milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Ni kabila Gani! Anaongea lugha Gani ya hilo kabilaRostam ni Mzawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kabila Gani! Anaongea lugha Gani ya hilo kabilaRostam ni Mzawa.
Wazawa ni niniElewa maana ya "Wazawa" halafu uje hapa tuchangie mada!
Ni huzuni sana mkuu..Na wa nje wakija wanaongezewa na hela juu ili awakatie na chao hao fisi
Sasa unakuta amepewa hela nyingi sana mpaka vifaa vyake vyote alivyofanyia kazi anaamua kuchimba shimo kubwa na kuyazika yote
Kwani amepewa hela nyingi mpaka malori na graders anaona ni uchafu ayapeleke wapi maama hata kuyauza hana mda
Rostum Kazaliwa Mwisi kabila lake ni Baluchi.Ni kabila Gani! Anaongea lugha Gani ya hilo kabila
Nakubalina na Rostam Aziz, Wawekezaji wa Nje waje ku compliment pale ambapo Wawekezaji wa Ndani wamekwama tena Kwa Ubia.
Sasa taasisi zetu zikisia uwekezaji wao wanaweza Wazungu na hata Sasa wako busy kutafuna posho Kwa visingizio vya kuandaa majukwaa ya uwekezaji na mataifa ya Nje.
Wanapishana angani Nchi na Nchi eti kutafuta wawekezaji.Mbona hatujawahi waona Mikoani wakihamasisha huo uwekezaji Kwa wazawa? Au nyie mtuambie ni lini Investment promotion agencies za Nchi zingine Huwa zinakuja Tanzania eti kutafuta wawekezaji?
Hii mentality ya kijinga ikomeshwe mara Moja,ni lazima Serikali ijielekeze kuwezesha wazawa Kwa namna yeyote Ile.Mfani nimeona Tarura wameanzisha Samia infrastructure Bond kusaidia Wakandarasi.Taasisi zingine wanafanya nini?
Hongera bwana Rostam Kwa kuwapa shule Hawa watu wetu wasiojielewa.👇👇
----
Mfanyabiashara na mwekezaji, Rostam Aziz amesema kuna umuhimu wa kuwakumbatia wawekezaji wa ndani katika utekelezaji wa miradi ya ndani ili kujenga uchumi wa nchi.
Rostam ameyasema hayo leo Alhamisi, Desemba 5, 2024 kwenye mjadala ulioandaliwa na Clouds Media Group unaoongelea namna Serikali imefanya uwezeshaji kwa wawekezaji wazawa. Amesema mwekezaji kutoka nje anachoangalia ni biashara na faida ya haraka kisha aangalie fursa iliyoko nchi nyingine.
“Mfanyabiashara kutoka nje akija anafanya shughuli iliyomleta kwa kutazama faida, anakuja na watu wake anaowaamini kuwapa ajira na faida atakayoipata atawekeza huko alikotoka au sehemu anayotaka kwenda kuwekeza,” amesema Rostam.
Ameshauri kwamba miradi mikubwa ya nchi kama ujenzi wa barabara, madaraja na miundombinu mbalimbali wapewe wazawa waitekeleze ili kuzungusha pesa ndani ya nchi ambapo biashara zitazaana.
Amesisitiza hakuna nchi dunani iliyojenga uchumi wake kwa kutegemea wawekezaji kutoka nje kwakuwa wawekezaji kutoka nje wanachoangalia ni masilahi yake hadi anakuja nchini lazima ahakikishe faida yake inakua kubwa na siku akimaliza anaondoka.
“Serikali ijiwekeze katika kupendelea wawekezaji wa ndani ndio wawe na matumizi makubwa wa pesa za Serikali za miradi kwasababu ikibaki nchini watanzania wengi watanufaika. Kodi zitalipwa biashara zitazunguka,” amesema Rostam.
Chanzo: Mwananchi
Rostam Aziz sio mzawa wa Tanzania, lakini kuna taarifa kwamba anahusishwa na kabila la Baluchi, ambalo lina asili kutoka eneo la Baluchistan, linalopatikana katika nchi za Iran, Pakistan, na Afghanistan.Rostum Kazaliwa Mwisi kabila lake ni Baluchi.
Ni mzawa wa Igunga sema Wazazi wake walihama kutoka Mbarali Mbeya huko lakini hatujui waliingia Tanzania lini.Rostam Aziz sio mzawa wa Tanzania, lakini kuna taarifa kwamba anahusishwa na kabila la Baluchi, ambalo lina asili kutoka eneo la Baluchistan, linalopatikana katika nchi za Iran, Pakistan, na Afghanistan.
