Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣Fisadi papa mwandamizi 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣Fisadi papa mwandamizi 🤣
NakaziaTulipigwa
Chawa kaziniAnaswitch ID Kama wale wanaoslide kwenye barafu.
Jipige kifua mara tatu semaa Mbrrrrrrrrrrr Mbrrrrrrrr MbrrrrrrrrrrrHiyo ni lugha ya JF
Hata hao wanaoshinda Vijiweni ni kwamba hawana fursa tu, lakini wakipata ufisadi uko pale pale, Wizi na ufisadi uko kwenye DNA.Bora hawa wanaoshinda vijiweni kuliko wazawa mafisadi papa kila kukicha ni kukwapua mali za umma au uwekezaji wa bia ambao hauna tija kwa taifa.
Mnoko huyoo.Chawa kazini
Sema labda ndo anakopatia ulajiMnoko huyoo.
Mzawa mwizi, huyu hana tofauti na akina Chavda miaka ya mguu mmoja hapa Tanzania mguu mwingine ughaibuni.Rostam ni Mzawa anayembagua Rostam ni Kaburu Mweusi.
Wizi ni tabia, Mtu yeyote anaweza kuwa Mwizi.Mzawa mwizi
Jamaa ana ID nyingi za kuendesha uchawa, huyu nafikiri amezaliwa kwenye mazingira ya umasikini wa kutupwa..Anaswitch ID Kama wale wanaoslide kwenye barafu.
Jamaa mnateseka sana shida ni nini? Hayo malalamiko ndio kuzaliwa familia ya kitajiri? 😂😂😂😂Jamaa ana ID nyingi za kuendesha uchawa, huyu nafikiri amezaliwa kwenye mazingira ya umasikini wa kutupwa..
Unasemaa?!?Wazawa gani?! Au unasema hawa wanaoshinda kwenye Vijiwe vya Kahawa wanabishana Simba na Yanga?!
Hapa TZ asilimia 95 ya watu wanaoitwa Matajiri hunufaika na tenda na dili za kuumiza hii nchi hamna kingine
na yeye mwenyewe mtoa ushauri