Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

mie naunga mkono RAIA MWEMA kuomba radhi ya maandishi but messege sent,,,vilevile waswahili wanasema "'BUSARA HUEPUSHA MADHARA"' ngoja wamfurahishe nafsi yake kwani wa-Tanzania wote tunajua ukweli uko wapi
 
Anayefikiri vita against mafisadi ni lelemama, anahitaji ku-think again, kuna wakati mafisadi wataonekana kushinda lakini ukweli uko very celar kuwa ni kiini macho tu,

Kilichofanyika hapa ni mkwara ambao ukichukuliwa kama changamoto na media yetu, basi utaleta more bad news kwa mafisadi, kwa sababu sasa wataleta habari zenye uhakika zaidi kuliko za kwanza,

Kwa wale waaandishi ambao ni dilligent tunawakumbusha kuwa tuko pamoja nao, isipokuwa wale wababaishaji wanaojaribu kucheza kila upande, wataaaibika wenyewe, sisi tunasonga mbele tu!
 
Anayefikiri vita against mafisadi ni lelemama, anahitaji ku-think again, kuna wakati mafisadi wataonekana kushinda lakini ukweli uko very celar kuwa ni kiini macho tu,

Kilichofanyika hapa ni mkwara ambao ukichukuliwa kama changamoto na media yetu, basi utaleta more bad news kwa mafisadi, kwa sababu sasa wataleta habari zenye uhakika zaidi kuliko za kwanza,

Kwa wale waaandishi ambao ni dilligent tunawakumbusha kuwa tuko pamoja nao, isipokuwa wale wababaishaji wanaojaribu kucheza kila upande, wataaaibika wenyewe, sisi tunasonga mbele tu!

FMES heshima mbele.
Umeongea point tupu mzazi, nimeshasema Rostam hana kesi ya kushinda. Labda kubena ajiri lamwai kilaza.
 
Good message FMES,
Tusikae kimya wala kusinzia. Maana kama tukikaa kimya uongo wao utatawala na hatimaye utakuwa ukweli. Na kama tukisinzia, tukiamka tutakuta msosi wote umeliwa.
 
Ndoto Za Mchana,sakina Wala Jopo La Wahariri Hakuna Mwenye Ubavu Wa Kumsaidi Mgoni Kubenea,kwanza Zaidi Ya Mwanahalisi Na Magazeti Ya Alietarikiwa Na Madame Ritha Paulsen,ukiondoa La Chadema Hakuna Lenye Ubavu Wa Kumwandika Ra.kubenea Mwenyewe Full Njaa Mpe Laki Tu Anamwandika Mtu.kesi Lazima Kubenea Atafilisiwa.
 
Jamani mimi naona sawa hawa Raia Mwema kuomba radhi,lakini ukweli ni kwamba RA ni mla rushwa,Fisadi,Mhujumu Uchumi ni mtu asie na uchungu na Nchi hii,ingawa ushahidi haupo mahakamani lakini huyu Muirani ni mtu mbaya sana huo ndio ukweli wenyewe.

Tufike mahali akili zetu ziweze kuchambua vitu kuliko kufunikwa na propaganda machines...

My advice to newspapers: No research no right to write (remember that?). Haya ONE DOWN...Uzuri wa research ni huwezi kuogopa kuandika kitu na huwezi kurudi nyuma yule unayemshutumu akiamua kukushtaki. Angalia mfano wa SFO dhidi ya Chenge.
 