Ni msukuma?Ni
Ni mzawa wa Igunga sema Wazazi wake walihama kutoka Mbarali Mbeya huko lakini hatujui waliingia Tanzania lini.
Acheni kushobokea makanjibay nyie mwekezaji mzawa alikua mengi tu hao wengine ni kiini macho angalao mzawa mengi alikua anapeleka ndugu zetu India kutibiwa Bure na kutupatia hizo mioni miamia kwenye mashule yetu ya kata hakuna kanjibay mwenye uchungu na mtanzania maskini zaidi ya mtanzania mwenzakeNi
Ni mzawa wa Igunga sema Wazazi wake walihama kutoka Mbarali Mbeya huko lakini hatujui waliingia Tanzania lini.
Sana Mkuu, na inaumiza sanaNi huzuni sana mkuu..
wazawa wanaoficha sukari na mafuta ili bei ipande wale faidaNakubalina na Rostam Aziz, Wawekezaji wa Nje waje ku compliment pale ambapo Wawekezaji wa Ndani wamekwama tena Kwa Ubia.
Sasa taasisi zetu zikisia uwekezaji wao wanaweza Wazungu na hata Sasa wako busy kutafuna posho Kwa visingizio vya kuandaa majukwaa ya uwekezaji na mataifa ya Nje.
Wanapishana angani Nchi na Nchi eti kutafuta wawekezaji.Mbona hatujawahi waona Mikoani wakihamasisha huo uwekezaji Kwa wazawa? Au nyie mtuambie ni lini Investment promotion agencies za Nchi zingine Huwa zinakuja Tanzania eti kutafuta wawekezaji?
Hii mentality ya kijinga ikomeshwe mara Moja,ni lazima Serikali ijielekeze kuwezesha wazawa Kwa namna yeyote Ile.Mfani nimeona Tarura wameanzisha Samia infrastructure Bond kusaidia Wakandarasi.Taasisi zingine wanafanya nini?
Hongera bwana Rostam Kwa kuwapa shule Hawa watu wetu wasiojielewa.👇👇
----
Mfanyabiashara na mwekezaji, Rostam Aziz amesema kuna umuhimu wa kuwakumbatia wawekezaji wa ndani katika utekelezaji wa miradi ya ndani ili kujenga uchumi wa nchi.
Rostam ameyasema hayo leo Alhamisi, Desemba 5, 2024 kwenye mjadala ulioandaliwa na Clouds Media Group unaoongelea namna Serikali imefanya uwezeshaji kwa wawekezaji wazawa. Amesema mwekezaji kutoka nje anachoangalia ni biashara na faida ya haraka kisha aangalie fursa iliyoko nchi nyingine.
“Mfanyabiashara kutoka nje akija anafanya shughuli iliyomleta kwa kutazama faida, anakuja na watu wake anaowaamini kuwapa ajira na faida atakayoipata atawekeza huko alikotoka au sehemu anayotaka kwenda kuwekeza,” amesema Rostam.
Ameshauri kwamba miradi mikubwa ya nchi kama ujenzi wa barabara, madaraja na miundombinu mbalimbali wapewe wazawa waitekeleze ili kuzungusha pesa ndani ya nchi ambapo biashara zitazaana.
Amesisitiza hakuna nchi dunani iliyojenga uchumi wake kwa kutegemea wawekezaji kutoka nje kwakuwa wawekezaji kutoka nje wanachoangalia ni masilahi yake hadi anakuja nchini lazima ahakikishe faida yake inakua kubwa na siku akimaliza anaondoka.
“Serikali ijiwekeze katika kupendelea wawekezaji wa ndani ndio wawe na matumizi makubwa wa pesa za Serikali za miradi kwasababu ikibaki nchini watanzania wengi watanufaika. Kodi zitalipwa biashara zitazunguka,” amesema Rostam.
Chanzo: Mwananchi
Kaongea ukweli izi Tender wapewe wazawa kwa kuwezeshwa hata kwa mikopo nafuu Hela zibaki hapa hapa.Nakubalina na Rostam Aziz, Wawekezaji wa Nje waje ku compliment pale ambapo Wawekezaji wa Ndani wamekwama tena Kwa Ubia.
Sasa taasisi zetu zikisia uwekezaji wao wanaweza Wazungu na hata Sasa wako busy kutafuna posho Kwa visingizio vya kuandaa majukwaa ya uwekezaji na mataifa ya Nje.
Wanapishana angani Nchi na Nchi eti kutafuta wawekezaji.Mbona hatujawahi waona Mikoani wakihamasisha huo uwekezaji Kwa wazawa? Au nyie mtuambie ni lini Investment promotion agencies za Nchi zingine Huwa zinakuja Tanzania eti kutafuta wawekezaji?
