Royal Tour! kulikoni wagharimiaji hawatajwi hadharani? Tunaishia kuambiwa ni Watu Binafsi

Royal Tour! kulikoni wagharimiaji hawatajwi hadharani? Tunaishia kuambiwa ni Watu Binafsi

Wewe fungua uzi uliza hilo swali lako usimpangie mleta mada aulize swali ambalo halipo kichwani mwake.

Huyu Bi Tozo Bin Maushungi ni corrupt kama walivyo predecessors wake na ccm wote kwa ujumla.

Hii nchi inahitaji mapinduzi ya kijeshi, njia za kiraia zimeshaprove failure
Unajua maana ya corrupt? Au unakurupuka tu?

Mlishadadia zimetumika fedha za Serikali kusikia Hakuna fedha za Serikali zilizotumika saivi mnahamisha magoli eti mnataka kujua Nani kachangia?

Nyie ni wahuni tu
 
Uko humu 24/7 kuvizia tu Rais Samia kafanya nini ili ukosoe. Baada ya kuhisi kakaa 2 weeks kwa fedha ya wahisani watanzania, na si kwa fedha ya Serikali kama MLIVYOKUWA MNABWABWAJA, sasa voicer unataka kujua majina ya wachangaji.

Ulivyo POPOMA ukipewa majina yao utataka kujua majina wa wake zao au waume zao.

Tafuteni shughuli za maana za kuwaingizia hela haya MAUJINGA yamepitwa na wakati baada ya kumfukia mungu wenu pale Chato



Taja majina ya waliotoa hizo fedha wewe KILAZA,achana na hizo ngojera zako maana hazisaidii kwa namna yoyote ile kujibu swali la mtoa mada

JE NI KINA NANI WALIOCHANGIA FEDHA ZA KUFANIKISHA FILAMU YA ROYAL TOUR?
 
Ata mm hili nmejiuluza Sana hila nikasema nikae ngoja nikae kimya siku hizi staki siasa
 
Awajue yeye Kama nani? Waliochanga wamelalamika fedha zao kutotumika?

Awajue yeye kama Mtanzania ambaye anahusika na kulipa MSHAHARA wa Rais kupitia KODI

Tutajuaje kama wanalalamika au laah ikiwa hata kuwajua hao wahusika hatuwajui...?

NA VP KAMA HAWAPO?
 
Taja majina ya waliotoa hizo fedha wewe KILAZA,achana na hizo ngojera zako maana hazisaidii kwa namna yoyote ile kujibu swali la mtoa mada

JE NI KINA NANI WALIOCHANGIA FEDHA ZA KUFANIKISHA FILAMU YA ROYAL TOUR?
Maswali ya KIJINGA peleka Chato kaburini mkaulizane mkiwa mnajichimbia makaburi, wasukuma wahedddi
 
Samia leo nimemskiliza hotuba yake kwa umakini mkubwa.

Amesema The Royal Tour’ hakutumia fedha za serikali bali watanzania walichangia kila kitu hadi safari ya kwenda kuishi marekani kwa wiki tatu.

Ombi: mtanzania mwenye orodha ya waliochangia The Royal Tour’ na kiasi walichochangia aiweke hapa tafadhali.

Kuna kila sababu ya kusema maza anawafanya watanzania mazuzu iwapo orodha hiyo haitawekwa hapa.
 
Tulio changia sio wengi kiasi cha kusema ni orodha, ni mimi na marafiki zangu wawili tu. Kuna jamaa na yeye tulimuomba achangie ila akaleta ubahili tukaachana naye.
 
Samia leo nimemskiliza hotuba yake kwa umakini mkubwa.

Amesema The Royal Tour’ hakutumia fedha za serikali bali watanzania walichangia kila kitu hadi safari ya kwenda kuishi marekani kwa wiki tatu.

Ombi: mtanzania mwenye orodha ya waliochangia The Royal Tour’ na kiasi walichochangia aiweke hapa tafadhali.

Kuna kila sababu ya kusema maza anawafanya watanzania mazuzu iwapo orodha hiyo haitawekwa hapa.

IMG_0821.jpg
 
Samia leo nimemskiliza hotuba yake kwa umakini mkubwa.

Amesema The Royal Tour’ hakutumia fedha za serikali bali watanzania walichangia kila kitu hadi safari ya kwenda kuishi marekani kwa wiki tatu.

Ombi: mtanzania mwenye orodha ya waliochangia The Royal Tour’ na kiasi walichochangia aiweke hapa tafadhali.

Kuna kila sababu ya kusema maza anawafanya watanzania mazuzu iwapo orodha hiyo haitawekwa hapa.

Kama katika hao wachangiaji yalikuwemo mashirika ya umma kama TANAPA basi hizo ni fedha za Serikali!! Lakini kama ilifadhiliwa na wakina ROSTAM AZIZ basi mjue sio bure malipo yake kwa wananchi yatakuwa makubwa sana!! There is no free lunch!
Sidhani kama wana ujasiri wa kuweka wazi orodha ya wachangiaji!!
 
Back
Top Bottom