Hii ngoma nzito kweli kweli kwani kupambana na mafisadi ni vita ngumu kuliko ya kumg'oa Iddi Amin Dada. Hapa unadeal na nguvu ya rupia inayoweza kuyeyusha hata chuma cha pua kuwa uji.RA ni Lowassa, ni Karamagi, ni Chenge, ni Mohamed Dewji, ni nguvu kubwa ya vijisenti! Angalia jinsi anavyojisafisha yeye na wenzake kutokana na tope la Richmond. Kaanzisha magazeti mapya manne ambayo yanaimba usiku kucha kuhusu "usafi" wa RA; ana wahariri na waandishi wake karibu kwenye kila gazeti nchini, nao kazi yao kuu ni kumsafisha RA na washiriki wake.Wajuaji wote wa Bunge amewaundia soo zito: Sitta anafuja fedha za Bunge (licha ya kwamba taarifa za wakaguzi hazina hoja hiyo), Mwakyembe ameunganisha bomba la maji (pamoja na kwamba nyumba hiyo si yake, ina kesi mahakamani, haikaliwi na mtu kwa zaidi ya miaka 10 na iko chini ya usimamizi wa benki). Linakuja soo la Anne Kilango, Anne Makinda, Ole Sendeka, Mwandosya n.k. Kwa nini leo tunamshangaa Jenerali Ulimwengu, aliyemuuzia RA magazeti yake yote muhimu na anaendelea kufadhiliwa na RA, anapomwomba radhi mfadhili wake huyo kwa taarifa ambayo ni sahihi kabisa? Ntalia mie! Ijabu
 
Halisi,

Poleni sana. Ndio mapambano hayo na muda wote kutakuwa na kupanda milima na kutelemka.

Muhimu ni kutokukata tamaa na kwa hili kama gazeti walikosea basi ni bora walivyofanya. Muhimu ni kuwa makini na kuhakikisha waandishi hawaandiki majina halisi ya wahusika mpaka pale wanapokuwa na uhakika mkubwa na habari husika.

Ishu si UHAKIKA bali sheria tulizonazo nchini zinawaruhusu wakoloni kuzitumia dhidi ya uhakika ulioandikwa, nadhani Rais Mwema wameona bora waombe radhi ilimradi ujumbe ulishafika, na bora radhi kuliko kunayng'anywa mamilioni ya bure kuongezea kwenye donge la EPA. Nchi yetu bado iko utumwani, ndio sababu wakubwa wanatunga sheria za kuwalinda hata kwa mabaya yaliyo dhahiri
 
Tufike mahali akili zetu ziweze kuchambua vitu kuliko kufunikwa na propaganda machines...

My advice to newspapers: No research no right to write (remember that?). Haya ONE DOWN...Uzuri wa research ni huwezi kuogopa kuandika kitu na huwezi kurudi nyuma yule unayemshutumu akiamua kukushtaki. Angalia mfano wa SFO dhidi ya Chenge.

Insurgent,

Tunarudi pale pale, kwamba sheria zilizopo...waaandishi tunawalaumu bure. Kwanza nikuulize wewe umefanya research ya kutosha kuhusu sheria mbaya zinazokandamiza uhuru wa habari na zinazolinda ufisadi, zinazoweza kukugeuka hata kama umeandika ukweli? Je, ukweli wote ulio-researched lazima uwe documented na ukubalike mahakamani? Tukisubiri tafsiri ya ukweli wa mahakamani kitaandikwa kitu? (Mafisadi wanapenda kisiandikwe kitu).....Insurgent, insurgent! Please, do some research please!
 
Naomba kuuliza hivi kuna ubaya gani mtu kushtaki kama anaona ameandikwa vibaya? Na kama hakuna ubaya kwa nini wahariri wamvae huyu jamaa? Au waandishi na wenyewe wanataka kuwachagulia walaji wa habari nani aongee na aongee nini. Kama hawamtaki basi hawampi nafasi ya kuongea na akiongea anashambuliwa. Naomba wachangiaji mnisaidie kujibu hayo maswali mawili.

Mosi, wahariri wanataka kutetea kazi yao ya kuanika uozo wa mafisadi ambayo wanaona kwa kesi hii inahatarishwa, kwani Rostam akishaweka precedent kwa Kubenea, itayaathiri magazeti na vyombo vingine huko mbele.

Pili, hii inaweza kuonyesha wahariri wenyewe wanamjua sana Rostam, hivyo wanakubaliana na kazi ya MwanaHALISI, kwa kuwa inajulikana gazeti hilo ni la Kubenea lakini linaendeshwa na wahariri wengi kutoka vyombo mbalimbali ya habari nchini. Kwa hito nao ni wadau wa zogo hili.

