Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Sioni shida hata kama ilitoka TANAPA so long as kuna value for money (return on investment)..., ninachoona kinaendelea huenda promo ya hii kitu ya kum-promote mtawala huenda inachukua gharama zaidi hata ya matayarisho ya hii kitu...
From USA mpaka Arusha mpaka sijui wapi na hapo kuna delegation ya kufa mtu, ifike wakati haya matumizi ya hizi tozo / mikopo / kodi / kutembeza bakuli..., iwe wazi
From USA mpaka Arusha mpaka sijui wapi na hapo kuna delegation ya kufa mtu, ifike wakati haya matumizi ya hizi tozo / mikopo / kodi / kutembeza bakuli..., iwe wazi