Rostam Aziz, Watanzania tukueleweje? Unawauzia Wakenya Gesi yako Bei Chee na kwa Watanzania unatuuzia Bei Juu?

Rostam Aziz, Watanzania tukueleweje? Unawauzia Wakenya Gesi yako Bei Chee na kwa Watanzania unatuuzia Bei Juu?

Mbaya Rostam na Wanaomtetea Wananikwaza. Sijaona Utetezi wa Hoja bali naona Unafiki na Uchawa mwingi tu.
hujaona hoja ?
ivi anaeruhusu iyo gesi iuzwe bei kibwa nani ? na wameridhia iyo bei ya gesi kina nani mpaka hawalalamiki wanaona ni sawa ?

hakuna uchawa ukweli usiopingika serikali kupitia tozo, kodi ,ushuru ndio inafanya gesi iuzwe iyo bei ndio maana unaona wamekaa kimyaa wanajionea sawa tu mbna vitu viko wazi vyeupeee hata mwanafunzi wa la tano anaelewa

ingekuwa rostam anauza bei juu peke yake sawa ila gesi zote m gas, orexy, taifa,kopa,mihani gasi na zingne bei ni sawa kama wanayopanga bei ya mafuta ya dizel,petrol na taaa

acha chuki binafsi
 
"Kuanzia Mwezi wa Tano nategemea Kutangaza Kuuzwa kwa Gesi zote nchini Kenya kwa Tsh 500/ ya Kenya ( kama Tsh 9,500/ hadi Tsh 10,000/ tu za Tanzania ) kwani tayari Rafiki yetu kutoka Tanzania Rostam ameshakuja Kuwekeza hapa Kwetu hivyo nataka Wakenya wafurahie Maisha na wapate Gesi kwa gharama ndogo" amesema Rais William Ruto wa Kenya Juzi.

Chanzo Taarifa: Nipashe Radio One

Tunajitahidi mno Kumsahau Jemedari na Mtetezi wa Watanzania Hayati Rais Dkt. Magufuli ila tunashindwa kutokana na Kutuumiza hivi Watanzania wakati huko nje mnawafanyie Wema na Kuwaonea Huruma.

Laleni salama huko mliko Viongozi wangu Wapendwa na mlioifanyia Mema Tanzania yetu hii Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Hayati Benjamin Mkapa na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.

GENTAMYCINE huwa siishii tu Kuwakumbukeni huku nikiionea Huruma Tanzania yangu na inakokwenda bali huwa Nalia mno nikiona Watanzania tunafanywa Wapumbavu ( Mapopoma ) na Watanzania wachache waliojipa Hatimiliki yote ya Mama Tanzania na Familia zao.

Endeleeni tu ila haya yote yana mwisho.
Tatizo ni kodi mzee Gas ni bei chee Uarabuni
 
Mbaya Rostam na Wanaomtetea Wananikwaza. Sijaona Utetezi wa Hoja bali naona Unafiki na Uchawa mwingi tu.
daa kweli aisee umenifanya nione hoja yako haina mashiko kabisaa huoni kama gesi zote bei moja nenda kaulizie mtungi mdogo wa mgasi, kopa gasi,taifa gasi, mihani gasi ,manjis gasi uone bei kama hazifanani we umeona rostam tu
 
"Kuanzia Mwezi wa Tano nategemea Kutangaza Kuuzwa kwa Gesi zote nchini Kenya kwa Tsh 500/ ya Kenya ( kama Tsh 9,500/ hadi Tsh 10,000/ tu za Tanzania ) kwani tayari Rafiki yetu kutoka Tanzania Rostam ameshakuja Kuwekeza hapa Kwetu hivyo nataka Wakenya wafurahie Maisha na wapate Gesi kwa gharama ndogo" amesema Rais William Ruto wa Kenya Juzi.

Chanzo Taarifa: Nipashe Radio One

Tunajitahidi mno Kumsahau Jemedari na Mtetezi wa Watanzania Hayati Rais Dkt. Magufuli ila tunashindwa kutokana na Kutuumiza hivi Watanzania wakati huko nje mnawafanyie Wema na Kuwaonea Huruma.

Laleni salama huko mliko Viongozi wangu Wapendwa na mlioifanyia Mema Tanzania yetu hii Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Hayati Benjamin Mkapa na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.

GENTAMYCINE huwa siishii tu Kuwakumbukeni huku nikiionea Huruma Tanzania yangu na inakokwenda bali huwa Nalia mno nikiona Watanzania tunafanywa Wapumbavu ( Mapopoma ) na Watanzania wachache waliojipa Hatimiliki yote ya Mama Tanzania na Familia zao.

Endeleeni tu ila haya yote yana mwisho.
Serikali ya Kenya iliondoa ushuru kwenye gesi ya kupikia tu, yetu ilipandisha.
 
