Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Kada huyu jamaa kakurupuka kujibu. Hili ndio tatizo la wana siasa wenye zero exposure ya legal system. This can backfire and become a nightmare if things will unfolding.

Kama unaweza kusoma tone ya maandishi then unaweza kuona kwamba Rostam anaonyesha hajui ni nini anachoongea. Yeye peke yake anasema analipa $100 Million kwenye tax, jee Tanzania imekusanya how much in tax last year and what percentage does Rostam contributed on total tax margin?

There is no way in earth vikampuni vya rostam vikawa na net profit margin ya $400 million. What is he selling? Ni ngumu kuniconvice kwanya kuna biashara unknown inayoweza kuingiza all that profit annual. Sababu under the corparate tax code 25% in ndio $100M. Sasa you do the math.

Again hakuna hard question kutoka kwa waandishi wa habari, huyu jamaa unamuuliza maswali mazito moja kwa moja. What business are you owning? What is annual growth? How long? Can you prove it? Then the next thing unasikia amekata simu.

You cant fool all of us at the same time. Unausika na Dowans.

Huyu Rostam ni mkandarasi wa kuaminika. Amekuwa na kazi nyingi sana za kujenga mabarabara, majumba na minara ya simu.
Ndugu zangu wana JF, tatizo letu ni kwamba tulio wengi hapa tuko nje ya Tanzania kwa miaka mingi sana hivyo hatuelewi nini kinaendelea katika Tanzania zaidi ya kupata habari kwa njia ya simu ama mtandao. Lakini ule ukweli wenyewe ni kwamba Tanzania kwa sasa vitu vinakwenda kwa kasi mno na hayo mabiashara makubwa ya kuweza kupata mamilion ya madola yapo, na malipo mengi kwa sasa ni kwa dola ama kwa rate ya dola.

Kuhusu suala la Richmond yeye Rostam alisha sema toka awali kwamba hakuhusika na mpaka sasa bado anasema hakuhusika. Kama ushahidi upo wa yeye kuhusika katika hilo suala kwanini tusimpeleke mahakamani ili hatua za kisheria zichukuliwe badala ya kupiga kelele?. Nina amini kabisa wana JF ni watanzania halisi ambao wanaweza kutumia haki yao kimsingi na kikatiba katika kumpeleka Rostam mahakamani pamoja na mafisadi wengine. Lakini kelele za kila siku hapa katika bodi bila matendo husika ni sawa na kutayarisha shamba vizuri lakini hupandi mbegu.

Mtambo Juma Mtambo (Jitu la mahasira)
 
Huyu Rostam ni mkandarasi wa kuaminika. Amekuwa na kazi nyingi sana za kujenga mabarabara, majumba na minara ya simu.
Ndugu zangu wana JF, tatizo letu ni kwamba tulio wengi hapa tuko nje ya Tanzania kwa miaka mingi sana hivyo hatuelewi nini kinaendelea katika Tanzania zaidi ya kupata habari kwa njia ya simu ama mtandao. Lakini ule ukweli wenyewe ni kwamba Tanzania kwa sasa vitu vinakwenda kwa kasi mno na hayo mabiashara makubwa ya kuweza kupata mamilion ya madola yapo, na malipo mengi kwa sasa ni kwa dola ama kwa rate ya dola.

Kuhusu suala la Richmond yeye Rostam alisha sema toka awali kwamba hakuhusika na mpaka sasa bado anasema hakuhusika. Kama ushahidi upo wa yeye kuhusika katika hilo suala kwanini tusimpeleke mahakamani ili hatua za kisheria zichukuliwe badala ya kupiga kelele?. Nina amini kabisa wana JF ni watanzania halisi ambao wanaweza kutumia haki yao kimsingi na kikatiba katika kumpeleka Rostam mahakamani pamoja na mafisadi wengine. Lakini kelele za kila siku hapa katika bodi bila matendo husika ni sawa na kutayarisha shamba vizuri lakini hupandi mbegu.

Mtambo Juma Mtambo (Jitu la mahasira)

Kama bank kuu yetu sehemu ambapo pesa zinachapishwa wana Net working ya dolla 600,000 na sio Million. Huyo rostam azizi peke yake anaweza kuwa na biashara inayotengeneza dolla Million 400 kwa mwaka? Does that story make sense in your ears?