Tatu, wahariri nao ni raia kama alivyo Rostam. Rostam ana haki ya kujitetea kwa kuhukua hatua zozote za kisheria anazoamini zitamsaidia, na wahariri wana haki kuchukua hatua zozote wanazodhani zitaimarisha kazi yao na kudumisha umoja na mshikamano wao kadiri ya malengo ya kuundwa kwa umoja huo kutetea uhuru wa habari kwa faida ya Watanzania wote. Nani atashinda ni matokeo ya mpambano wenyewe.
 
Insurgent,

Tunarudi pale pale, kwamba sheria zilizopo...waaandishi tunawalaumu bure. Kwanza nikuulize wewe umefanya research ya kutosha kuhusu sheria mbaya zinazokandamiza uhuru wa habari na zinazolinda ufisadi, zinazoweza kukugeuka hata kama umeandika ukweli? Je, ukweli wote ulio-researched lazima uwe documented na ukubalike mahakamani? Tukisubiri tafsiri ya ukweli wa mahakamani kitaandikwa kitu? (Mafisadi wanapenda kisiandikwe kitu).....Insurgent, insurgent! Please, do some research please!

Hivi sheria zilizopo zinaapply kwa Mwanahalisi/Raia Mwema tu? THIS DAY si wanaandika habari vilevile?!
Unataka sheria inayokupa Uhuru wa kuandika uzushi? Kuna sheria ya kikatiba unayokuzuia kusema/kuandika ukweli?
 
Kwa nini leo tunamshangaa Jenerali Ulimwengu, aliyemuuzia RA magazeti yake yote muhimu na anaendelea kufadhiliwa na RA, anapomwomba radhi mfadhili wake huyo kwa taarifa ambayo ni sahihi kabisa? Ntalia mie! Ijabu

Muogope Mungu....binafsi naamini hata ukiweka kamasi sehemu ya ubongo haiwezi kukushawishi kuamini ulichokiandika hapo juu. By the way, wafadhiliwa wa Rostam wanafahamika huitaji kuwa na shahada hata uzamili kuwafahamu.
 
Mkapa Aliwahi Fokea Wana Habari Wetu Pale Magogoni Na Kuwasema Kuwa Serikali Wanajua Nani Wanagharimia Magazaeti Yao Na Wafanyakazi.!!!!!, Kama Kuna Facta Basi Tusubiri
 
Ndoto Za Mchana,sakina Wala Jopo La Wahariri Hakuna Mwenye Ubavu Wa Kumsaidi Mgoni Kubenea,kwanza Zaidi Ya Mwanahalisi Na Magazeti Ya Alietarikiwa Na Madame Ritha Paulsen,ukiondoa La Chadema Hakuna Lenye Ubavu Wa Kumwandika Ra.kubenea Mwenyewe Full Njaa Mpe Laki Tu Anamwandika Mtu.kesi Lazima Kubenea Atafilisiwa.


Watu wenye fikra kama zako ndiyo wanaochangia kwa kiwango kikubwa kurudisha nyuma mapambano ya kifikra yanayotakiwa kuibadilisha Tanzania. Ni watu wanaowakilisha na kuitetea jamii ya kifisadi iendelee kunyonya jasho la masikini wa Tanzania. Nin watu wanaotumia vibaya uhuru wao wa kutoa mawazo kwa kufifisha mawazo chanya na kurutubisha mawazo hasi.

Katika mazingira ya giza na magumu kama haya, ni jambo la kushukuru kama kuna mtu anajaribu kuwasha hata mshumaa tu ili kupata mwanga japo hafifu. Mwanga huu unatuwezesha kutafuta swichi ya umeme kwa ajili ya mwanga mkali zaidi. Wewe unayewabeza wahariri wanapojaribu kufanya kazi yao, umefanya nini kikubwa katika kupambana na mafisadi zaidi ya wahariri hawa unaowaona hawana ubavu?
 
Mzee ES umeuliza swali zuri sana .Ugoni ambao haunma ushahidi ? Maneno ili kupinga na kupinda ukweli ? Kubenea anawatoa jasho na ataendelea.Kesi mwache RA aende mbele .Nina uhakika itafumua mengi na hapo Taifa hili litayajua mengi .Naamini kwamba hakutakuwa na keso mwisho wa siku .Lakini wacha tuone nia yake ni ipi .
 
Back
Top Bottom