Wamekuibia Nini? CCM ufisadi umeanza tokea 1990s haujaanza Leo. Kipindi Cha JPM pekee CAG ameshatolea hesabu ya zaidi ya Trillion 2 kupotea sababu pesa hazikuingizwa mfuko mkuu wa serikali. Na haya yote yalitokea JPM akiwa Rais!!

Ufisadi haujawahi kuisha CCM So awe Msoga awe sukuma gang wote mafisadi tu.
Ahaa kumbe unatambua kuwa msoga gang ni tatizo hapa nchini??

Hao wakipunguza tamaa tutapumua.

Kila kitu wanataka kiwe chao hawaridhiki aisee.
 
"Kuanzia Mwezi wa Tano nategemea Kutangaza Kuuzwa kwa Gesi zote nchini Kenya kwa Tsh 500/ ya Kenya ( kama Tsh 9,500/ hadi Tsh 10,000/ tu za Tanzania ) kwani tayari Rafiki yetu kutoka Tanzania Rostam ameshakuja Kuwekeza hapa Kwetu hivyo nataka Wakenya wafurahie Maisha na wapate Gesi kwa gharama ndogo" amesema Rais William Ruto wa Kenya Juzi.

Chanzo Taarifa: Nipashe Radio One

Tunajitahidi mno Kumsahau Jemedari na Mtetezi wa Watanzania Hayati Rais Dkt. Magufuli ila tunashindwa kutokana na Kutuumiza hivi Watanzania wakati huko nje mnawafanyie Wema na Kuwaonea Huruma.

Laleni salama huko mliko Viongozi wangu Wapendwa na mlioifanyia Mema Tanzania yetu hii Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Hayati Benjamin Mkapa na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.

GENTAMYCINE huwa siishii tu Kuwakumbukeni huku nikiionea Huruma Tanzania yangu na inakokwenda bali huwa Nalia mno nikiona Watanzania tunafanywa Wapumbavu ( Mapopoma ) na Watanzania wachache waliojipa Hatimiliki yote ya Mama Tanzania na Familia zao.

Endeleeni tu ila haya yote yana mwisho.
Watu wanamtegemea Mungu ila wengine wanamtegemea Magufuli. 😂😂😂😂
Ndiyo maana kila kitu angekuwepo Magufuli.😴😴😴 Mbona ujajiuliza kuhusu bei ya gesi ya taifa na mihan wanauza bei juu?
 
Shida sio Rostam Azizi, shida ni viongozi wetu. Ruto anatarajia kutangaza hayo kutokana na kusamehe kodi kibao kwenye gesi. Je hapa kwetu ili gesi imfikie mtumiaji inakuwa imetozwa kodi kiasi gani ?
kuna watu wanapenda kulalamika tu kwa lo lote lile.
 
Acha undezi,kwani Rostam anatoa Msaada?

Kwanza gas yake anaagiza Uarabuni Wala sio Tanzania
Pili Kenya Wana kodi ndogo kwenye gas kuliko Tanzania ndio inaamua bei.

Na mwisho ndio kwanza Ruto amesema mtungi mdogo kuanzia juni utauzwa elfu 5 serikali yake itaweka Ruzuku.Laumu serikali Yako sio Rostam.
Nilitegemea hoja yako itoe uzito kwa kuandika ,"kwa nini isiwezekane Tanzania?"
 
"Kuanzia Mwezi wa Tano nategemea Kutangaza Kuuzwa kwa Gesi zote nchini Kenya kwa Tsh 500/ ya Kenya ( kama Tsh 9,500/ hadi Tsh 10,000/ tu za Tanzania ) kwani tayari Rafiki yetu kutoka Tanzania Rostam ameshakuja Kuwekeza hapa Kwetu hivyo nataka Wakenya wafurahie Maisha na wapate Gesi kwa gharama ndogo" amesema Rais William Ruto wa Kenya Juzi.

Chanzo Taarifa: Nipashe Radio One

Tunajitahidi mno Kumsahau Jemedari na Mtetezi wa Watanzania Hayati Rais Dkt. Magufuli ila tunashindwa kutokana na Kutuumiza hivi Watanzania wakati huko nje mnawafanyie Wema na Kuwaonea Huruma.

Laleni salama huko mliko Viongozi wangu Wapendwa na mlioifanyia Mema Tanzania yetu hii Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Hayati Benjamin Mkapa na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.

GENTAMYCINE huwa siishii tu Kuwakumbukeni huku nikiionea Huruma Tanzania yangu na inakokwenda bali huwa Nalia mno nikiona Watanzania tunafanywa Wapumbavu ( Mapopoma ) na Watanzania wachache waliojipa Hatimiliki yote ya Mama Tanzania na Familia zao.

Endeleeni tu ila haya yote yana mwisho.
Hiyo 9500/= kwa kilo au?
 
Back
Top Bottom