Kampuni yenye Net profit margin ya Million $400 kwa mwaka si kampuni ya kuchezea, labda unazungumzia kampuni ambayo mauzo yake ni karibu na billion, believe me hata Vodacom hawana hiyo profit margin ya aina hiyo. That is alot of profit. Rostam ana capital ya shilling ngapi ambayo inaweza kuproduce that amount of return? Jee asset zake zinaworth Billion dollar?

Hizi story za kijiweni jamani msizilete Jambo, maana hapa watu wanadeep in kabla ya kuamua. There is no realistic on that story.Unajua haya mambo ya biashara inategemea unampa adisi hizo nani. kama unampa muandishi wa TSJ then unaweza kumshika, lakini kama unampa muandishi anaye fanya homework yake, then huwezi kumsumbua hata dakika.
 
Kuna kodi za aina nyingi Tanzania:

Corporate taz 30%,VAT 20%Custom na excice duties etc etc may be kwa ujumla wake huyo Rosyam makampuni yake hulipa kodi zote hufikia hizo!
Au huenda amekurupuka tu na figure hizo!
 
Mtanganyika,
Hands down umemaliza! I couldn't agree with you more! Hapo alikurupuka, sasa je yuko tayari kuthibitisha mapato yake au...?
 
Kuhusu waandishi wetu kutokuuliza maswali ya msingi, nadhani wakati mwingine huenda tunawaonea tu, si ajabu wao wanauliza maswali yanayotakiwa lakini habari kabla ya kuchapishwa mhariri anayaengua yale anayoona ni "mazito" na ambayo yanamharibia "mlo" wake, matokeo yake tunaishia kuwalaumu waandishi au kuwaona vilaza, wakati si ajabu tatizo haliko upande wao.
 

Mi ningemuuliza tu kuwa hizi siasa za Tanzania kuanza kutumika "vibaya" yeye kaanza kuziona au kagundua lini?Je mwaka 2005 wakati yeye akiwaongoza kina Kikwete na fisadi Lowassa kuwamaliza kina Salim,Sumaye,etc,siasa hapo zilitumikaje?As to his claims of paying taxes,that's simply paranoid,naona jamaa anaelekea mwisho sasa...kwani definitely that which has the beginning must have an end,as to what kind of an end only your destiny will determine.Rostam kaa na tulia tu mwisho wako ndo ushafika hivyo.
 
Huyu Rostam ni mkandarasi wa kuaminika. Amekuwa na kazi nyingi sana za kujenga mabarabara, majumba na minara ya simu.
Ndugu zangu wana JF, tatizo letu ni kwamba tulio wengi hapa tuko nje ya Tanzania kwa miaka mingi sana hivyo hatuelewi nini kinaendelea katika Tanzania zaidi ya kupata habari kwa njia ya simu ama mtandao. Lakini ule ukweli wenyewe ni kwamba Tanzania kwa sasa vitu vinakwenda kwa kasi mno na hayo mabiashara makubwa ya kuweza kupata mamilion ya madola yapo, na malipo mengi kwa sasa ni kwa dola ama kwa rate ya dola.

Kuhusu suala la Richmond yeye Rostam alisha sema toka awali kwamba hakuhusika na mpaka sasa bado anasema hakuhusika. Kama ushahidi upo wa yeye kuhusika katika hilo suala kwanini tusimpeleke mahakamani ili hatua za kisheria zichukuliwe badala ya kupiga kelele?. Nina amini kabisa wana JF ni watanzania halisi ambao wanaweza kutumia haki yao kimsingi na kikatiba katika kumpeleka Rostam mahakamani pamoja na mafisadi wengine. Lakini kelele za kila siku hapa katika bodi bila matendo husika ni sawa na kutayarisha shamba vizuri lakini hupandi mbegu.

Mtambo Juma Mtambo (Jitu la mahasira)

Mtambo i bet you are better than that!! Hivi unajua katika kampuni zote TZ Kampuni Ya Sigara Tz ndio inaongoza kwa kulipa KODI hadi 2007? Huyo Rostam hela zake hizo zinaenda wapi???

Hakuna anaepiga kelele hapa kama wewe unapiga kelele endelea kupiga kelele!
 