Hii mentality ya kijinga ikomeshwe mara Moja,ni lazima Serikali ijielekeze kuwezesha wazawa Kwa namna yeyote Ile.Mfani nimeona Tarura wameanzisha Samia infrastructure Bond kusaidia Wakandarasi.Taasisi zingine wanafanya nini?
Hongera bwana Rostam Kwa kuwapa shule Hawa watu wetu wasiojielewa.👇👇
----
Mfanyabiashara na mwekezaji, Rostam Aziz amesema kuna umuhimu wa kuwakumbatia wawekezaji wa ndani katika utekelezaji wa miradi ya ndani ili kujenga uchumi wa nchi.
Rostam ameyasema hayo leo Alhamisi, Desemba 5, 2024 kwenye mjadala ulioandaliwa na Clouds Media Group unaoongelea namna Serikali imefanya uwezeshaji kwa wawekezaji wazawa. Amesema mwekezaji kutoka nje anachoangalia ni biashara na faida ya haraka kisha aangalie fursa iliyoko nchi nyingine.
“Mfanyabiashara kutoka nje akija anafanya shughuli iliyomleta kwa kutazama faida, anakuja na watu wake anaowaamini kuwapa ajira na faida atakayoipata atawekeza huko alikotoka au sehemu anayotaka kwenda kuwekeza,” amesema Rostam.
Ameshauri kwamba miradi mikubwa ya nchi kama ujenzi wa barabara, madaraja na miundombinu mbalimbali wapewe wazawa waitekeleze ili kuzungusha pesa ndani ya nchi ambapo biashara zitazaana.
Amesisitiza hakuna nchi dunani iliyojenga uchumi wake kwa kutegemea wawekezaji kutoka nje kwakuwa wawekezaji kutoka nje wanachoangalia ni masilahi yake hadi anakuja nchini lazima ahakikishe faida yake inakua kubwa na siku akimaliza anaondoka.
“Serikali ijiwekeze katika kupendelea wawekezaji wa ndani ndio wawe na matumizi makubwa wa pesa za Serikali za miradi kwasababu ikibaki nchini watanzania wengi watanufaika. Kodi zitalipwa biashara zitazunguka,” amesema Rostam.
Chanzo: Mwananchi
Rostam ni Mzawa wa Mwisi Mkoa wa Tabora mwenye asili ya Asia.Rostam Aziz sio mzawa
Nakubalina na Rostam Aziz, Wawekezaji wa Nje waje ku compliment pale ambapo Wawekezaji wa Ndani wamekwama tena Kwa Ubia.
Sasa taasisi zetu zikisia uwekezaji wao wanaweza Wazungu na hata Sasa wako busy kutafuna posho Kwa visingizio vya kuandaa majukwaa ya uwekezaji na mataifa ya Nje.
Wanapishana angani Nchi na Nchi eti kutafuta wawekezaji.Mbona hatujawahi waona Mikoani wakihamasisha huo uwekezaji Kwa wazawa? Au nyie mtuambie ni lini Investment promotion agencies za Nchi zingine Huwa zinakuja Tanzania eti kutafuta wawekezaji?
Hii mentality ya kijinga ikomeshwe mara Moja,ni lazima Serikali ijielekeze kuwezesha wazawa Kwa namna yeyote Ile.Mfani nimeona Tarura wameanzisha Samia infrastructure Bond kusaidia Wakandarasi.Taasisi zingine wanafanya nini?
Hongera bwana Rostam Kwa kuwapa shule Hawa watu wetu wasiojielewa.👇👇
----
Mfanyabiashara na mwekezaji, Rostam Aziz amesema kuna umuhimu wa kuwakumbatia wawekezaji wa ndani katika utekelezaji wa miradi ya ndani ili kujenga uchumi wa nchi.
Rostam ameyasema hayo leo Alhamisi, Desemba 5, 2024 kwenye mjadala ulioandaliwa na Clouds Media Group unaoongelea namna Serikali imefanya uwezeshaji kwa wawekezaji wazawa. Amesema mwekezaji kutoka nje anachoangalia ni biashara na faida ya haraka kisha aangalie fursa iliyoko nchi nyingine.
“Mfanyabiashara kutoka nje akija anafanya shughuli iliyomleta kwa kutazama faida, anakuja na watu wake anaowaamini kuwapa ajira na faida atakayoipata atawekeza huko alikotoka au sehemu anayotaka kwenda kuwekeza,” amesema Rostam.
