Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 60
.....WEWE HUJAJUA TU MWAFRIKA WA KIKE ? NENDA PALE MWAMBIE HUYO JAMAA WA RESEARCH APITE PALE ATAPATA KILA KITU LAKINI KWA KUANZIA ANZA KUANGALIA
RA ninayemuongelea mimi ni yule wa before 2005. Pesa zake ambazo nasema ni halali ni zile zilizotokana na bahati yake ya ku-secure contract na mining companies in Tanzania to supply them with production inputs. Thats what his business did and still does.
RA wa 2005 and beyond ndio namsikia humu na spin politics zake. Na ukweli unabakia pale pale kwamba kama yote yanayosemwa humu ndani ni sahihi na yana ushahidi, something has to be done kukiokoa chama.
Muhimu zaidi ni kwamba, hoja zote hizi kuhusu RA zitapigiwa kelele weee na wana forum, many members trying to present evidence na pia kulalama kwa uchungu, then the topic will die and move to something else. Kwa mwendo huu, JF cant make any difference zaidi ya kuwa alert wahusika kwamba wananchi, especially waishio nje na wenye access to mtandao wana idea of whats going on. Na itaishia hapo.
Kama tuhuma hizi ni za kweli, something has to be done in a very organised way kukiokoa chama na kama chama hakitaweza okolewa, then kuikoa nchi.
Inawezekana RA anahusika na baadhi au yote yaliyojengewa hoja humu lakini ukweli unabaki kwamba hela zake before 2005 alizipata kwa njia yake halai kabisa, hakuibia mtu.
Kuhusu link ya Karamagi, RA na wengine waliotajwa, kuna ushahidi gani? tunauomba tafadhali ili tuzidi kuelewa nini kinaendelea. Sijaona popote kwenye magazeti kuhusu RA kuwa mwizi, mla rushwa etc. Uwezekano upo ila tunaomba ushahidi. Kuna kina thisday, mwanahalisi etc na wanaweza kabisa kutuwekea bayana majambo haya.
Huyo sijui RA!
Sijui Rositamu Asisi!
Sijui Bwana Fweza wa SISIEMU!
mwisho nina swali:inakuwaje Ulimwengu auze Rai kwa huyo RA halafu akae kimya?you know now I really doubt the personal integrity of Ulimwengu...kama ni mtu msafi kwa nini hajaanzisha gazeti jingine ilim kupambana na hao mafisadi aliowauzia HCL?tafadhali waungwana nisaidieni hapo.
mwisho nina swali:inakuwaje Ulimwengu auze Rai kwa huyo RA halafu akae kimya?you know now I really doubt the personal integrity of Ulimwengu...kama ni mtu msafi kwa nini hajaanzisha gazeti jingine ilim kupambana na hao mafisadi aliowauzia HCL?tafadhali waungwana nisaidieni hapo.
Mpaka hapa hamjajua kwa nini Rostam kaamua kuvalia njuga hili swala la Zitto?
Are you sure? kwani bajeti ya kutuma txt msgs na internet ni kiasi gani?
nadhani its about time CHADEMA wakaanza kuwa active na mambo haya badala ya kukaa pembeni kulalamika
Panapress: http://www.panapress.com/freenews.asp?code=eng093363&dte=16/09/2005naanza kuhisi kuwa huyu rostam ni mtu wa hatari soma chini
Dar es Salaam, Tanzania (PANA) - Tanzania's controversial opposition leader, the Reverend Christopher Mtikila alleged Friday that ruling Chama cha Mapinduzi (CCM) presidential candidate Jakaya Kikwete had used funds from Iran to defeat his opponents at the party's recent convention.
The Chairman of the Democratic Party claimed at a press conference that the Iranian government through Tanzanian MP Rostam Aziz, had funded Kikwete's campaign for over 10 years.
The press conference was held ahead of a meeting by eight opposition parties to plan a common strategy against the CCM in Tanzania's October elections.
Mtikila alleged that the Iranian government had set aside a substantial amount to prop presidential candidates in countries where the Asian country has economic interests.
Aziz, a Tanzanian of Iranian extraction is representing Igunga constituency in Tanzania's Union Parliament on the platform of the CCM.
Mtikila did not say how much Aziz had allegedly received from the Iranian government for Kikwete's presidential campaign, but cited Tanzania's uranium deposit as possible motivation for the alleged assistance.
He said the Iranian government could not have given Aziz money for nothing: "they must be harbouring interests in Tanzania."
This is the second time that Aziz, Kikwete's campaign manager, would be accused of securing foreign funds for Kikwete's presidential campaign.
Last April, London-based journal, Africa Confidential claimed that he had been given two million US dollars by the Oman government as campaign funds for Kikwete.
Kikwete, Tanzania's Foreign Affairs and International Co-operation Minister had vowed to sue the journal over the report, but since his nomination as CCM presidential candidate in May, he has said nothing about the report.
The London journal has challenged him to go to court insisting it has overwhelming evidence to back its claims.
There was no immediate reaction to Mtikila's allegations from either Aziz or Kikwete.