Royal Tour! kulikoni wagharimiaji hawatajwi hadharani? Tunaishia kuambiwa ni Watu Binafsi

Unajua maana ya corrupt? Au unakurupuka tu?

Mlishadadia zimetumika fedha za Serikali kusikia Hakuna fedha za Serikali zilizotumika saivi mnahamisha magoli eti mnataka kujua Nani kachangia?

Nyie ni wahuni tu
 



Taja majina ya waliotoa hizo fedha wewe KILAZA,achana na hizo ngojera zako maana hazisaidii kwa namna yoyote ile kujibu swali la mtoa mada

JE NI KINA NANI WALIOCHANGIA FEDHA ZA KUFANIKISHA FILAMU YA ROYAL TOUR?
 
Ata mm hili nmejiuluza Sana hila nikasema nikae ngoja nikae kimya siku hizi staki siasa
 
Awajue yeye Kama nani? Waliochanga wamelalamika fedha zao kutotumika?

Awajue yeye kama Mtanzania ambaye anahusika na kulipa MSHAHARA wa Rais kupitia KODI

Tutajuaje kama wanalalamika au laah ikiwa hata kuwajua hao wahusika hatuwajui...?

NA VP KAMA HAWAPO?
 
Taja majina ya waliotoa hizo fedha wewe KILAZA,achana na hizo ngojera zako maana hazisaidii kwa namna yoyote ile kujibu swali la mtoa mada

JE NI KINA NANI WALIOCHANGIA FEDHA ZA KUFANIKISHA FILAMU YA ROYAL TOUR?
Maswali ya KIJINGA peleka Chato kaburini mkaulizane mkiwa mnajichimbia makaburi, wasukuma wahedddi
 
Samia leo nimemskiliza hotuba yake kwa umakini mkubwa.

Amesema The Royal Tour’ hakutumia fedha za serikali bali watanzania walichangia kila kitu hadi safari ya kwenda kuishi marekani kwa wiki tatu.

Ombi: mtanzania mwenye orodha ya waliochangia The Royal Tour’ na kiasi walichochangia aiweke hapa tafadhali.

Kuna kila sababu ya kusema maza anawafanya watanzania mazuzu iwapo orodha hiyo haitawekwa hapa.
 
Tulio changia sio wengi kiasi cha kusema ni orodha, ni mimi na marafiki zangu wawili tu. Kuna jamaa na yeye tulimuomba achangie ila akaleta ubahili tukaachana naye.
 

 

Kama katika hao wachangiaji yalikuwemo mashirika ya umma kama TANAPA basi hizo ni fedha za Serikali!! Lakini kama ilifadhiliwa na wakina ROSTAM AZIZ basi mjue sio bure malipo yake kwa wananchi yatakuwa makubwa sana!! There is no free lunch!
Sidhani kama wana ujasiri wa kuweka wazi orodha ya wachangiaji!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…