Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Guys, nimewasoma na inaelekea wote tunakubaliana kuwa lazima tuendelee kuwaibua na kuwabana kiuhakika hawa mafisadi. Sasa, leteni 'action points' basi- tumfanze nini huyu Rostam? Ninaimani action(s) ndo zitaendelea kututoa watanzania hapa tulipo from kuwa walalamikaji kuelekea kuwa watu tunaofuatilia na kulinda maslahi ya Taifa letu kwa vitendo na kuwawajibisha wahusika. Kitu kingine ni kuwa ni vizuri wakati Rostam na mafisadi wenzake wakipitia humu JF waone tusivyopenda wizi wao usio na aibu, ila pia waone mikakati yetu thabiti ya kuhakikisha wanawajibishwa.. kunanadeki!!

Binti haki,

dawa ya Rostam Azizi iko jikoni,

mambo yote ni taratibu tu na yataanza na hii case yake ya utata wa uraia wake, kila kitu kitawekwa hadharani namna huyu bwana alivyomdanganyifu kwenye mambo yote anayofanya Tanzania.

Kuna uwezekano mkubwa sana amedanganya kuhusu alikozaliwa na kwenye application yake ya "passport" ya Tanzania. Nilimwambia hili week chache zilizopita kuwa baada ya lowasa ni yeye ndiye anafuata.... tik tak tik tak tik tak.......
 
Wewe Bibie una maneno sana wewe, yaaani Shy whaaat?

Yes Mkulu FMES,

Shy ni bonge la snitch... angekuwa marekani angehama hood kwa alichokifanya. Siku wana JF wamekamatwa na polisi yeye akaja hapa kujaza forum na story zake za uongo kuwa na yeye ametishiwa kukamatwa na blah blah blah nyingi ili kupoteza watu mwelekeo.

vijana wadogo tu wanakamatwa na polisi na kuhojiwa zaidi ya masaa 20 kumbe shy naye kashirikiana na polisi kuwakamata.

Snitch mkubwa tena ukome kabisa kurudia ulichofanya...... kwani ulipata faida gani sasa walipokamatwa snitch mkubwa!
 
nashindwa kuinsert image hata baada ya kufata maagizo, sijui nakosea wapi
 
UNAVYOSEMA RIPOTI ZA KIJASUSI INA MAANA WEWE NI JASUSI AU MSEMAJI WA MAJASUSI WANAOSHUGULIKIA SUALA HILO / DADA / MAMA /BIBI YANGU UWE MAKINI SANA NA MATAMKO YAKO USIONE WATU WANAKUPA THANKS UKAPANDA KICHWA HAYA MAMBO UNAYOYASEMA NI HATARI SANA USIJIAMINI SANA KUONGEA VITU AMBAVYO HUNA UHAKIKA NA SIO SIZE YAKO

Shy nimekuambia usinitishe hapa na maneno yako na usnitch wako hapa. Tena kaa mbali kabisa na mimi kwa sababu hunijui na tena ukome kushirikiana na polisi kuwafuatafuata wana JF. Kwa taarifa yako, hao watu ulioshirikiana nao ndio wamekugeuka na kukusema baada ya kuona vitendo vyako havifai.

Snitch mkubwa tena stay away from me kwani ...... acha tu!
Grrrrrrrrrrrrrrrrrr
 
Guys, nimewasoma na inaelekea wote tunakubaliana kuwa lazima tuendelee kuwaibua na kuwabana kiuhakika hawa mafisadi. Sasa, leteni 'action points' basi- tumfanze nini huyu Rostam? Ninaimani action(s) ndo zitaendelea kututoa watanzania hapa tulipo from kuwa walalamikaji kuelekea kuwa watu tunaofuatilia na kulinda maslahi ya Taifa letu kwa vitendo na kuwawajibisha wahusika. Kitu kingine ni kuwa ni vizuri wakati Rostam na mafisadi wenzake wakipitia humu JF waone tusivyopenda wizi wao usio na aibu, ila pia waone mikakati yetu thabiti ya kuhakikisha wanawajibishwa.. kunanadeki!!

Binti haki,

Mimi nikisoma habari kama hizi...huwa napata hasira zile za kikwetu! lakini naona action point ni moja tu, huyu Rostam inabidi ashughulikiwe - "The Sopranos" style!
 
Binti haki,

dawa ya Rostam Azizi iko jikoni,

mambo yote ni taratibu tu na yataanza na hii case yake ya utata wa uraia wake, kila kitu kitawekwa hadharani namna huyu bwana alivyomdanganyifu kwenye mambo yote anayofanya Tanzania.

Kuna uwezekano mkubwa sana amedanganya kuhusu alikozaliwa na kwenye application yake ya "passport" ya Tanzania. Nilimwambia hili week chache zilizopita kuwa baada ya lowasa ni yeye ndiye anafuata.... tik tak tik tak tik tak.......

MWK nimekupata ila nahofia sana system za nchii hii hakawii kuwaonyesha chetichake kazaliwa OCEAN ROAD HOSPT na kina muhuri na kila kitu, ndo hawa hawa wanao hold pasprot zaidi ya moja na zanchi mbali mbali
 
mwaka huu huyu bwana kama hajapata kisukari!!!!!!!!!!!.........sijui anyway ngoja tusubili tuone inakuaje?
 
