Swadakta da shosti.........na mi nitajaribu na fish maana sikuzote inakuwaga na nyama tu. Nakupendaje sasa my dia!!
Asante sana
Naandikaje...kazi kwangu kurejea kwenye hii note...
Leo taandaa hili pishi
Karibuni
Ahsante tutakaribia na tulivo wengi lazima samaki wote tumalize
Swadakta da shosti.........na mi nitajaribu na fish maana sikuzote inakuwaga na nyama tu. Nakupendaje sasa my dia!!
Asante mamito, huu upishi aliupikaga mama yangu ramadhan moja nakumbuka,halaf ikawa ni kidoogo sana hadi tuikajiramba...si unajua kikiwa kidogo chazidi utamu...lol
Allah Bariq
Umenitamanisha ngoja leo nikorofishe mwenyewe hii kitu itakuwa tamu
i tried this omg it tasteso yummy
avatar yako nimeipenda!! kababy shunuu...
Hii picha naona kuku tu..
Hahahahah kuku gani tena hamna kuku apo
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Hahhahaha...huo mwiko itakua kaona ndo paja la kuku hilo...lol