Huyu Rostam ni mkandarasi wa kuaminika. Amekuwa na kazi nyingi sana za kujenga mabarabara, majumba na minara ya simu.
Ndugu zangu wana JF, tatizo letu ni kwamba tulio wengi hapa tuko nje ya Tanzania kwa miaka mingi sana hivyo hatuelewi nini kinaendelea katika Tanzania zaidi ya kupata habari kwa njia ya simu ama mtandao. Lakini ule ukweli wenyewe ni kwamba Tanzania kwa sasa vitu vinakwenda kwa kasi mno na hayo mabiashara makubwa ya kuweza kupata mamilion ya madola yapo, na malipo mengi kwa sasa ni kwa dola ama kwa rate ya dola.

Kuhusu suala la Richmond yeye Rostam alisha sema toka awali kwamba hakuhusika na mpaka sasa bado anasema hakuhusika. Kama ushahidi upo wa yeye kuhusika katika hilo suala kwanini tusimpeleke mahakamani ili hatua za kisheria zichukuliwe badala ya kupiga kelele?. Nina amini kabisa wana JF ni watanzania halisi ambao wanaweza kutumia haki yao kimsingi na kikatiba katika kumpeleka Rostam mahakamani pamoja na mafisadi wengine. Lakini kelele za kila siku hapa katika bodi bila matendo husika ni sawa na kutayarisha shamba vizuri lakini hupandi mbegu.

Mtambo Juma Mtambo (Jitu la mahasira)

Lol..so how much of the 100billion is yours??..wewe sio mzalendo kabisaaa..eti mahakamani..kama serikali yako unayo itetea imeshindwa kupeleka wezi wa EPA mahakamani ndo sisi tuweze??Sisi tutakaa hapa na kusema ambayo wewe unaogopa kusema!! Ndugu zako wanasota kijijini kwenu (elimu duni,hakuna kazi, hakuna maendeleo), umeme sasa hivi utakatika hapo kwako!! (kataaa kama unaweza??) and here you are defending people like Rostam....pole sana..
 
Written by Mwananchi
Tuesday, 25 March 2008
Kuhusu uhusiano wake na Kampuni ya Richmond, alisema siasa za Tanzania zinatumika vibaya. Alisema yeye anafanya biashara ya ukandarasi, amejenga miradi mingi hapa nchini, lakini huo wa Richmond asiokuwa na uhusiano nao hata kidogo ndiyo unaochukuliwa kama kashfa dhidi yake.

Kama nilivyosema mwanzo naendelea kusema kuwa sihusiki na Richmond. Na bado nasema ungekuwa mradi wangu nisingeshindwa kuujenga kwa mwaka kampuni zangu zinalipa kodi serikalini zaidi ya Sh bilioni 100. Kwa maana hiyo kodi tu ninayolipa ndani ya miezi 12 ingetosha kabisa kuutekeleza mradi wa Richmond, alisema na kisha akaongeza:

Siasa ni mchezo wa ajabu sana. Richmond ambayo sihusiki wananibambikia kwamba ni kampuni yangu, lakini mradi wanaousifia sana kwenye Ripoti ya Kamati ya Mwakyembe wa Watsila Ubungo, nimeujenga mimi mwaka huu upo next to (karibu na) Dowans, ambapo pia niliomba kazi lakini sikupata. Huo wa Watsila ambao wanausifu hawanihusishi nao.

Alimshukuru Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge iliyoteuliwa na Spika Samuel Sitta kuangalia taratibu za zabuni ya kupata kampuni ya kuzalisha umeme wa dharura ya Richmond, Harrison Mwakyembe wakati akifanya majumuisho bungeni hakumhusisha Rostam na umiliki wa Richmond.

Mwakyembe alisema bayana kuwa Richmond si yangu, lakini wapi bwana, bado watu wanaendelea tu. Huu ni mchezo wa kisiasa tu, alisisitiza Rostam.

Kuhusu wazo la Rais Jakaya Kikwete la kutenganisha biashara na siasa, Rostam alisema yeye anakubaliana na wazo hilo, kwasababu katika nchi nyingi za dunia ya tatu mifumo haijakomaa kutenganisha biashara na siasa hivyo dawa pekee ni hiyo aliyokuja nayo Mheshimiwa Kikwete.

Alisema wapo baadhi ya watu wanaoingia kwenye siasa kwa nia ya kujiongezea pato au kuboresha biashara zao, badala ya kutumikia wananchi.

