wanakuja kwa jina la udini nk mwisho Mwenyekiti wa Chama chao anawaipa watu serious kama Slaa na Zitto kwamba wale watani wetu . BS hakuna cha utani kenye biashara serious .Sasa nyie mnaanza kuleta utani na huyu mahesabu anachukua muda wenu wa kujadili ishuzi hapa na kuanza utani .Ignore the kid huyu ni kila kulala ana lake jambo anakuha ku poza speed yenu ya kuangalia issue za maana .

Ignore huyu dizani ya KadaMpinzani nakundi lake .
 
Wana JF
nawashangaa mnaanza kuingia katika mtego wa wajinga hawa . Hawa wapuuzi wamekuwa wakitumia hata chaguzi kusema mambo ya Rwanda na Burundi bila ya kujua kwamba wao ndiyo chanzo kama ilivyo kuwa huko, then wamekuja Kiteto na habari za Kenya kumbe wao ndiyo waliku wa matatizo ya Kenya ambayo yanafanana na ya Zanzibar , then wanakuja kwa jina la udini nk mwisho Mwenyekiti wa Chama chao anawaipa watu serious kama Slaa na Zitto kwamba wale watani wetu . BS hakuna cha utani kenye biashara serious .Sasa nyie mnaanza kuleta utani na huyu mahesabu anachukua muda wenu wa kujadili ishuzi hapa na kuanza utani .Ignore the kid huyu ni kila kulala ana lake jambo anakuha ku poza speed yenu ya kuangalia issue za maana .

Ignore huyu dizani ya KadaMpinzani nakundi lake .

Asante Murangira!

This guy is now officially ignored
 
We skip the party (funny from Mahesabu the kid) and we go straight to bufeet!

Kuna rafiki yangu mmoja alinieleza majuzi kuwa alisoma na Rostam darasa moja, Huyo rafiki yangu alikuwa kichwa darasa zima na rostam alikuwa ndiye kilaza wa darasa, walikuwa marafiki wakubwa kweli, ila walipofanya national exams, jamaa akastukia kuwa alikuja kufeli na watu waliofaulu alikuwepo rostam ambaye ni rafiki mkubwa sana, hivyo jamaa alinihakikishia kuwa rostam alianza ufisadi tangu akiwa teenage, ndiyo maana haogopi grand ufisadiz. Kazoea sana kuexploit na jamaa ni mafia hatari hivyo lazma kwenda naye kwa tahadhari....
 
We skip the party (funny from Mahesabu the kid) and we go straight to bufeet!

Kuna rafiki yangu mmoja alinieleza majuzi kuwa alisoma na Rostam darasa moja, Huyo rafiki yangu alikuwa kichwa darasa zima na rostam alikuwa ndiye kilaza wa darasa, walikuwa marafiki wakubwa kweli, ila walipofanya national exams, jamaa akastukia kuwa alikuja kufeli na watu waliofaulu alikuwepo rostam ambaye ni rafiki mkubwa sana, hivyo jamaa alinihakikishia kuwa rostam alianza ufisadi tangu akiwa teenage, ndiyo maana haogopi grand ufisadiz. Kazoea sana kuexploit na jamaa ni mafia hatari hivyo lazma kwenda naye kwa tahadhari....

Rostam kuna mengi ya kwake yatawekwa hapa karibuni...

kumnunua Balile hakutoshi, atanunua wangapi!

JF, watch for this space!
 
Wana JF
nawashangaa mnaanza kuingia katika mtego wa wajinga hawa . Hawa wapuuzi wamekuwa wakitumia hata chaguzi kusema mambo ya Rwanda na Burundi bila ya kujua kwamba wao ndiyo chanzo kama ilivyo kuwa huko, then wamekuja Kiteto na habari za Kenya kumbe wao ndiyo waliku wa matatizo ya Kenya ambayo yanafanana na ya Zanzibar , then wanakuja kwa jina la udini nk mwisho Mwenyekiti wa Chama chao anawaipa watu serious kama Slaa na Zitto kwamba wale watani wetu . BS hakuna cha utani kenye biashara serious .Sasa nyie mnaanza kuleta utani na huyu mahesabu anachukua muda wenu wa kujadili ishuzi hapa na kuanza utani .Ignore the kid huyu ni kila kulala ana lake jambo anakuha ku poza speed yenu ya kuangalia issue za maana .

Ignore huyu dizani ya KadaMpinzani nakundi lake .
Lugha hizo...
 
hili la RA LIENDE SAMBAMBA NA TUHUMA DIDI YA MBOWE!!!!!!!VOGUE la watu jamanii!!!!!
NSSF......jamani!!!!!!!!

wewe acha tu ! Na sasa ni kwamba watakapodhani wanapiga konzi sehemu fulani, binafsi nitakuwa nawafinya ! But i cant defend RA on anything regarding his business issues lakini i will do that in the political side !
 
kuongeza size ya post sio uthibitisho wa point... inaonekana karibu utamtafuta Makamba maana naona huyu ROstam Aziz "hawatoshi kabisaaaa"

mtainama weeeeeeeeee mtainuka na kukuta mmelowa!