Ameshauri kwamba miradi mikubwa ya nchi kama ujenzi wa barabara, madaraja na miundombinu mbalimbali wapewe wazawa waitekeleze ili kuzungusha pesa ndani ya nchi ambapo biashara zitazaana.
Amesisitiza hakuna nchi dunani iliyojenga uchumi wake kwa kutegemea wawekezaji kutoka nje kwakuwa wawekezaji kutoka nje wanachoangalia ni masilahi yake hadi anakuja nchini lazima ahakikishe faida yake inakua kubwa na siku akimaliza anaondoka.
“Serikali ijiwekeze katika kupendelea wawekezaji wa ndani ndio wawe na matumizi makubwa wa pesa za Serikali za miradi kwasababu ikibaki nchini watanzania wengi watanufaika. Kodi zitalipwa biashara zitazunguka,” amesema Rostam.
View: https://youtu.be/fzFNcqqzYrw?si=WTtRcYkKL2o8DU6p
Chanzo: Mwananchi
Asia ipi?Rostam ni Mzawa wa Mwisi Mkoa wa Tabora mwenye asili ya Asia.
Nakubalina na Rostam Aziz, Wawekezaji wa Nje waje ku compliment pale ambapo Wawekezaji wa Ndani wamekwama tena Kwa Ubia.
Sasa taasisi zetu zikisia uwekezaji wao wanaweza Wazungu na hata Sasa wako busy kutafuna posho Kwa visingizio vya kuandaa majukwaa ya uwekezaji na mataifa ya Nje.
Wanapishana angani Nchi na Nchi eti kutafuta wawekezaji.Mbona hatujawahi waona Mikoani wakihamasisha huo uwekezaji Kwa wazawa? Au nyie mtuambie ni lini Investment promotion agencies za Nchi zingine Huwa zinakuja Tanzania eti kutafuta wawekezaji?
Hii mentality ya kijinga ikomeshwe mara Moja,ni lazima Serikali ijielekeze kuwezesha wazawa Kwa namna yeyote Ile.Mfani nimeona Tarura wameanzisha Samia infrastructure Bond kusaidia Wakandarasi.Taasisi zingine wanafanya nini?
Hongera bwana Rostam Kwa kuwapa shule Hawa watu wetu wasiojielewa.👇👇
View: https://youtu.be/fzFNcqqzYrw?si=WTtRcYkKL2o8DU6p
----
Mfanyabiashara na mwekezaji, Rostam Aziz amesema kuna umuhimu wa kuwakumbatia wawekezaji wa ndani katika utekelezaji wa miradi ya ndani ili kujenga uchumi wa nchi.
Rostam ameyasema hayo leo Alhamisi, Desemba 5, 2024 kwenye mjadala ulioandaliwa na Clouds Media Group unaoongelea namna Serikali imefanya uwezeshaji kwa wawekezaji wazawa. Amesema mwekezaji kutoka nje anachoangalia ni biashara na faida ya haraka kisha aangalie fursa iliyoko nchi nyingine.
“Mfanyabiashara kutoka nje akija anafanya shughuli iliyomleta kwa kutazama faida, anakuja na watu wake anaowaamini kuwapa ajira na faida atakayoipata atawekeza huko alikotoka au sehemu anayotaka kwenda kuwekeza,” amesema Rostam.
Ameshauri kwamba miradi mikubwa ya nchi kama ujenzi wa barabara, madaraja na miundombinu mbalimbali wapewe wazawa waitekeleze ili kuzungusha pesa ndani ya nchi ambapo biashara zitazaana.
Amesisitiza hakuna nchi dunani iliyojenga uchumi wake kwa kutegemea wawekezaji kutoka nje kwakuwa wawekezaji kutoka nje wanachoangalia ni masilahi yake hadi anakuja nchini lazima ahakikishe faida yake inakua kubwa na siku akimaliza anaondoka.
“Serikali ijiwekeze katika kupendelea wawekezaji wa ndani ndio wawe na matumizi makubwa wa pesa za Serikali za miradi kwasababu ikibaki nchini watanzania wengi watanufaika. Kodi zitalipwa biashara zitazunguka,” amesema Rostam.
Chanzo: Mwananchi
Suala la kuzungushwa ni wakandarasi wote si weusi tu. Sote tunajua gov payment zinavyo chukua muda , wengine inawapelekew kutoa percent fulani ili malipo yao yafuatiliweWengi wapo na uwezo, changamoto huwa inakuja kwenye malipo baada ya mkandarasi mweusi kumaliza kazi yake.. ( huwa wanazungushwa sana na serikali, inafika hatua mkandarasi anatoa rushwa ili alipwe stahiki zake)