Sina tatizo na mwelekeo wa rais katika hilo. Kuna dhana nyingi hapa, nyingine sahihi na nyingine si kweli. Wapo wanaoingia kwenye siasa kufanya biashara, na wengine ni wafanyabiashara lakini wanaingia kwenye siasa kwa mapenzi yao ya siasa au kutumikia wananchi au vyote viwili.

Rostam alisema wafanyabiashara wote ni wajanja, na hakuna mfanyabiashara unayeweza kumfuatilia ukamkosa. Awe Rostam, Mengi, Mbowe au Bakhresa, utakuta vitu vinavyoonekana ni kashfa katika siasa, kumbe ni ujanja wa biashara. Katika siasa vitu hivi vinatumika kuvuruga mtazamo wa watu.

Angalia suala la (Freeman) Mbowe (la kukopa NSSF na hatimaye kuingia mgogoro nao hadi kufikishana mahakamani). Kibiashara ni kitu cha kawaida. Ndiyo ujanja wa biashara, lakini unapokuwa kiongozi hasa anayetafuta urais kama Mbowe, kisiasa inakuwa ni kashfa,� alisema Rostam.

Hata hivyo, alisisitiza kuwa ni muhimu kutenganisha biashara na siasa, kwani baadhi ya wafanyabiashara si waaminifu na matatizo haya ndiyo yamelifikisha pabaya taifa la Kenya.

Matatizo ya Kenya pamoja na ukabila hili la biashara limechangia sana. Wanasiasa wengi wao Kenya, wanatafuta madaraka kuneemesha biashara zao� Rais yuko sahihi. Hili lisiposhughulikiwa linaweza kuleta madhara

Baadaye, alisema Rostam.

Alisema hashangai kwa nini yeye aandamwe kwani anajua yapo makundi matatu yanayomwandama muda wote. Aliyataja makundi hayo kuwa ni wafuasi wa vyama vya upinzani ambao yeye ni mwiba nambari moja kwao, kundi la walioumizana ndani ya CCM wakati wa mchakato wa urais na siasa za walikotoka mikoani na wengine ni kundi la wanasiasa wenye hulka ya wivu.



Rostam alikuwa akihojiwa na gazeti hili kutokana na tuhuma mbalimbali zinazoelekezwa kwake siku za karibuni.

Huyu fisadi alipotumia siasa kujitajirisha yeye na mafisadi wenzie hakuona kama siasa zinatumika vibaya. Wameamua kumuanika kwa ufisadi wake, sasa analalama!
 
Mhe. RA unategemea tukuamini? If not Richmond, then EPA?
 
ROSTAM WEWE NDIO UATUMIA SIASA HIZO VIBAYA, unazitumia kutuibia, una-abuse siasa za Tanzania. Umetumia ujanja mzuri kuwalaumu wengine!
 

Mi ningemuuliza tu kuwa hizi siasa za Tanzania kuanza kutumika "vibaya" yeye kaanza kuziona au kagundua lini?Je mwaka 2005 wakati yeye akiwaongoza kina Kikwete na fisadi Lowassa kuwamaliza kina Salim,Sumaye,etc,siasa hapo zilitumikaje?As to his claims of paying taxes,that's simply paranoid,naona jamaa anaelekea mwisho sasa...kwani definitely that which has the beginning must have an end,as to what kind of an end only your destiny will determine.Rostam kaa na tulia tu mwisho wako ndo ushafika hivyo.

Ibambasi hili ni swali gumu sana!

Kampeni ya kuchafua watu iliongozwa na Membe na Lowasa, kisha Rostam akatumia vyombo vyake vya habari - magazeti ya Mtanzania, Rai na mengineyo kuwachafua wana ccm kuanzia Malecela, Sumaye na kikubwa zaidi kumchafua Dr Salim ambaye alionekana kuwa ni tishio kwenye uteuzi wa Kikwete!

The guy amevuruga watu wengi sana kisiasa ndani na nje ya ccm. Huu mchezo ameucheza sana na kisha kutumia nafasi yake ccm kuiba mabilioni ya pesa za watanzania (kumbuka Kagoda imeachwa kabisa na Kikwete).

Leo anaanza kulia baada ya kuona kuwa JF haongwi mtu na kuna watu kwenye magazeti kama Thisday wamekataa kabisa kununuliwa na pesa zake za wizi.