JF bado inapeta na habari corruption mtakoma ubishi. Kaondoka Lowaasa, anafuata Rostam... get ready!

sana mwana.......!! Mbowe should get in line as well, something and i mean one thing particular will impact and determine his political career ! i cant wait ! CCM doesnt need RA, kama yeye ni fundraiser then awe kwenye chama ama asiwepo, ccm still will do ! kwani huyo RA alikuwepo miaka yooote hiyo ?? dont you ask yourself why ccm is still prevailing ?
 
Wana JF
nawashangaa mnaanza kuingia katika mtego wa wajinga hawa . Hawa wapuuzi wamekuwa wakitumia hata chaguzi kusema mambo ya Rwanda na Burundi bila ya kujua kwamba wao ndiyo chanzo kama ilivyo kuwa huko, then wamekuja Kiteto na habari za Kenya kumbe wao ndiyo waliku wa matatizo ya Kenya ambayo yanafanana na ya Zanzibar , then wanakuja kwa jina la udini nk mwisho Mwenyekiti wa Chama chao anawaipa watu serious kama Slaa na Zitto kwamba wale watani wetu . BS hakuna cha utani kenye biashara serious .Sasa nyie mnaanza kuleta utani na huyu mahesabu anachukua muda wenu wa kujadili ishuzi hapa na kuanza utani .Ignore the kid huyu ni kila kulala ana lake jambo anakuha ku poza speed yenu ya kuangalia issue za maana .

Ignore huyu dizani ya KadaMpinzani nakundi lake .

Kutukana na kuita watu majina hakusaidii !
 
sana mwana.......!! Mbowe should get in line as well, something and i mean one thing particular will impact and determine his political career ! i cant wait ! CCM doesnt need RA, kama yeye ni fundraiser then awe kwenye chama ama asiwepo, ccm still will do ! kwani huyo RA alikuwepo miaka yooote hiyo ?? dont you ask yourself why ccm is still prevailing ?

CCM wana prevail kwa wizi wa kura kwa kutumia pesa za walipa kodi na kutumia majeshi yetu kukandamiza raia kuwaweka madarakani .Kwani hili nal lahitaji shule ?
 
KADA MPINZANI,,
kunasaidia kama wewe ni mmoja wa wale wanaosupport ufisadi dunian,,na kujiandalia makaa ya moto kule jehanam........
safisha maisha yako unaweza andika kuwafurahisha watu siku ya mwisho ukaulizwa uliwapoteza watu kwa kusema hili na lile kaa kushoto subiri tanuru,,,hata kama wanatuita marehemu watarajiwa basi hata hiyo njia tuingie tukiwa safi badilika kada,
shalom
 
KADA MPINZANI,,
kunasaidia kama wewe ni mmoja wa wale wanaosupport ufisadi dunian,,na kujiandalia makaa ya moto kule jehanam........
safisha maisha yako unaweza andika kuwafurahisha watu siku ya mwisho ukaulizwa uliwapoteza watu kwa kusema hili na lile kaa kushoto subiri tanuru,,,hata kama wanatuita marehemu watarajiwa basi hata hiyo njia tuingie tukiwa safi badilika kada,
shalom

wrong seksheni !
seksheni ya dini ipo chini kabisa shalom hii ni ya siasa !
 
TEHE.....TEHE....TEHE......! mrembo Asha kuwa mpole bibie kutajiwavogue umekuwa mkali hivyo!!!!!!
Basi hatusemi tena mambo ya vogue & nssf hivi ni kweli mbowe kafeli?????

Narudia, Ukichaa sio lazima utembee uchi. Mbona mimi nina Vogue na nimekopa kwenye benki 2 hapa TZ ina maana ni FISADI!

Huu ni utoto wa Darhotwire na YoungAfrican.com. Upelekeni huko huko. hapa tunafikiria kiutu uzima!

Acheni kuzoea UMASIKINI. Vogue kitu gani bwana? watu wana Vogue na vilevile BIMA za nguvu (kama hujui BIMA ni Black Man's Wheel-BMW)na hamna issue, hapa Mbowe kwakuwa kakemea ufisadi basi taabu kwelikweli!
 
Narudia, Ukichaa sio lazima utembee uchi. Mbona mimi nina Vogue na nimekopa kwenye benki 2 hapa TZ ina maana ni FISADI!

Huu ni utoto wa Darhotwire na YoungAfrican.com. Upelekeni huko huko. hapa tunafikiria kiutu uzima!

Acheni kuzoea UMASIKINI. Vogue kitu gani bwana? watu wana Vogue na vilevile BIMA za nguvu (kama hujui BIMA ni Black Man's Wheel-BMW)na hamna issue, hapa Mbowe kwakuwa kakemea ufisadi basi taabu kwelikweli!
BIMDOGO FD! TUNAPOTAJA VOGUEHATUNAMAANA KULIMILIKI..........!HAPA TUNAMAANA JINSI ALIVYOLIPATA HILO VOGUE KWANI MWENYEWE HUKO UGHAIBUNI ANALITAFUTA...........! ARE YOUR EYES NOT OPENED........?
 
Back
Top Bottom