Sasa naelewa kwa nini mbunge wa CCM alisema anaomba kufa mapema kuliko kuona kule Tanzania inapopelekwa.
 
Ufisadi na uongo unaenda pamoja Rostam anasema watu wasihusishe biashara na siasa yeye anafanya hivyo, alinunua magazeti yalokuwa na msimamo wa kukosoa mambo yanayofanyika nchini na kuyatumia hayo hayo magazeti kuchafua wengine majina - alifanya hivyo kwa malengo gani kama si siasa.Hakujali kama biashara hiyo itamlipa au la - alilojua ni kuwa ilimradi anatumia silaha hiyo kujitakasa atafanikiwa kwenye mipango yake - TUNAMWAMBIA hiyo haisaidii kitu ameshashtukiziwa na WTZ tunamuhesabu ni FISADI mkubwa na kujisafisha kwake ni bure.
 
Jamani Si Mnaona Maana Nilishawahi Kuandika Tena Na Tena Hapa,ya Kuwa Hawa Wahindi Wanawafanya Watanzania Kitu Kibaya Sana, Maana Ktk Kila Skendo Ya Wizi Wa Fedha Za Watanzania Ni Lazima Utawakuta Wako Mstari Wa Mbele. Na Niliwahi Kusema Kuwa Hawa Wamekuwa Mstari Wa Mbele Kuwashawishi Viongozi Wetu Mbumbumbu Waibe Lakini Cha Ajabu Alitokea Mla Rushwa Mmoja Ktk Hii Jf Ati Akasema Mimi Ni Mbaguzi Haya Sasa Oneni! Na Bado
 
Na Hii Skendo Naona Kada Mpinzani Hajaisoma Maana Najua Angeanza Kumwaga Utumbo Wake Humu Wa Kuwatetea Hawa Wezi Eti Yeye Anajifanya Ni Mwendawazimu Ya Kuwa Mwizi Anayemjua Yeye Ni Mbowe Tu.ila Naomba Tu Kumkumbusha Kisicho Riziki Hakili Na Hiyo Njaa Yake Itamuua
 
Kusema ni haki ya kila mtu lakini ni vyema kusema lile lililo na uhakika.
Serikali haijashindwa kuwapeleka waliolipwa pesa za EPA na hawa huwezi kuwaita WEZI WA PESA ZA EPA kwani hakuvunja makufuri ya BOT bali walilipwa kwa makubaliano ya kibiashara na BOT. Kwa sasa suala hilo linashughulikiwa na vyombo husika vya sheria.

Tatizo kubwa hapa ni jaziba ya upotevu wa hayo mabilioni, lakini jaziba haitusaidii ndugu zangu, kwanini tusisubiri mpaka miezi sita tuone tume ya Raisi inafanya nini?.

Ingekuwa enzi ya Mwl Nyerere sijui hata kama mngeweza kuandika na kupiga kelele kama hizi. Kikwete pamoja na kuwapa demokrasia yote hii na kuweka mambo wazi lakini bado vijana hamtaki kuridhika bali ni kuendeleza matusi na kejeli. BOT iliungua moto kipindi cha nyuma ama wakati wa Nyerere mbona hakuna aliohoji kwamba ni kiasi gani cha pesa kilipotea na nini kilikuwa chanzo cha moto huo?.



Mtambo Juma Mtambo (Jitu la mahasira)

Aaaaaw im so convinced now thank you!! Ni kweli Bot ni jazba za upinzani na kikwete anafanya kazi nzuri sana!!
NOW U KNW HOW U SOUND!! (Eish kwa kweli i need to talk to people like you often...kukaa na intellectuals too long makes me loose track of what kind of people actually support CCM (THERE I SAID IT) Hope umejitayarisha na mgao!!
 
Jamani Si Mnaona Maana Nilishawahi Kuandika Tena Na Tena Hapa,ya Kuwa Hawa Wahindi Wanawafanya Watanzania Kitu Kibaya Sana, Maana Ktk Kila Skendo Ya Wizi Wa Fedha Za Watanzania Ni Lazima Utawakuta Wako Mstari Wa Mbele. Na Niliwahi Kusema Kuwa Hawa Wamekuwa Mstari Wa Mbele Kuwashawishi Viongozi Wetu Mbumbumbu Waibe Lakini Cha Ajabu Alitokea Mla Rushwa Mmoja Ktk Hii Jf Ati Akasema Mimi Ni Mbaguzi Haya Sasa Oneni! Na Bado

Kwanza wanajua wazi kuwa sisi tunajipendekeza kwao.Pili wanajua kuwa viongozi wetu hawana akili na ndo maana hawaogopi kuwatumia ili kuibia nyumba yao. Tatu wanatudharau kupita kiasi na ndo maana hawataki watoto wao waolewe na mwafrica.
Hapa nawakumbuka watu wawili amabao naamini hawakufanya makosa kuhusu hawa Wahindi.Mtu wa kwanza IDD AMIN,huyu pamoja na makosa aliyofanya siwezi kataa kuwa alitambua tabia ya wahindi. Mtu wa pili ni Mtikila. Alipotuambia ukweli tulimwona mbaguzi, lakini ukweli ni kuwa watu wa kwanza wasiofanya biashara halali si wazawa asilia ni Wahindi.Mbali na kutuibia kutoka serikalini wanakwepa Mabilioni ya kodi katika biashara zao.
 