Rostam Azizi tulia tuli kabisa.... kesi yako ya wizi ikiisha jua kuwa tunapanga kuchunguza uraia wako... maana report zote zaonesha jamaa hakuzaliwa Tanzania na alipata uraia kwa udanganyifu. Hata ukijaribu kufoji hapa jua tu siku yoyote Pal wako Kikwete akitoka madarakani mimi nitakuandamana hadi nikuone ukiwa Keko kwa wizi na kujipatia uraia wa Tanzania kwa udanganyifu!
 
Habari zinazoifikia intelligence unit hapa zinasema kuwa uraia wa Rostam Azizi una utata na kuna uwezekano amefoji kupata uraia wa Tanzania. Intelligence report zinaonyesha kuwa hakuna report za kuthibitisha na kuonyesha Rostam Azizi alizaliwa wapi na lini hapo Tanzania kama wengi wanavyodai.

Intelligence report zinaonyesha pia kuwa kuna utata wa namna Rostam Azizi alivyojipatia passport na uraia wa Tanzania. Habari zingine zinaonyesha kuwa documents alizotumia ni za kufoji na kuwa kuna utata sana hata kwenye tarehe inayotumika kwenye file lake kuwa ni yake ya kuzaliwa.

Hii habari bado ni moto na Mwafrika wa kike anatoa wito kwa serikali ya Kikwete - hasa waziri wa mambo ya ndani - kufuatilia suala la uraia wa Rostam Azizi. Huu ni mwanzo wa habari za uchunguzi ambazo zitatolewa kwenye magazeti huru ya Tanzania in the next two weeks.

Wale watetezi wa Rostam Hapa jamvini kina Zephania Anjela kwa sasa mnaweza kuthibitisha uraia wa Rostam Azizi wakati uchunguzi rasmi ukisubiriwa.
 


Hii habari bado ni moto na Mwafrika wa kike anatoa wito kwa serikali ya Kikwete - hasa waziri wa mambo ya ndani - kufuatilia suala la uraia wa Rostam Azizi. .

Una maana MASHA amchunguze ROSTAM? yangu macho ingawa nakuhakikishia huko ulipo kuwa hilo ni moja ya maswala nyeti yanayoenda kuibuka BUTIAMA labda "busara" za JK zichukue mkondo wake.........

Tanzanianjema
 
Una maana MASHA amchunguze ROSTAM? yangu macho ingawa nakuhakikishia huko ulipo kuwa hilo ni moja ya maswala nyeti yanayoenda kuibuka BUTIAMA labda "busara" za JK zichukue mkondo wake.........

Tanzanianjema

Tanzania njema,

Hii habari hata inatokea huko huko Butiama na nina imani kuwa Kikwete atatumia "busara zake" kufanya the right thing hapa!
 
Ibambasi hili ni swali gumu sana!

Kampeni ya kuchafua watu iliongozwa na Membe na Lowasa, kisha Rostam akatumia vyombo vyake vya habari - magazeti ya Mtanzania, Rai na mengineyo kuwachafua wana ccm kuanzia Malecela, Sumaye na kikubwa zaidi kumchafua Dr Salim ambaye alionekana kuwa ni tishio kwenye uteuzi wa Kikwete!

The guy amevuruga watu wengi sana kisiasa ndani na nje ya ccm. Huu mchezo ameucheza sana na kisha kutumia nafasi yake ccm kuiba mabilioni ya pesa za watanzania (kumbuka Kagoda imeachwa kabisa na Kikwete).

Leo anaanza kulia baada ya kuona kuwa JF haongwi mtu na kuna watu kwenye magazeti kama Thisday wamekataa kabisa kununuliwa na pesa zake za wizi.

Rostam Azizi tulia tuli kabisa.... kesi yako ya wizi ikiisha jua kuwa tunapanga kuchunguza uraia wako... maana report zote zaonesha jamaa hakuzaliwa Tanzania na alipata uraia kwa udanganyifu. Hata ukijaribu kufoji hapa jua tu siku yoyote Pal wako Kikwete akitoka madarakani mimi nitakuandamana hadi nikuone ukiwa Keko kwa wizi na kujipatia uraia wa Tanzania kwa udanganyifu!

