Royal Oven Mlalakuwa wanauza chakula lala

Royal Oven Mlalakuwa wanauza chakula lala

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Hii imenitokea leo, na adha niliyoipata Mungu tu anajua.

Ni maumivu ya tumbo la kuhara lililodumu kwa muda mrefu, na nashukuru kupata huduma ya choo mahali naikawa mkombozi ili nisiadhirike.

Nikiwa na njaa mchana wa leo na nikaamua kupata bites pale Royal Oven Mlalakuwa.
Nikanunua sambusa,kachori na chapati maji.

Nikala hizo bites ndani kwenye gari kabla ya kuendelea na safari.

Nikiwa foleni mara tumbo likaanza kuunguruma, baadaye maumimvu makali ya tumbo yakaanza huku nikihisi kama nataka kuharibikiwa.

Bahati nikaingia kimgahawa kimoja na kujieleza kwa maumivu, haraka walinielewa na kunionyesha maliwato ambayo niliyaona kama mkombozi.

Yote hayo ni bites za Royal Oven.
Tahadhari wakuu!
 
Ulinawa mikono na maji tiririka au kutumia kipukusi ?

Hicho chakula kilipashwa moto ama kililetwa kikiwa kimepoa ?

Hivi vyakula vya njiani unaweza ukikosea formula unaweza kujikuta umelazwa na dripu juu
 
Ulinawa mikono na maji tiririka au kutumia kipukusi ?

Hicho chakula kilipashwa moto ama kililetwa kikiwa kimepoa ?

Hivi vyakula vya njiani unaweza ukikosea formula unaweza kujikuta umelazwa na dripu juu
Kilipashwa moto mkuu na kama unavyojua, unapewa na tissue kula hivyo vitu.
Yaani ni hatari!
Naifikiria kama ile foleni ya kurudi home jioni, si unaanza kufukuzwa na nzi ukishaharibikiwa?
 
Hii imenitokea leo, na adha niliyoipata Mungu tu anajua.

Ni maumivu ya tumbo la kuhara lililodumu kwa muda mrefu, na nashukuru kupata huduma ya choo mahali naikawa mkombozi ili nisiadhirike.

Nikiwa na njaa mchana wa leo na nikaamua kupata bites pale Royal Oven Mlalakuwa.
Nikanunua sambusa,kachori na chapati maji.

Nikala hizo bites ndani kwenye gari kabla ya kuendelea na safari.

Nikiwa foleni mara tumbo likaanza kuunguruma, baadaye maumimvu makali ya tumbo yakaanza huku nikihisi kama nataka kuharibikiwa.

Bahati nikaingia kimgahawa kimoja na kujieleza kwa maumivu, haraka walinielewa na kunionyesha maliwato ambayo niliyaona kama mkombozi.

Yote hayo ni bites za Royal Oven.
Tahadhari wakuu!
Royal oven ni ya Mwanza tu aise
 
Hii imenitokea leo, na adha niliyoipata Mungu tu anajua.

Ni maumivu ya tumbo la kuhara lililodumu kwa muda mrefu, na nashukuru kupata huduma ya choo mahali naikawa mkombozi ili nisiadhirike.

Nikiwa na njaa mchana wa leo na nikaamua kupata bites pale Royal Oven Mlalakuwa.
Nikanunua sambusa,kachori na chapati maji.

Nikala hizo bites ndani kwenye gari kabla ya kuendelea na safari.

Nikiwa foleni mara tumbo likaanza kuunguruma, baadaye maumimvu makali ya tumbo yakaanza huku nikihisi kama nataka kuharibikiwa.

Bahati nikaingia kimgahawa kimoja na kujieleza kwa maumivu, haraka walinielewa na kunionyesha maliwato ambayo niliyaona kama mkombozi.

Yote hayo ni bites za Royal Oven.
Tahadhari wakuu!
Sambusa,kachori,chapati! Ulikula ngapi ngapi?
 
Mwanaume unakula kacholi.


Wanaume wa Dar tofauti yenu na wake zenu ni kuwa na papuchi, nyonyo na tako.
 
Hii imenitokea leo, na adha niliyoipata Mungu tu anajua.

Ni maumivu ya tumbo la kuhara lililodumu kwa muda mrefu, na nashukuru kupata huduma ya choo mahali naikawa mkombozi ili nisiadhirike.

Nikiwa na njaa mchana wa leo na nikaamua kupata bites pale Royal Oven Mlalakuwa.
Nikanunua sambusa,kachori na chapati maji.

Nikala hizo bites ndani kwenye gari kabla ya kuendelea na safari.

Nikiwa foleni mara tumbo likaanza kuunguruma, baadaye maumimvu makali ya tumbo yakaanza huku nikihisi kama nataka kuharibikiwa.

Bahati nikaingia kimgahawa kimoja na kujieleza kwa maumivu, haraka walinielewa na kunionyesha maliwato ambayo niliyaona kama mkombozi.

Yote hayo ni bites za Royal Oven.
Tahadhari wakuu!
Mkuu huwezi kula Chakula kibaya chenye Food Poisoning bacteria na uumwe siku Hiyo Hiyo.

Kabla ya kuituhumu Royal Oven hakikisha umepimwa na daktari na amethibitisha kuwa ni hizo bites zimekudhuru.

Bila kipimo Ni makosa kufungua Uzi kushutumu biashara ya watu.

Food Hygiene and Safety rules on Food Poisoning cases.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] pole sana mkuu. Hapa mjini usione mtu anaendesha kama mwendawazimu...mwingine tumbo limevuruga jamaa anawahi kutafuta maliwato asije akayamaliza humo humo kwenye gari
 
Mkuu huwezi kula Chakula kibaya chenye Food Poisoning bacteria na uumwe siku Hiyo Hiyo.

Kabla ya kuituhumu Royal Oven hakikisha umepimwa na daktari na amethibitisha kuwa ni hizo bites zimekudhuru.

Bila kipimo Ni makosa kufungua Uzi kushutumu biashara ya watu.

Food Hygiene and Safety rules on Food Poisoning cases.
Ila hii siyo mara ya kwanza issue ya food poisoning kuhusishwa na royal oven. Kuna mwaka flani pia ilitokeaga tena nadhani hadi walifungiwa kwa miezi kadhaa
 
Kuna kisa hapo hapo mtu aliuziwa egg chop
Alipoenda kula -----
Muda lakini ilitokea

Ova
Ni tatizo la wengi wenye migahawa, huwa hawatupi chakula cha jana yake.
Kutuuzia chakula lala si ustaarabu.
 
Back
Top Bottom