comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hili la value for money nimelisikia tu kwako tena sasa hiviHaipingwi bali ni muhimu hiyo tour ikisha kamilika mahesabu yake ya shushwe ijulikane itagharimu billioni ngapi? Hii baadaye itasaidia kuiona value for money ya huu mradi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu hili la value for money nimelisikia tu kwako tena sasa hivi
Mkuu hili la value for money nimelisikia tu kwako tena sasa hivi
Mwisho wa siku watapiga hesabu kila aliekuja basi alikuja cos aliona Movie ya Jumong!Haipingwi bali ni muhimu hiyo tour ikisha kamilika mahesabu yake ya shushwe ijulikane itagharimu billioni ngapi? Hii baadaye itasaidia kuiona value for money ya huu mradi.
Hilo ni jina tuMimi nina shida kidogo na neno "Royal", nani ni royal kwenye hizi tour, Mama Samia au wageni wake?
Hivi hii 'royal tour" ilikuwa ukarasa wa ngapi katika ilani yenye kurasa 303 ya CCM? Ama ni ingizo jipya?The Royal Tour: Selling Rwanda as a success story – Africa Portal
www.africaportal.org
![]()
SPOTTED! Netanyahu reading 'The Jerusalem Post' during filming of 'Israel: The Royal Tour'
The Israeli Ministry of Tourism anticipated that the film, hosted by Peter Greenberg, will lure an additional 200,000 tourists to Israel.www.jpost.com
KUKUZA UTALIIHivi hii 'royal tour" ilikuwa ukarasa wa ngapi katika ilani yenye kurasa 303 ya CCM? Ama ni ingizo jipya?
sasa simsubiri ikamilike?Haipingwi bali ni muhimu hiyo tour ikisha kamilika mahesabu yake ya shushwe ijulikane itagharimu billioni ngapi? Hii baadaye itasaidia kuiona value for money ya huu mradi.
Huo ndoo ukweli mkuu,kwa hali hii maendeleo tutaendelea kuyasoma kwenye vitabu na kuyaonaa kwenye TV kwa nchi za wenzetu .Haiwezekani nchi inakosa vipaumbele na malengo mahususu yakutufikisha tunako pataka.Viongozi wa hii nchi hawana vipaumbele kabisa , nchi Ina matatizo chungu mbovu rais anazungukazunguka for nothing