You said it my sister,
nadhani jamaa anaanza kupre-empty destiny yake na matokeo ya mkutano wa Butiama,kwamba likimfika la kumpata aanze kulalama kuwa siasa zinatumika kumbagua/kumchafua.Huyu bwana ni mwizi asiye na aibu na sijui tu ni kwa nini kikwete anamuacha mtu machafu sana kama huyu anayeigawa nchi kwa ulafi wake wa fedha chafu.Au ndo ule msemo "Show me your friends and I will tell you who you are",is Rostam a replica of Kikwete's inner being?

Mpuuzi sana huyu mwizi wa kiirani!!
 
Asili Yake Ni Iran - - Ana Ndugu Zake Wa Karibu Pale Mtaa Wa Jamhuri Akina Razi And So On Ndio Maana Hata Kampuni Yake Inaitwa Caspian ( Angalia Mitambo Ya Umeme Pale Ubungo Imejengwa Na Caspian )kuna Uhusiani Na Caspian Sea Ama ???

Mwafrika Wa Kike Nafikiri Unataka Kutupotosha Mambo Mengi Kuhusu Rostam Aziz Na Watu Wengine Ambao Umeendelea Kuwataja Sasa Hivi

Mbona Maswali Kuhusu Rostam Aziz Unauliza Sasa Hivi Usingeuliza Na Kuchunguza Toka Mwanzo Kwa Sababu Yeye Ni Asili Ya Persia Mweupe ? Huu Ni Ubaguzi Wa Rangi Kwa Hakika Na Kwa Kweli Kwa Mwanaharakani Kama Wewe Na Kwa Heshima Uliyonayo Sidhani Kama Inaleta Maana Yoyote Ile Kuanza Kuuliza Vitu Hivyo -- Niseme Ukweli Inatia Mashaka Uwezo Wako Wa Mambo Mengine Zaidi .

Kama Unauliza Uraia Wa Rostam Aziz Kwa Sababu Tu Ana Asili Ya Persia Basi Kuna Kabila La Wairaq Kule Arusha Wana Asili Ya Persia Na Sehemu Zengine Za Usomali

Kuna Wachaga Moshi Pale Wana Asili Ya Kenya Kwa Baadhi Ya Mambo Yao Hawa Nao Sasa Tutawauliza Asili Zao Wakija Katika Kugombea Uongozi Au Kitu Chochote Kile .

Tunapokosa Hoja Tusilete Vihoja Ni Aibu Na Fedheha Kwa Jambo Forum Na Wanachama Wake Wote , Mods Tunaomba Mada Na Hoja Zozote Zenye Hisia Za Kibaguzi Kama Hizi Au Zinazochochea Ubaguzi Zifutwe Au Zikaguliwe Kabla Ya Kuingizwa Jukwaani

Hii Itasaidia Kuweka Jukwaa Huru Na La Kizalendo Zaidi Hatutaki Kuonekana Jamboforum Ni La Kabisa Au Dhehebu Fulani Au Kikundi Fulani Cha Watu Ahsante
 
Sakata la Richmond: Rostam mambo magumu

2008-03-17 19:09:42


Mambo ndiyo yanayosemwa hayo. Mwafrika wa kike upo? Je uraia wa mwanahabari wa Ikulu Salva rweyemamu nao ni tata, Je JK amezungukwa na wa kuja? Au anawakumbatia zaidi wageni?

NIMEKUTANA NA BWANA MTIKILA JIONI HII PALE HAIDERLY PLAZA KATIKA MGAHAWA WA KAHAWA KUONGEA NAE MACHACHE KUHUSU KAULI ZAKE HIZI KWA HAKIKA ANAONEKANA ANATUMIWA NA BAADHI YA WATU KUZUSHA MAMBO

NI VIZURI BWANA MTIKILA ATOE UDHIBITISHO WA HIVYO VYETI VYA URAIA WA ROSTAM AU AINA NYINGINE YOYOTE YA UDHIBITISHO KWAMBA KWELI YEYE SIO RAIA

WATANZANIA TUMECHOKA NA KAULI TATA AMBAZO HAZINA UKWELI NA ZINAZOKUJA WAKATI WATU WAKO BUSY KUJIPANGA NA MAMBO MENGINE TUNATAKA WANASIASA AMBAO NI WAZALENDO NA WASEMA UKWELI .

