Rostam: Hakuna nchi duniani inajenga Uchumi wake kwa kutegemea wawekezaji wa nje, ataka wazawa wapewe kipaombele

Serikali lazima iwabebe wazawa hasa wafanyabiashara wa kati kwa mfumo wa upendeleo ulio wazi wa kodi na kuwapunguzia vikwazo na masharti ya biashara.
Ni sawa kabisa? But wanaweza deliver katika capacity ya juu? Au wabebwe tu?
 
Sana Mkuu, na inaumiza sana
Wapo wanaoweza kufanya mengi ila hawapati kisa ngozi
Kuna ubaguzi wa sisi kwa sisi
. Kuna jamaa alifirisika kabisa kisa serikali, walimpa tenda ya kurebisha barabara Vijijini, kama km400 hivi, dahh walimzungusha balaa mpaka akata tamaa kufuatilia zile pesa....

. Sasa hivi ndo anapambana na mishe nyingine ili kuimarisha uchumi wake..
 
Rostam Aziz sio mzawa wa Tanzania, lakini kuna taarifa kwamba anahusishwa na kabila la Baluchi, ambalo lina asili kutoka eneo la Baluchistan, linalopatikana katika nchi za Iran, Pakistan, na Afghanistan.
Kuna Wabaluchi wazawa wa Tanzania halafu pia kuna Wasukuma, Wanyirimba n.k weusi kama chungu ambao ni wazawa wa Wamarekani lakini sio Watanzania.
 
Suala la kuzungushwa ni wakandarasi wote si weusi tu. Sote tunajua gov payment zinavyo chukua muda , wengine inawapelekew kutoa percent fulani ili malipo yao yafuatiliwe
Sasa kwa nini zichukue mda mrefu 🤔🤔, Gvt inavyotoa tenda si huwa budget imetengwa Tayari au ikoje hii??
 
Wana laana hawa
Kuna mda nilikuwa kwenye site moja huko akaja mkuu kiongozi mwanamke kavaa high heels 👠 angonga gonga kiatu chini na kusema hii iko chini ya kiwango hajui lolote kuhusu ujenzi na akasitisha mradi
Mpaka leo haujaendelezwa na akamlisha hasara jamaa
Yaani kuna visa vingi sana huko
 
. Bila shaka hapo atakuwa alinyimywa posho/rushwa..🚮🚮

Tunapenda sana kurudishana nyuma sisi wenyewe kwa wenyewe, Ndo maana kila mtu akiingia serikalini/kitengo anaenda kulipiza kisasi kwa wizi aliofanyiwa uraiani akiwa kwenye hustle, na si kujenga nchi ya kimaendeleo
 
Hatutafika popote mkuu
 
Huyu ndiyo mzalendo halisi anayetumia digrii yake ya uchumi na uzoefu wa kufanya biashara kubwa ndani na nje ya Tanzania anayetoa uzoefu wa kufanya biashara na vikwazo kutoka mangi meza waajiriwa wa serikali ya CCM kwa miaka 60 ya uhuru wa Tanzania.
 
Hao Wazawa wakipewq deal wanatafuta mwekezajo kutoka nje! Ni usanii tu!

Mengi mwenyewe aliwahi kulilia kumilikishwa kiwanda kwa ngao ya uzawa alipopewa akakiuza kwa wahindi!
 
Mbona alishabikia Bandari Bandari kuuzwa kwa DP WORLD?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…