Kwanza wanajua wazi kuwa sisi tunajipendekeza kwao.Pili wanajua kuwa viongozi wetu hawana akili na ndo maana hawaogopi kuwatumia ili kuibia nyumba yao. Tatu wanatudharau kupita kiasi na ndo maana hawataki watoto wao waolewe na mwafrica.
Hapa nawakumbuka watu wawili amabao naamini hawakufanya makosa kuhusu hawa Wahindi.Mtu wa kwanza IDD AMIN,huyu pamoja na makosa aliyofanya siwezi kataa kuwa alitambua tabia ya wahindi. Mtu wa pili ni Mtikila. Alipotuambia ukweli tulimwona mbaguzi, lakini ukweli ni kuwa watu wa kwanza wasiofanya biashara halali si wazawa asilia ni Wahindi.Mbali na kutuibia kutoka serikalini wanakwepa Mabilioni ya kodi katika biashara zao.

Nadhani ukichek ile thread ya Role of Indians in the Tanzanian Economy utaona mengi...Sisi sio wabaguzi na hatuhitaji kujitetea sisi ni wazalendo na tunasema tuyaonayo..i personally used to respect indians and the way they are so successful in Africa..Note this was before i knew how they got funding from most of their projects..i used to think wanarelatives ulaya or india who help in financing their businesses sio ukweli kabisa, hela zote zinatoka hapo hapo bongo na zinazungushwa..they are rich not cause they are good business people its because they have learnt how to work the rotten system...hamna cha bakhressa na stori za kuwa alikuwa shoe shiner na kuuza ice cream wala nani!! wote kuna channel toka sirikalini waliipata wakafanya kweli!!
Na hizo channel zipo hadi leo!! Kuna watu BOT hawatoki since the mid 80's wapo..mkiwajua hao ..watawapa majibu ya kila kitu!!
 
I dont care kama nitaitwa mbaguzi but these indians are @#^**&. Mi nakwambia wasingekuwa wamejazana bongo may be hata ufisadi usingekuwa wa hali hii tuionayo. I really dont understand why most of the kashfaz za pesa wanaongoza wao tena kuibia serikari na tTanzania kwa ujumla, wakishirikiana na hao vibaraka wao serikalini. Viongozi wazima akilili zero, mi mkitaka kunifungia poa tu but right now icant help it, ntatukana tu. Yaani ningekuwa na uwezo huyu rostam angehukumiwa kunyongwa kabisa na hao wenzie wanaohalalisha wizi wakati watu tunastruggle mikodi mikubwa kwenye kila kitu bado PAYE na mijitu inaiba tu bila huruma. Imeanza kuiba zamani imetajirika mi account hadi ya wajukuu zao imejaa lakini haitosheki. EE Mungu unayo mamlaka.,kwa nguvu na uweza wako mkuu hawa watu wafe hatuwahitaji. Tuonee huruma wanao
 
Asante Sana Nyangumi, Na Tena Angalia Dharau Aliyoinyesha Zakaria Juzi Maana Bila Aibu Wala Uoga Aliwatumia Mchele Mbovu Wale Ndugu Zetu Wahanga Wa Kule Tabata Tena Akamtwisha Katibu Mkuu Wa C.c.m Apeleke Wewe Unafikiri Hii Si Ni Dharau Iliyovuka Mpaka? Eee, Kwani Mtamfanya Nini? Maana Hata Akifanya Madudu Namna Gani Bado Mnajipendekeza Tu Atajali Nini? Hata Tungekufa Wote Kwanza Siyo Ndugu Zao
 
Inatakiwa Tanzania Tufike Mahala Tumkamate Mchawi Maana Mchawi Wetu Tumeshamjua Ni Mhindi Na Bila Kufanya Hivi Nani Atatusemea Maana Hata Kwa Mungu Najua Ujinga Na Uzembe Ukizidi Sana Pia Ni Thambi Kubwa
 
Haya Kumekucha, ufisadi wa Rostam Aziz wazidi kufichuliwa. Jisomee mwenyewe habari hii kutoka gazeti la uchunguzi la mwanahalisi.


MBUNGE wa Igunga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rostam Aziz, ni miongoni mwa wafanyabiashara kadhaa wanaotajwa kufilisi Mfuko wa Chakula (FACF) baada ya kuchotewa na serikali zaidi ya Sh. 200 bilioni....

Hold on.. kuna majina hapa nimewahi kuyaona mahali pengine; naomba mnisaidie!

- Charles D. J. Mungai (any relation to Joseph Mungai? aliyekuwa Waziri wa Kilimo????)
- James Rugemalira -
- Rostam Aziz...
 
Back
Top Bottom