wa marangu
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 259
- 407
ukistajabu ya gesi utashangaa ya mbolea kuwekwa mchanga ili wapge dili.hii ndo bongo bwana kila mtu anakula chake mapema tuShida sio Rostam Azizi, shida ni viongozi wetu. Ruto anatarajia kutangaza hayo kutokana na kusamehe kodi kibao kwenye gesi. Je hapa kwetu ili gesi imfikie mtumiaji inakuwa imetozwa kodi kiasi gani?
Rostam alipiga hela kibao wakati wa kashfa ya EPA na hakuna aliyemgusa ! Msisahau kuwa enzi ya Kikwete alikuwa mweka hazina wa ccm na upigaji ulishamiri; awamu hii he is taking advantage of the leadership na ndio maana anaongozana nao kuingia mikataba ya biashara in their presence huku hawaelewi uwepo wao kwenye kutia sign hiyo mikataba huko nje maana yake serikali inadhamini makubaliano hayo hivyo kubebesha nchi mzigo unknowingly in the event of a default!Tanzania ni shamba la bibi mkuu.
Ile fursa ya utajiri iliyokuwepo awamu ya pili ikajirudia tena awamu ya nne sasa imekuja tena awamu ya sita.
Watu wanapiga hela tu mkuu.
Umeongea point na siyo watu kukakamika tuIli kuokoa misitu ilitakiwa gas iondolewe kodi.
Uongo mtupu, utaambiwa tuna kitu cha uhakika na cha uhakika siku zote ni ghariTusubiri hatua kwa hatua, uenda baada bwawa la Nyerere, LNG kukamilka basi bei zaweza pungua!
Hili hangaya na madelu hawawezi kuliona, wao wanawaza kukusanya tozo tu.Ili kuokoa misitu ilitakiwa gas iondolewe kodi.
Sisiemu hoyeeee....mapopomaKutoka Ksh 2800 hadi Ksh 500
Ruto ni mzalendo
Na mkitoa hizo kodi mnifaika wa kwanza ni huyo Rostam mwenyewe, watazidi kuuza kwa kasi huku akiwa halipi kodi yoyote ya maanaIli kuokoa misitu ilitakiwa gas iondolewe kodi.
"Kuanzia Mwezi wa Tano nategemea Kutangaza Kuuzwa kwa Gesi zote nchini Kenya kwa Tsh 500/ ya Kenya ( kama Tsh 9,500/ hadi Tsh 10,000/ tu za Tanzania ) kwani tayari Rafiki yetu kutoka Tanzania Rostam ameshakuja Kuwekeza hapa Kwetu hivyo nataka Wakenya wafurahie Maisha na wapate Gesi kwa gharama ndogo" amesema Rais William Ruto wa Kenya Juzi.
Chanzo Taarifa: Nipashe Radio One
Tunajitahidi mno Kumsahau Jemedari na Mtetezi wa Watanzania Hayati Rais Dkt. Magufuli ila tunashindwa kutokana na Kutuumiza hivi Watanzania wakati huko nje mnawafanyie Wema na Kuwaonea Huruma.
Laleni salama huko mliko Viongozi wangu Wapendwa na mlioifanyia Mema Tanzania yetu hii Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Hayati Benjamin Mkapa na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.
GENTAMYCINE huwa siishii tu Kuwakumbukeni huku nikiionea Huruma Tanzania yangu na inakokwenda bali huwa Nalia mno nikiona Watanzania tunafanywa Wapumbavu ( Mapopoma ) na Watanzania wachache waliojipa Hatimiliki yote ya Mama Tanzania na Familia zao.
Endeleeni tu ila haya yote yana mwisho.
Sasa ni rasmi mahaba yamehamia kwa Ruto, Kagame amechuja. Nchi ikiwa na wajingawajinga kama hawa na wenzake akina johnthebaptist ni shida sana.Siyo Wapuuzi wenu wengine wa Afrika hii.
Msalimie KibatalaSasa ni rasmi mahaba yamehamia kwa Ruto, Kagame amechuja. Nchi ikiwa na wajingawajinga kama hawa na wenzake akina johnthebaptist ni shida sana.
Bwashe nilikuwa nakucheki tu, ujumbe ulikuwa wa huyo pompoma mwandamizi JF.Msalimie Kibatala
Hakika kila lenye mwanzo lina mwisho wake !!"Kuanzia Mwezi wa Tano nategemea Kutangaza Kuuzwa kwa Gesi zote nchini Kenya kwa Tsh 500/ ya Kenya ( kama Tsh 9,500/ hadi Tsh 10,000/ tu za Tanzania ) kwani tayari Rafiki yetu kutoka Tanzania Rostam ameshakuja Kuwekeza hapa Kwetu hivyo nataka Wakenya wafurahie Maisha na wapate Gesi kwa gharama ndogo" amesema Rais William Ruto wa Kenya Juzi.
Chanzo Taarifa: Nipashe Radio One
Tunajitahidi mno Kumsahau Jemedari na Mtetezi wa Watanzania Hayati Rais Dkt. Magufuli ila tunashindwa kutokana na Kutuumiza hivi Watanzania wakati huko nje mnawafanyie Wema na Kuwaonea Huruma.
Laleni salama huko mliko Viongozi wangu Wapendwa na mlioifanyia Mema Tanzania yetu hii Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Hayati Benjamin Mkapa na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.
GENTAMYCINE huwa siishii tu Kuwakumbukeni huku nikiionea Huruma Tanzania yangu na inakokwenda bali huwa Nalia mno nikiona Watanzania tunafanywa Wapumbavu ( Mapopoma ) na Watanzania wachache waliojipa Hatimiliki yote ya Mama Tanzania na Familia zao.
Endeleeni tu ila haya yote yana mwisho.