MTIKILA TUNAOMBA UTULETEE UDHIBITISHO WA KARATASI ZA URAIA WA ROSTAM AZIZ NAAMINI UTAKUWA NAZO AU UNAJUA ZILIPO
 
Asili Yake Ni Iran - - Ana Ndugu Zake Wa Karibu Pale Mtaa Wa Jamhuri Akina Razi And So On Ndio Maana Hata Kampuni Yake Inaitwa Caspian ( Angalia Mitambo Ya Umeme Pale Ubungo Imejengwa Na Caspian )kuna Uhusiani Na Caspian Sea Ama ???

Mwafrika Wa Kike Nafikiri Unataka Kutupotosha Mambo Mengi Kuhusu Rostam Aziz Na Watu Wengine Ambao Umeendelea Kuwataja Sasa Hivi

Mbona Maswali Kuhusu Rostam Aziz Unauliza Sasa Hivi Usingeuliza Na Kuchunguza Toka Mwanzo Kwa Sababu Yeye Ni Asili Ya Persia Mweupe ? Huu Ni Ubaguzi Wa Rangi Kwa Hakika Na Kwa Kweli Kwa Mwanaharakani Kama Wewe Na Kwa Heshima Uliyonayo Sidhani Kama Inaleta Maana Yoyote Ile Kuanza Kuuliza Vitu Hivyo -- Niseme Ukweli Inatia Mashaka Uwezo Wako Wa Mambo Mengine Zaidi .

Kama Unauliza Uraia Wa Rostam Aziz Kwa Sababu Tu Ana Asili Ya Persia Basi Kuna Kabila La Wairaq Kule Arusha Wana Asili Ya Persia Na Sehemu Zengine Za Usomali

Kuna Wachaga Moshi Pale Wana Asili Ya Kenya Kwa Baadhi Ya Mambo Yao Hawa Nao Sasa Tutawauliza Asili Zao Wakija Katika Kugombea Uongozi Au Kitu Chochote Kile .

Tunapokosa Hoja Tusilete Vihoja Ni Aibu Na Fedheha Kwa Jambo Forum Na Wanachama Wake Wote , Mods Tunaomba Mada Na Hoja Zozote Zenye Hisia Za Kibaguzi Kama Hizi Au Zinazochochea Ubaguzi Zifutwe Au Zikaguliwe Kabla Ya Kuingizwa Jukwaani

Hii Itasaidia Kuweka Jukwaa Huru Na La Kizalendo Zaidi Hatutaki Kuonekana Jamboforum Ni La Kabisa Au Dhehebu Fulani Au Kikundi Fulani Cha Watu Ahsante

Shy,

Swali rahisi tu kwako,

je unajua kwa hakika Rostam Azizi alizaliwa wapi hapo Tanzania?
Unaweza kutaja jina la hospitali au kwa kungwi ambako Rostam Azizi alizaliwa? Je unaweza kwa hakika kutaja tarehe yake ya kuzaliwa?

Haya ni maswali muhimu sana na hayana ubaguzi hata kidogo. Hili ni swali ambalo mtu yeyote anaweza kuulizwa hapo Tanzania anytime
 
NIMEKUTANA NA BWANA MTIKILA JIONI HII PALE HAIDERLY PLAZA KATIKA MGAHAWA WA KAHAWA KUONGEA NAE MACHACHE KUHUSU KAULI ZAKE HIZI KWA HAKIKA ANAONEKANA ANATUMIWA NA BAADHI YA WATU KUZUSHA MAMBO

NI VIZURI BWANA MTIKILA ATOE UDHIBITISHO WA HIVYO VYETI VYA URAIA WA ROSTAM AU AINA NYINGINE YOYOTE YA UDHIBITISHO KWAMBA KWELI YEYE SIO RAIA

WATANZANIA TUMECHOKA NA KAULI TATA AMBAZO HAZINA UKWELI NA ZINAZOKUJA WAKATI WATU WAKO BUSY KUJIPANGA NA MAMBO MENGINE TUNATAKA WANASIASA AMBAO NI WAZALENDO NA WASEMA UKWELI .

MTIKILA TUNAOMBA UTULETEE UDHIBITISHO WA KARATASI ZA URAIA WA ROSTAM AZIZ NAAMINI UTAKUWA NAZO AU UNAJUA ZILIPO

nina hofu kwamba atasema alisikia toka kwa mtu fulani !Na hapo ndipo cred. yake itakapokuwa kwenye free fall. lakini hili suala la kusema kila mtu achunguzwe asilia yake, nadhani raia kamili "tutabaki" wachache !
 
Back
Top Bottom