kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
anaogopa mambo ya guineMama kawa msanii Ili apate Hela za kuwalipa polisi na wanajeshi, wahisani endeleeni kubana hivyo hivyo.
Kwani lengo la hiyo tour ni kutangaza familia?Mambo mengine yanafurahisha sana. Huenda bado tupo nyuma ya muda ama hatujui tunatafuta nini.
Rais ametuambia kuwa yupo katika majukumu ya kurekodi kipindi maalumu ya royal tour chenye lengo la kutangaza vivutio vya utalii wetu kimataifa.
Mimi sijaelewa lengo na dhumuni maana siamini kama Rais ana umaarufu wa kuweza kuwapa tensioni hata watu milioni 40 nje ya Tanzania. Wanangu niwambieni ukweli nchi hii haina Mtu mwingine maarufu zaidi ya Diamond a na Mbwana Samatta
Pili Rais kama Rais nje ya ofisi umaarufu wake utaletwa na maisha yake na familia hiyo kukosena kwa watu hao ni mambo ya aibu sana.
Bora hata wangemuweka mwanetu SNOOPY DOGY mambo yangekuwa supa.
Uko serious au unatania? Kabisa kabisa unahoji nguvu ya ushawishi ya Rais Samia katika forum ya watu makini wa Kimataifa kwa kulinganisha na hao jamaa wawili?Mambo mengine yanafurahisha sana. Huenda bado tupo nyuma ya muda ama hatujui tunatafuta nini.
Rais ametuambia kuwa yupo katika majukumu ya kurekodi kipindi maalumu ya royal tour chenye lengo la kutangaza vivutio vya utalii wetu kimataifa.
Mimi sijaelewa lengo na dhumuni maana siamini kama Rais ana umaarufu wa kuweza kuwapa tensioni hata watu milioni 40 nje ya Tanzania. Wanangu niwambieni ukweli nchi hii haina Mtu mwingine maarufu zaidi ya Diamond a na Mbwana Samatta
Pili Rais kama Rais nje ya ofisi umaarufu wake utaletwa na maisha yake na familia hiyo kukosena kwa watu hao ni mambo ya aibu sana.
Bora hata wangemuweka mwanetu SNOOPY DOGY mambo yangekuwa supa.
Huyo Jamaa ukute ni Msanii Fulani Maarufu roho inamuuma haitwi.Hv unadhan Huyo Diamond na Samata wanaushawish mkubwa ulaya , hoja yako ingekua na nguvu May be ungesema wangemueka celebrity Kama Beyonce au Jay z hat wakina Serena Williams
Mambo ya kijinga na ya ajabu Sana, ikitokea hiyo tour haijaleta impact iliyokusudiwa Raisi atapata kashfa mbayaMambo mengine yanafurahisha sana. Huenda bado tupo nyuma ya muda ama hatujui tunatafuta nini.
Rais ametuambia kuwa yupo katika majukumu ya kurekodi kipindi maalumu ya royal tour chenye lengo la kutangaza vivutio vya utalii wetu kimataifa.
Mimi sijaelewa lengo na dhumuni maana siamini kama Rais ana umaarufu wa kuweza kuwapa tensioni hata watu milioni 40 nje ya Tanzania. Wanangu niwambieni ukweli nchi hii haina Mtu mwingine maarufu zaidi ya Diamond a na Mbwana Samatta
Pili Rais kama Rais nje ya ofisi umaarufu wake utaletwa na maisha yake na familia hiyo kukosena kwa watu hao ni mambo ya aibu sana.
Bora hata wangemuweka mwanetu SNOOPY DOGY mambo yangekuwa supa.
Huyo Jamaa ukute ni Msanii Fulani Maarufu roho inamuuma haitwi.
Mimi labda wangemweka dada yangu Sky Eclat ila hao sijui kina Beyonce na Jay Z hapana.
natamani ndo USO kwauso amchanie na mistari flani hivi mama namacho Yale amlegezee jamaaa macho na kiitikio cha ngorongoro mama atamke ,haaaaaHuyo Bangi sana[emoji23][emoji23]
Mambo mengine yanafurahisha sana. Huenda bado tupo nyuma ya muda ama hatujui tunatafuta nini.
Rais ametuambia kuwa yupo katika majukumu ya kurekodi kipindi maalumu ya royal tour chenye lengo la kutangaza vivutio vya utalii wetu kimataifa.
Mimi sijaelewa lengo na dhumuni maana siamini kama Rais ana umaarufu wa kuweza kuwapa tensioni hata watu milioni 40 nje ya Tanzania. Wanangu niwambieni ukweli nchi hii haina Mtu mwingine maarufu zaidi ya Diamond a na Mbwana Samatta.
Pili Rais kama Rais nje ya ofisi umaarufu wake utaletwa na maisha yake na familia hiyo kukosena kwa watu hao ni mambo ya aibu sana.
Bora hata wangemuweka mwanetu SNOOPY DOGY mambo yangekuwa supa.
Uko sahihi 100%Wanao uza utalii TZ ni Tour Agents...
Nimeshajua unakoelekea ngoja ninyamaze.Mambo mengine yanafurahisha sana. Huenda bado tupo nyuma ya muda ama hatujui tunatafuta nini.
Rais ametuambia kuwa yupo katika majukumu ya kurekodi kipindi maalumu ya royal tour chenye lengo la kutangaza vivutio vya utalii wetu kimataifa.
Mimi sijaelewa lengo na dhumuni maana siamini kama Rais ana umaarufu wa kuweza kuwapa tensioni hata watu milioni 40 nje ya Tanzania. Wanangu niwambieni ukweli nchi hii haina Mtu mwingine maarufu zaidi ya Diamond a na Mbwana Samatta.
Pili Rais kama Rais nje ya ofisi umaarufu wake utaletwa na maisha yake na familia hiyo kukosena kwa watu hao ni mambo ya aibu sana.
Bora hata wangemuweka mwanetu SNOOPY DOGY mambo yangekuwa supa.
Sio Kigwa tu, hata yule aliyemchukua miss Tz wa miaka hiyo na kuishia kumfanya mke wake, kulikuwa na impact gani?Ata Rwanda waliamza wenyewe na tallest guy. Kwa watz wanavyo piga kelele za kukosoa uongozi ivi ww ungesikia serikalnimemlipa Messi atangaze utalii wa Tz ..lzm ww ungekuwa miongon mwa wa Tz wangepinga
Kuhusu wasanii wa ndani, ivi haukumbuki Kigwa alitumia wasanii wa bongo movie kutangaza ile #Taznania unforgetable lkn in return nini kikitokea ?
Kuna kitu kinaitwa maarufu, being popular, na mashuhuri, VIP. Hao jamaa hawajalenga mtu maarufu, wamelenga mtu mashuhuri. Rais wa nchi ndio mtu mashuhuri kuliko watu wote kwenye nchi husika.Mimi sijaelewa lengo na dhumuni maana siamini kama Rais ana umaarufu wa kuweza kuwapa tensioni hata watu milioni 40 nje ya Tanzania. Wanangu niwambieni ukweli nchi hii haina Mtu mwingine maarufu zaidi ya Diamond a na Mbwana Samatta.
Na huu ndiyo ukweli mchungu. Watalii hawatakuja nchini mwetu kwa sababu ya hiyo Royal Tour yake ya kutaka kujikosha kwa Mataifa makubwa baada ya kutekwa nyara na kuendeshwa kama gari bovu na MATAGA wa Mtangulizi wake!Loyo tua ni upigaji tu, muacheni ale mema ya nchiš¤£