Rosti viazi na samaki wa kukaanga

Rosti viazi na samaki wa kukaanga

Asante sana
Naandikaje...kazi kwangu kurejea kwenye hii note...
Leo taandaa hili pishi
Karibuni

Ahsante tutakaribia na tulivo wengi lazima samaki wote tumalize
 
Asante mamito, huu upishi aliupikaga mama yangu ramadhan moja nakumbuka,halaf ikawa ni kidoogo sana hadi tuikajiramba...si unajua kikiwa kidogo chazidi utamu...lol

Allah Bariq
 
Asante kwa roast hii, nimezoea ya ndizi mzuzu ngoja nijaribu hii pia.
 
Asante mamito, huu upishi aliupikaga mama yangu ramadhan moja nakumbuka,halaf ikawa ni kidoogo sana hadi tuikajiramba...si unajua kikiwa kidogo chazidi utamu...lol

Allah Bariq

Amin rabbi el laamin
 
Back
Top Bottom